Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinisingizie ...
Pitia tu mtori jioni hii!
Hakuna hoja, Nyerere aliwahi kuwaambia waandishi wa habari walipomuuliza kuwa "kuna tetesi unataka kumpindua Mwinyi", unajua aliwajibuje? Aliwajibu hivi: Ukisikia tetesi kuwa mimi ndiye baba yako, utakwenda kuandika au kuuliza mama yako? MKUTANO ULIVUNJIKA HAPO HAPO!Unaonekana mgeni siasani, halafu amesema ni tetesi, unless umejisikia tu kumtusi bila kutafakari hoja yake ya kisiasa zaidi.
Asante
Kamanda unatia aibuDola ndio takataka gani hiyo.
Kamanda jenga hoja bila matusiKatawadhe maana hiyo ni ajenda yenu chonganishi.
Ushahidi unao?hata tuliposema Seif ataenda ACT mlitoa povuLengo kuu la mtoa mada Ni kuchonganisha upande wa upinzani
TuliaSinaga tabia ya kuamini tetesi ngoja nisubiri.
Mkuu Pascal....una mambo na visa sana....Ha ha haaa!! Mbona unahimiza sana tujue jinsi/jinsia ya mleta mada!?Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.
Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.
P
Hoja kwa hoja kamandaHivi Lissu alikukopa dada?
You are very right. Hii kitu itoke vichwani mwetu. Hatuwezi kuendelea kuon utumishi kama sehemu ya kuula!Hapo penye kuula, inabidi hii mentality ifutiliwe mbali.
Kugeuza nafasi za kuwatumikia wananchi kama nafasi za kujinufaisha ni kosa linalotugharimu.
Flani " Kaula". tuachane na hii kauli.
Mchawi mpe mtoto akuleleeBila mwenyekiti kufanya maamuzi magumu lissu alishakufa siku ile alipomiminiwa risasi. Maamuzi ya mwenyekiti kumpeleka Nairobi ndio yanamfanya lissu kuishi leo.
Hawezi kumsaliti mwenyekiti.
Hii tetesi ni upuuzi kama upuuzi mwingineView attachment 1201714
Kwa wapinzani wadhifa ni kutumbua ruzukuHapo penye kuula, inabidi hii mentality ifutiliwe mbali.
Kugeuza nafasi za kuwatumikia wananchi kama nafasi za kujinufaisha ni kosa linalotugharimu.
Flani " Kaula". tuachane na hii kauli.
Kuwa mpoleKwahiyo wewe umetoa kama tetesi au umezungumza habari zinazoendelea huko jikoni kwenye majungu ya ubwabwa
Nje ya mada kamandaHakuna hoja, Nyerere aliwahi kuwaambia waandishi wa habari walipomuuliza kuwa "kuna tetesi unataka kumpindua Mwinyi", unajua aliwajibuje? Aliwajibu hivi: Ukisikia tetesi kuwa mimi ndiye baba yako, utakwenda kuandika au kuuliza mama yako? MKUTANO ULIVUNJIKA HAPO HAPO!
Huyu ni public figure, resp-ectable figure, aachane na ushabiki wa JF. She needs to talk sense, not tetesi! Tetesi awaachie "wapuuzi"
Mimi siyo kamabda, hata wewe ukitetea haki, utu, utawala wa sheria etc nitakuunga mkono!Nje ya mada kamanda
Ili mtu aweze to talk sense, hatua ya kwanza kabisa kabla ya yote ni hiyo sense yenyewe, kwanza iwepo, ndipo mtu a talk sense, ikitokea hata hiyo sense yenyewe tuu haipo, then kumtegemea mtu kama huyo a talk sense, hiyo sense ya ku talk itoke wapi?.Hakuna hoja, Nyerere aliwahi kuwaambia waandishi wa habari walipomuuliza kuwa "kuna tetesi unataka kumpindua Mwinyi", unajua aliwajibuje? Aliwajibu hivi: Ukisikia tetesi kuwa mimi ndiye baba yako, utakwenda kuandika au kuuliza mama yako? MKUTANO ULIVUNJIKA HAPO HAPO!
Huyu ni public figure, resp-ectable figure, aachane na ushabiki wa JF. She needs to talk sense, not tetesi! Tetesi awaachie "wapuuzi"
Ukumbi wa Ccm Dodoma haukujengwa na Serikal ya China
Umejengwa na Chama Rafiki Chama tawala cha China