SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Tutajua mengi, kama, kama tu CCM itakubali scrutiny. Mh. Lissu anajua 'mengi' ipo siku! aliwahi kusikika akisema. Mh. Tundu Lissu hajawahi kusema Hayati Magufuli ndiye aliyempiga Risasi, tuache kupotoshana kana kuwa Magufuli ndiye aliyefanya hivyo.
Msimlishe maneno.
Bahari, maziwa, mito, visima yatakaushwa, mawe yatapinduliwa hati ikibidi yasukumwe kwenda milimani Ukweli lazima upatikane ili wote ambao wameumizwa na sakata hili wapate amani.
Binafsi nateseka sana, mmoja amepotea na inawezekana amekufa, mwingine kapigwa risasi karibu afe... na wote hawa sijawahi kukutana nao, mmoja tulikuwa mstaari mmoja katika kuchagiza ukweli, kuomba haki zitendeke....God knows we were pleading for christake! wakati nilianza kukata tamaa hapa jamvini, aliniinua....mwingine huyu nilimwandika vibaya humu siku mbili tatu baadae akatandikwa risasi, walahi nilikimbilia kufuta Posti kama sio Uzi ule kwa ajili niliona kama nilikuwa mchonganishi, Max Anaweza kutafuta posti ile... TL et al
Jamani haijalishi, watu pande zote wameumia, wanaumia na Wataumia naumia kuona tuanpoenda nikule kule kwa hivi vijembe na kejeli tunavyoviona havina impact katika jamii., kwa watu, na Familia zao
Tuwe wakweli, tuandike ya kweli. Yale ya kuambiwa, "tuongeze na zetu" Tuwakemee, Tuwakosoe, tuwanyooshe wale wanaopotea kijumla, Tujibishane kwa hoja na mijadala yenye Tija....Kuna watu wenye uwezo mkubwa humu lakini ukikutana na vurumai humu saa nyingine mshike mshike unamtwanga hata anayekuja kukusaidia au unatwangwa na unayeenda kumsaidia....yoote hiyo ni kwa ajili ya ujengaji wa jazba from the get go! Tuepuke na "twende moja kwa moja kwenye mada" siyo ya kwetu hayo, siyo ya lugha za siasa Tanzania
....naenda kazini, ninywe kahawa na sambusa yangu nitarudi nikipunguza jazba.
Amani iwatandae.
Aluta Continua.
Msimlishe maneno.
Bahari, maziwa, mito, visima yatakaushwa, mawe yatapinduliwa hati ikibidi yasukumwe kwenda milimani Ukweli lazima upatikane ili wote ambao wameumizwa na sakata hili wapate amani.
Binafsi nateseka sana, mmoja amepotea na inawezekana amekufa, mwingine kapigwa risasi karibu afe... na wote hawa sijawahi kukutana nao, mmoja tulikuwa mstaari mmoja katika kuchagiza ukweli, kuomba haki zitendeke....God knows we were pleading for christake! wakati nilianza kukata tamaa hapa jamvini, aliniinua....mwingine huyu nilimwandika vibaya humu siku mbili tatu baadae akatandikwa risasi, walahi nilikimbilia kufuta Posti kama sio Uzi ule kwa ajili niliona kama nilikuwa mchonganishi, Max Anaweza kutafuta posti ile... TL et al
Jamani haijalishi, watu pande zote wameumia, wanaumia na Wataumia naumia kuona tuanpoenda nikule kule kwa hivi vijembe na kejeli tunavyoviona havina impact katika jamii., kwa watu, na Familia zao
Tuwe wakweli, tuandike ya kweli. Yale ya kuambiwa, "tuongeze na zetu" Tuwakemee, Tuwakosoe, tuwanyooshe wale wanaopotea kijumla, Tujibishane kwa hoja na mijadala yenye Tija....Kuna watu wenye uwezo mkubwa humu lakini ukikutana na vurumai humu saa nyingine mshike mshike unamtwanga hata anayekuja kukusaidia au unatwangwa na unayeenda kumsaidia....yoote hiyo ni kwa ajili ya ujengaji wa jazba from the get go! Tuepuke na "twende moja kwa moja kwenye mada" siyo ya kwetu hayo, siyo ya lugha za siasa Tanzania
....naenda kazini, ninywe kahawa na sambusa yangu nitarudi nikipunguza jazba.
Amani iwatandae.
Aluta Continua.