Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
- #21
Naam,ni hoja inayofikirishaNinachokiona mimi ni Zitto kuwa mgombea mwenza wa Lissu come 2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam,ni hoja inayofikirishaNinachokiona mimi ni Zitto kuwa mgombea mwenza wa Lissu come 2020
Zitto anatakiwa kuwa mjengoniNinachokiona mimi ni Zitto kuwa mgombea mwenza wa Lissu come 2020
Ukiwa kwenye siku zako huwa unapata tabu sana dawa yake ubebe mimba tu.Ndugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Huyo mbona sigara nyota, wewe tu.Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.
Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.
P
Acacia wamesimamia na kufadhili vikao vya Kuwaunganisha Zitto na Lissu
Lissu, Zitto, Jussa, Seif Sharif, Nyalandu ni Muungano hatare kwa Maslah ya Taifa na Chama uangaliwe kwa macho makini
Dola isimame na Chadema dhidi ya ACT
ACT ni kirusi cha Mabeberu kinachonenepeshwa kwa kasi ya ajabu
Lisu washamtoa mchezoni kispycholojia hayupo sawa ikiwa mtu tu aliyekoswa na lisasi anachanganyikiwa je aliyepigwa risasi mwilini lisu ndio basi tena katika siasa za bongo
Msishangae tu akaunga juhudi mh rais hapo ndio mtaishiwa pause maana washamvuluga
Mkuu hamna la ajabu hapo kisiasa maana China ndio imewajengea ccm ukumbi wa mikutano hapo Dodoma. Hiyo dola ilikuwa likizo haikujali maslahi ya taifa kwa chama cha siasa kujengewa ukumbi wa mikutano? Au hilo jengo ndio ilikuwa fumba macho ili wachina wapate miradi mbalimbali ya serikali na kuishia kujenga substandard projects?
Hujui siasa wala huwajui wanasiasa. Kwani maalim seif ambaye aliungana na chadema na akaungwa mkono urais kupitia ukawa mbona alihamia ACT kabla ya chadema? Kwani chadema walimfanya nini?
Atakuwaje.mgombea mwenza wa Lissu wakati wote.wawili wanatoka Tanganyika.Ninachokiona mimi ni Zitto kuwa mgombea mwenza wa Lissu come 2020
Ninachokiona mimi ni Zitto kuwa mgombea mwenza wa Lissu come 2020
Ukumbi wa Ccm Dodoma haukujengwa na Serikal ya China
Umejengwa na Chama Rafiki Chama tawala cha China
Kama ungekuwa seriuos ungekula ban wakati tetesi za Maalim Seif kujiunga na Act-W.Hakya Mungu leo kwa mara ya kwanza ningekula ban tangu nijiunge JF, nimekusamehe *****
Inaonesha huna kabisa habari ya kinachoendelea kwenye siasa. Zitto na Tundu wanatoka bara MGOMBEA MWENZA LAZIMA ATOKE UPANDE WA PILI WA MUUNGANO na kuna sheria kwamba ukihamia chama kipya kaa miaka miwli ndo ugombee cheo cha kisiasa.Ninachokiona mimi ni Zitto kuwa mgombea mwenza wa Lissu come 2020
Wewe hata katiba huijui. Sasa wote wanatoka Tz bara, wanakuwaje mtu na mgombea mwenza wake!Ninachokiona mimi ni Zitto kuwa mgombea mwenza wa Lissu come 2020
Rubbish, waziri mzima unaandika "mavi" kiwango hiki. Acha utoto wewe ni mtu "mkubwa", tunategemea hekima toka kwako siyo utumbo wa hivi!Ndugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Haiwezekani...lazima mmoja atokee visiwani.Ninachokiona mimi ni Zitto kuwa mgombea mwenza wa Lissu come 2020