Tundu Lissu: Kufuta kesi ya Mbowe sio kuingilia Uhuru wa Mahakama

Bunge halina taarifa ya kufukuzwa kwao. Zimgatieni utaratibu wa kushughulika na wanachama wenu
 
CCM waliishazoea na kunogewa na ushetani wa kubambikia watu mashitaka ili kuwanyamazisha, kama walivyorithishwa na Babeli mkuu.
Zito alijaribu bila mafanikio, kulitumia hilo kwa faida yake.
 
Sasa wale pingapinga FC mliompinga zitto kuomba kwa rais gaidi amsamehewe njooni mpige makofi kwa tundu tafadhali.
Shida hapa ni uelewa wako kuwa "very low" kiasi kwamba huwezi kutofautisha kinachozungumzwa na Lissu na kinachozungumzwa na Zitto!
 
Msukuma na Kibajaj ndio watu mashuhuri kwenye vikao vya CCM.
 
Sasa wale pingapinga FC mliompinga zitto kuomba kwa rais gaidi amsamehewe njooni mpige makofi kwa tundu tafadhali.
Lissu hakuomba hurum ya rais. hoja yake hii kesi haina maslahi kwa taifa au yeyote. Hoja ya Zitto ilikuwa huruma, yaani Mbowe ahurumiwe japo mkosajii. Mbona vichwa vigumu ahh
 
Lissu hakuomba hurum ya rais. hoja yake hii kesi haina maslahi kwa taifa au yeyote. Hoja ya Zitto ilikuwa huruma, yaani Mbowe ahurumiwe japo mkosajii. Mbona vichwa vigumu ahh
kuombqa kesi ifutwe ni kuomba huruma kwa nini asiombe hukumu itolewe kama hana kosa si atatoka tu?
 
Bunge halina taarifa ya kufukuzwa kwao. Zimgatieni utaratibu wa kushughulika na wanachama wenu
Ndugu sio kweli,
Ndugai ndie 'kwa maslahi yao' aliyeanza kwa kukataa kutambua ofisi ya bunge kupokea barua/mawasiliano ya kutowatambua COVID 19, kutoka CHADEMA hata baada ya kuonyeshwa nakala ya hati ya makabidhiano.
Spika wa sasa anajitoa fahamu tu ili kujisafisha kwa kuwa 'yule' Babeli Mkuu aliyekuwa anawapa vichwa kwenda zake. Lakini ni wazi kuwa alikuwa pamoja na Ndugai katika maujinga hayo hadi kufikia hatua ya kumuwahisha ili kumwapisha 'mmoja' aliyetolewa rumande usiku usiku.
Mahera nae alifanya hivyohivyo zaidi ya kuwa nae mpaka sasa kila akiulizwa hataki kuonyesha form ya makadhiano ya uteuzi wa majina yanayodaiwa yalitumwa na CHADEMA.
 
Vipi kuhusu watuhumiwa wengine ? Je, kuna usawa kisheria baina ya mwanasiasa na mwananchi wa kawaida?
 
Mimi naona tofauti kati ya Zito na Lissu:
Zito alimwomba rais amsamehe Mbowe, Lissu amemtaka rais (kupitia dpp) amfutie Mbowe mashtaka (ambayo hayana faida kwa ccm, Chadema Wala taifa).
Anamtaka yeye Kama Nani, nadhani ni busara kuomba kuliko kutaka, zito was right, sema kwa Kua alikua wa Kwanza kuliwasilisha kwa raisi, mliona aibu kawazidi kete.
Yani chadema tangu mbowe awekwe ndani chama kimepoteza uelekeo. Hakuna kinachofanyika Hadi mbowe atoke
 
CCM waliishazoea na kunogewa na ushetani wa kubambikia watu mashitaka ili kuwanyamazisha, kama walivyorithishwa na Babeli mkuu.
Zito alijaribu bila mafanikio, kulitumia hilo kwa faida yake.
Siyo kwa faida yake bali ya CCM ili waonekane wana huruma.Zitto ni daraja tu,alitumwa.
 
Walikuwa hawajulikani lakini kwa sasa wanajulikana mkuu, wengine wanaonekana LIVE ktk kesi ya Mbowe na mwingine 'keshanasa' huko Mtwara!
 
Mimi naona tofauti kati ya Zito na Lissu:
Zito alimwomba rais amsamehe Mbowe, Lissu amemtaka rais (kupitia dpp) amfutie Mbowe mashtaka (ambayo hayana faida kwa ccm, Chadema Wala taifa).
Lissu hana mamlaka ya kumwambia rais nini cha kufanya kwahiyo tafsiri sahihi hapo ni kumuomba rais amfutie kesi Mbowe.
 
Matokeo ya wanachopigania ni sawa Mbowe atakua huru. Ila zitto anaomwombea msamaha while Lissu anataka kesi ifutwe. Maana yake kwa mujibu wa Zitto Mbowe ana hatia, while Lissu anaona Mbowe Hana hatia.
Samia halazimiki kufuata alichoambiwa na Lissu hivyo maamuzi ni yake amuachie Mbowe au asimuachie. Na wakimuachia itakuwa na maana ya kumsamehe na si kwamba rais kafuata alichoambiwa na rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…