Hakuna hoja, Nyerere aliwahi kuwaambia waandishi wa habari walipomuuliza kuwa "kuna tetesi unataka kumpindua Mwinyi", unajua aliwajibuje? Aliwajibu hivi: Ukisikia tetesi kuwa mimi ndiye baba yako, utakwenda kuandika au kuuliza mama yako? MKUTANO ULIVUNJIKA HAPO HAPO!
Huyu ni public figure, resp-ectable figure, aachane na ushabiki wa JF. She needs to talk sense, not tetesi! Tetesi awaachie "wapuuzi"
Kwa maneno hayo huyu ni lazima atakuwa ke tu na anasema nondo ataula Kuwa yeye anaula.Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.
Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.
P
Sababu ya Zito kumkaribisha Lissu si kuchukua nchi, maana hilo haliwezekani ila ni kutaka ACT kiwe chama kikuu cha upinzani bungeni. Kiweze kukishinda CHADEMA. Hivyo Zito haangaiki na CCM anataka kuivunja CHADEMA. Lissu akitoka CHADEMA maana yake kura za Chadema ZITAKUWA NDOGO na kupoteza nafasi yake bungeni.Duh, hapo umeuwa mkuu, "dola isimame na Chadema". Cku kijani itaungana na gwanda kuimaliza ACT kutakuwa na kupatwa kwa Lumumba.
Ndugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Muha anamfuata Muha mwenzakeNdugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Abdul Nondo njoo kukanusha ama kukubali ndugu yetu. Ila nimesikia tetesi Nondo kaitwa Ikulu na Jiwe atampatia cheo wakati wowote akimaliza chuo. Nasikia hata kuachiwa kwake ruksa ilitoka kwa Jiwe maana anasema Nondo ninraslimali kubwa kwa Taifa hivyo anahitajika sana CCM akasaidiane nguvu na kina Katambi kuiingiza nchi katika uchumi wa kati wa viwandaNdugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Kila uzi unaopanda jf, jina la thread starter lina kuwepo wakati wote.Huu ni uzi wa 3 kwa leo unaiandama CDM na Lissu!
Ukichoka tuambie!
Nadhani JF iwe inatoa jina la mleta uzi kama preview kabla mtu haja click ili hata asijisumbue ku click!
Ningejua ni Wakudadavua hata ku clikc nisingejaribu!
Kila uzi unaopanda jf, jina la thread starter lina kuwepo wakati wote.
P
Sijui labda kwa Symbion, kama unatumia I phone or Black Berry au Windows kama unatumia Nokia, lakini kwa sisi wa Android phone, kila thread inaonyesha jina la thread starter, hivyo kama hataki kusoma threads za Kaka Wakudadavua, you have a choice ila utapitwa na mengi maana huyu Kaka Wakudadavua sii mchezo!.Sio kwa phone App mkuu!
Au ni local setting issue?
Lemme check
Mbona unaangaika na Lissu why husiangaike na mkeo na watoto wako achalia mbali wazazi wako waliopauka kwa kukosa huduma muhimu za kijamii?Ndugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Kuna Muda Watu Wanakaa Ndani Kutunga Tetesi
Duh, hapo umeuwa mkuu, "dola isimame na Chadema". Cku kijani itaungana na gwanda kuimaliza ACT kutakuwa na kupatwa kwa Lumumba.
Watz walio wengi huwa hawapigi kura. Sijui mna akili gani. Halafu maisha yakibana mnakimbilia bondeni kwa wazulu.Wanasiasa wanafanya siasa kama ajira na njia ya ulaji, badala ya kufanya siasa za kuwasaidia wananchi.
Kwa sasa hatutakiwi tu-give - a - fuvk kuhusu hizi hamahama za wanasiasa bali tuwasubiri kunako sanduku la kura tuu.
Nadhani sauti iko vizuri.[emoji350][emoji344]
Unforgetable
Rudi shule ujifunze kuandikaMimi siyo kamabda, hata wewe ukitetea haki, utu, utawala wa sheria etc nitakuunga mkono!
Kamanda tulia utaumia moyo sanaYaani kweli huyu MTU Wakudadavuwa anatoka atokako na kuja JF kuleta mada about Chadema na Lissu huku Zitto na watu na fikra zenu mnaamini tetesi zake?
Kwani nyie wrote wageni hapa JF na hamumjui Wakudadavuwa?
Poleni sana kwa muda wenu!
Kamanda kazi ya upinzani ni kula ruzukuKwa maneno hayo huyu ni lazima atakuwa ke tu na anasema nondo ataula Kuwa yeye anaula.
Kamanda acha udiktetaMbona unaangaika na Lissu why husiangaike na mkeo na watoto wako achalia mbali wazazi wako waliopauka kwa kukosa huduma muhimu za kijamii?
Mayalla kwanini usimwambie ukweli na kifasaha tu kua" Mwana mbati Mashikolo mageni"????Sijui labda kwa Symbion, kama unatumia I phone or Black Berry au Windows kama unatumia Nokia, lakini kwa sisi wa Android phone, kila thread inaonyesha jina la thread starter, hivyo kama hataki kusoma threads za Kaka Wakudadavua, you have a choice ila utapitwa na mengi maana huyu Kaka Wakudadavua sii mchezo!.
P