Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,951
- 9,977
Mkuu bendera na nguo hazimfanyi mtu kufia chamani. Unamkumbuka aliyewahi kuwa Katibu wa Sekretariat ya CCM anayeshughulikia Itikadi na Propaganda ya CCM? Uliamini kwamba atatoka CCM na kufia nje ya CCM?Nimeona video ya Lissu ya TAREHE 07/09. Ni dhahiri Lissu atafia Chadema. Katoa video akiwa Ubelgiji, full uniform had Bendera, unajua Chadema imentendea mema kiasi gani! Zito naye kaongea kule tweeter kuhusu uhusiano wake na Lissu. Tuache kuvumisha vitu hivi, ili iweje labda unakoelekeza kudadavua. Kama ni kwenda kuona mgonjwa ni kigezo, kuna wale waliomuuguza kwa zaidi ya mwezi tuwaweke wapi