Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Imani yangu inanionyesha adui yake alitoka ndani ya chama chake.....kuliko kutoka Serikalini ...inawezekana maadui wanajaribu ku diverge uongo uonekane kama ukweli ili wasigundulike......bado Nina kumbukumbu za Bw. Kubenea..aliwah zungumza siku moja kwamba wanaomtafuta Saanane waende kumuuliza Bw. Mbowe..bado sentensi Ile inanifikirisha mpaka Leo walah..
 
Mtoa mada haelewi maana ya Poetic Justice...
Kwa ufupi ni kusema Matendo yako Maovu ndiyo yalipomfikisha hapo alipo Dikteta Jiwe..

Na kuhusu kushangilia.. CCM walishangilia sana kuliko hata Upinzani... Wengine walikuwa wanaenda kutoa heshima za mwisho wakiwa wamelewa..

Viongozi wa CCM wengi walisheherekea kwa kuchinja Mbuzi...

Lakini mtu muovu anapoondoka Duniani huleta amani ya moyo kwa wengi waliobaki...
 
Mimi huwa sikubaliani sana na Lissu katika misingi ya kisiasa, lakini katika hili la kifo cha Magufuli naunga mkono.
Binadamu tunalipa makosa yetu hapahapa duniani.

KARMA.
Hata vitabu vitakatifu na vya kale vilisema auaye kwa upanga, hufa kwa upanga au binadamu atakunywa kipimo kile kile alichowapangia wengine.

Siyo bure kwamba wasiojulikana sasa wamepotea.
Magufuli mwenyewe alishasema ametoa uhaiwake kwaajili ya waTanzania.

Sasa wewe cheti feki na wajombazenu wakwepa kodi na mafisadi hata kama aliwaumiza then mkifurahi ndio mnalipiza kisasi, yani mnamkomoa marehemu ama vipi!.
Ama ndio kisirani [emoji3][emoji3] hovyo sana nyie watu.
 
Magufuli mwenyewe alishasema ametoa uhaiwake kwaajili ya waTanzania.

Sasa wewe cheti feki na wajombazenu wakwepa kodi na mafisadi hata kama aliwaumiza then mkifurahi ndio mnalipiza kisasi, yani mnamkomoa marehemu ama vipi!.
Ama ndio kisirani [emoji3][emoji3] hovyo sana nyie watu.
Pole sana kwa makasiriko, lakini ukweli lazima usemwe, Jiwe kifo chake ni furaha kubwa sana kwa Watanzania (ondoa Sukuma gang kama wewe)
 
Kumbe Chacha Wangwe aliuawa ndio najua leo.
Hiyo kesi ya mauaji ilisikilizwa mahakama gani.
Mbona hukumuuliza Tundu Lisu kwamba ni mahakama gani iliyothibitisha kuwa Magufuli alihusika na kushambuliwa kwake?

Uchawa unakufanya uonekane kuwa kichwa chako kimejaa kamasi badala ya akili.
 
Pole sana kwa makasiriko, lakini ukweli lazima usemwe, Jiwe kifo chake ni furaha kubwa sana kwa Watanzania (ondoa Sukuma gang kama wewe)
Acha kuwasingizia waTanzania uwongo.
Hakuna mtanzania mwenye akili na mpenda maendeleo alie furahiya kifo cha Magu.
Furaha ni kwa nyie vyeti fek na wasaliti wachache wenye access ya JF.
 
Magufuli mwenyewe alishasema ametoa uhaiwake kwaajili ya waTanzania.

Sasa wewe cheti feki na wajombazenu wakwepa kodi na mafisadi hata kama aliwaumiza then mkifurahi ndio mnalipiza kisasi, yani mnamkomoa marehemu ama vipi!.
Ama ndio kisirani [emoji3][emoji3] hovyo sana nyie watu.
Kufa Magufuli na akasema hilo, litabaki kuwa chaguo lake.
Tulimchagua kutuongoza siyo kufa kwa ajili yetu na yake binafsi na sukuma gang.

Na kama alipenda kufa siyo sahihi aupoteze uhai mtu mwingine yeyote kupitia wasiojulikana.
 
Alipigwa na JPM?
Unajuwa kuwa Rais maana yake kweli ?! . Unajua vyombo vinavyomtumikia ? Iwe ni kwa kutii au hata kujikomba ?. Unajua kwanini nchi ikifanya vibaya hulaumiwa kiongozi, hata kwa yale hakuhusika nayo ?!.

Jifunze nini maana ya amiri jeshi. Tena bahati mbaya akiwa mpenda sifa
 
Pole sana kwa makasiriko, lakini ukweli lazima usemwe, Jiwe kifo chake ni furaha kubwa sana kwa Watanzania (ondoa Sukuma gang kama wewe)
Wewe na mazezeta wenzako ndo mlifurahia kifo cha JPM lakini wapo wengi walisikitika sana tu kwa hiyo usiwe msemaji wa nafsi za watu!
 
Imani yangu inanionyesha adui yake alitoka ndani ya chama chake.....kuliko kutoka Serikalini ...inawezekana maadui wanajaribu ku diverge uongo uonekane kama ukweli ili wasigundulike......bado Nina kumbukumbu za Bw. Kubenea..aliwah zungumza siku moja kwamba wanaomtafuta Saanane waende kumuuliza Bw. Mbowe..bado sentensi Ile inanifikirisha mpaka Leo walah..
Mkuu soma comment namb #41 upate majibu yanayofanana na yako.
 
Umeongea ukweli mtupu bro. Hata Chachawangwe angeuwawa kipindi cha Magufuli, lawama za kifo chake angetupiwa Magufuli huku wahusika wa kifo chake wakiendelea kucheka na familia yake, kama wanavyokula, kunywa na kucheka na familia ya Lisu leo.

Juhudi zake na umaarufu wake ndan ya chama chake zilimfanya bwana yule ahofie kiti chake, ndomaana hata Sumaye pamoja na kwamba ana ulinzi wake lakini alionywa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi wake. So ijekuwa Lisu anaezurura peke yake!

Siku ya hukumu au kiama (kama ipo) tutaona mengi hata yale ambayo hatukuyatarajia au kuyafikiria.
Kwa hiyo yule jamaa aliyekuwa anahofia kiti chake kisije chukuliwa na Lissu ndiye aliyeagiza hata walinzi wasiwepo kwenye eneo linalolindwa 24hours kwani ni eneo alilokuwa anaishi waziri Kalemani na naibu spika.Acheni hizo jamani.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu soma comment namb #41 upate majibu yanayofanana na yako.
Honestly kabisa unaweza kukuta walio husika kwenye shambulizi ni watu wa karbu na Lisu na walitumia fursa ya mgogoro wa makinikia na Magufuli kumumaliaza huku wakijua kabisa ajenda itakuwa aliyehusika Magufuli!
Ukijiuliza kwa nini dereva wake alifichwa na mpaka leo hajaonekana
Hata kipindi cha kifo cha Chacha Wangwe mambo yakikuwa na viashiria vya kundi la Mbowe kuhusika lakini watu walifumba macho na kuamini ulikuwa hali ya kawaida lakini watu wakumbuke kipindi cha msiba M,bowe ilibidi jeshi la polisi limpe ulizi maana wanachi wa Tarime walitaka kumshambulia!
Licha ya Kubenea kusema maneno yale lakini pia Sumaye alishawahi kuambiwa moto haulambwi!
 
Kwa hiyo yule jamaa aliyekuwa anahofia kiti chake kisije chukuliwa na Lissu ndiye aliyeagiza hata walinzi wasiwepo kwenye eneo linalolindwa 24hours kwani ni eneo alilokuwa anaishi waziri Kalemani na naibu spika.Acheni hizo jamani.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kwani tunavyosema siku zote kuwa jamaa ni "mwanakitendo" anaetumika kuwadhibiti wapinzani wa kweli ndani ya chama chake wewe unakuaga wapi?
Fikiria ni kwanini madhila makubwa yanayohusu kuuwawa anakutana nayo Lisu na mwenzake Lema huku jamaa ambae ndio kiongozi akiwa ana dunda uraiani?

Ukweli ni kwamba jamaa ana ng'ang'ania kile kiti kwa faida ya kazi zake na "kitengo chake" So kamwe mpinzani wa kweli aina ya Lisu hawezi kuruhusiwa kukalia nafasi ile maana ataharibu mission kama ile ya kumpokea mwanakitendo mungine (Lowasa) aje ausambaratishe upinzani ambao ulikuwa umeshajipanga Kwa ajili ya mageuzi.
 
Wapi kuna kushangilia kwenye post yako.. au huelewi maana ya kushangilia? Kutoa maoni si kushangilia. Is narrating the fact/truth.

Ukiiba ukakamatwa ukaadhibiwa kisha nikaesema unastahili adhabu, nakuwa nimeshangilia au hujui maana ya poetic justice?
Tell them!
Wajinga ni wengi sana,werevu wachache sana
 
Kwa hiyo yule jamaa aliyekuwa anahofia kiti chake kisije chukuliwa na Lissu ndiye aliyeagiza hata walinzi wasiwepo kwenye eneo linalolindwa 24hours kwani ni eneo alilokuwa anaishi waziri Kalemani na naibu spika.Acheni hizo jamani.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mkuu dunia ina mambo mengi sana! Hao walinzi ni binadanu tu kama mimi na wewe na wanaweza kupangwa na wakapangika vizuri tu!
Kwanini benki zinaibiwa na polisi wapo hapo na bunduki zao? Kwa nini dereva wa Lisu aliondoka nchini na mpaka leo hataki kurudi?
 
Mwaka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!

Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.

Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.

1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.

Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.

2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR.
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.

3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.

4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA, kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.

5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lissu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivyo
Lakini hiyo haizuii nia ya Magu kutaka kumuua Lissu. Risasi 60 Kama anaua koboko.
 
Honestly kabisa unaweza kukuta walio husika kwenye shambulizi ni watu wa karbu na Lisu na walitumia fursa ya mgogoro wa makinikia na Magufuli kumumaliaza huku wakijua kabisa ajenda itakuwa aliyehusika Magufuli!
Ukijiuliza kwa nini dereva wake alifichwa na mpaka leo hajaonekana
Hata kipindi cha kifo cha Chacha Wangwe mambo yakikuwa na viashiria vya kundi la Mbowe kuhusika lakini watu walifumba macho na kuamini ulikuwa hali ya kawaida lakini watu wakumbuke kipindi cha msiba M,bowe ilibidi jeshi la polisi limpe ulizi maana wanachi wa Tarime walitaka kumshambulia!
Licha ya Kubenea kusema maneno yale lakini pia Sumaye alishawahi kuambiwa moto haulambwi!
Ungetumia akili kidogo usingeandika hayo.
Kwa kifupi Lissu na akina Chacha wangedhuriwa na watu nje ya mfumo wa seriklini hao watu wangeshakamatwa,ni kwa vile wahusika wako kwenye system ndio maana hawakamatwi.

Na kama wahusika wako Chadema basi kitu gani kinashindikana kuwakamata?
Kama wameshindwa tumeshauri waje interpol kusaidia,lakini serikali haitaki,sababu ni moja tu wanaogopa kuaibika maana wanajua ni vigogo gani serikalini ndio wamehusika na unyama uliotokea
 
Back
Top Bottom