Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

Status
Not open for further replies.
nimependa hiyo jinsi ulivyowaelezea bila kupepesa jicho, sometimes huwa uko vzri sana, ila muda mwingine huwa mmmhhh! maono mazur sana ulioyo yatoa kuhusu hizi njemba mbili.

Huwa sipepesi macho mara zote, shida yangu huwa simsifii huyu unayetaka nimpambe.
 
Huwa sipepesi macho mara zote, shida yangu huwa simsifii huyu unayetaka nimpambe.
mimi huwa sipambi mtu ikija naitoa tu hata awe nani hata juzi uliona nilivyomtolea uvivu huyo unaye fikiru nampamba kwa kupenda kusifiwa..huo ndo ukweli, ukiona kimepotoshwa unagonga hapo hapo.
 
Acacia wamesimamia na kufadhili vikao vya Kuwaunganisha Zitto na Lissu

Lissu, Zitto, Jussa, Seif Sharif, Nyalandu ni Muungano hatare kwa Maslah ya Taifa na Chama uangaliwe kwa macho makini

Dola isimame na Chadema dhidi ya ACT

ACT ni kirusi cha Mabeberu kinachonenepeshwa kwa kasi ya ajabu
Dola ndio takataka gani hiyo.
 
Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.

Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.

P
Duh umemalizia kwakutukana salute kwako mkuu!
Pia umemanisha ukichaa wa Musiba kwa huyu bwana Musiba anasubiri!!
Dah shukran nimejifunza njia njema ya kutukana!
 
Inaonesha huna kabisa habari ya kinachoendelea kwenye siasa. Zitto na Tundu wanatoka bara MGOMBEA MWENZA LAZIMA ATOKE UPANDE WA PILI WA MUUNGANO na kuna sheria kwamba ukihamia chama kipya kaa miaka miwli ndo ugombee cheo cha kisiasa.
Hiyo sheria imetungwa lini ya kuwa ukihama chama unapigwa ban miaka miwili..!!!
 
Ndugu zangu,

Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.

Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.

Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.

Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Katawadhe maana hiyo ni ajenda yenu chonganishi.
 
Hizi ni taarifa feki zinazosambazwa na vibaraka wa huu utawala ili ku-divert attention ya watu wasiwaze sana shida zinazotokana na kuporomoka kwa uchumi.

Hii wazungu wanaita "Wagging the Dog". Ni mkakati ambao hutumiwa na watawala pale wanapoishiwa "The Room to Manoeuvre", hali ambayo ndio inaikabili huu utawala kwa sasa.
 
Ndugu zangu,

Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.

Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.

Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.

Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
The quilty are afraid...acha hizo hapa tutajua kama bad can win over good.
 
Ohooo, makamanda wataanza kumtukana Lisu. Ajichunge sana.
Muathirika anaposhambuliwa na kutokuhurumiwa ndio utambuzi wa uwepo wa shetani ndani ya baadhi yetu. Dumia ya leo unapojibu hoja kwa risasi unajitambulisha ulivyo athiriwa na APEDOMIA aka Unyani kama alivyubainisha Mch. MTIKILA r.i.p
 
Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.

Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.

P
Du!
IMG-20190908-WA0020.jpeg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom