Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hakuna mkamilifu. Double standard hata wewe unayo huko uliko. Sema kwa vile hatuioni na iwapo wewe huwezi kujitambua basi bwabwaja ya mwenzako tu.
JPM kama binadamu anaweza akaamua kuacha kumuchukulia mtu hatua kulinga na mahitaji ya wakati huo.
Anaangalia mazingira au sheria? Kwani anaoongoza kwa utashi wake au katiba na sheria?