Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Mkuu kwenye wanasiasa ongezea "wanasisa wa Tanzania" ndio maana hata wakionewa huwezi kuona wazungu wansema lolote maana wanajua ni "nyani wamezidiana ujanja"Wanasiasa wanafanya siasa kama ajira na njia ya ulaji, badala ya kufanya siasa za kuwasaidia wananchi.
Kwa sasa hatutakiwi tu-give - a - fuvk kuhusu hizi hamahama za wanasiasa bali tuwasubiri kunako sanduku la kura tuu.
Nadhani sauti iko vizuri.[emoji350][emoji344]
Unforgetable