Maombi, sala na dua za watanzania kipindi kile lissu amepigwa risasi MUNGU unajibu Kwa moto
 
Muuaji Makonda amekalia msumari wa moto.
 
Cabinet Office files released in 2013 show that on or before 5 December 1936, the Home Secretary, Sir John Simon, had ordered the General Post Office (which controlled British telephone services) to intercept "telephone communications between Fort Belvedere and Buckingham Palace on the one hand and the continent of Europe on the other"
 
Lissu kaenda kuishtaki Tigo na Serikali ya Tanzania kwa Mahakama ya Mzungu na wakili mzungu then anarudi tena kuja kuomba uongozi kwenye nchi ile ile ambayo kaiweka mahakamani na kasema akishinda kesi anataka kukamata mali za Tanzania kama fidia. Yani nchi unayosema utaifisili kupitia mahakama za Uingereza hiyo hiyo ndo unatamani pia kuja kuwa kiongozi wake? Lissu anajielewa kweli?

USSR
 
the gentleman is completely physically and mentally unfit for anything. Tuwe na huruma tu ndrugo zango, na tumuombee sana, but bila kuvunja sheria, taratibu wala katiba ya nchi katika kufanya hivyo..

muungwana ni mbinafsi mno, mlalamishi asie ambilika, na ni mbishi kupindukia huku akiwa hakuna anachoweza pekeyake , ispokua kwa msaada wa mabwenyenye ya magharibi yanayo mpa backup huku chama chake kikiendelea kumong'onyoka na kukosa kuaminika kwasabb hiyo ya ukibaraka 🐒

hakuna mTz wa nyakati hizi anaweza kumchagua kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi
 
Chawa wajengewe uwezo

 
Ameshasema jukumu la kugombea litakuwa kwa ridhaa ya chama. Si yeye so bafonhakuna uhakika huo

As per record lissu ameenda kuishtaki tigo, suala la kusema eti kaishtaki serikali ili mali zake zikamatwe ni habari zisizonsahihi
 
Yuko sawa haishtaki nchi ya Tanzania bali anawashtaki Tigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…