Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Anga limechafuka moshi ukipunguwa tuone Maangamizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WakibishaKwenye hili kaniboa sana i was expecting ataje majina bila kuogopa ili tudeal na wanaotuhujumu lakini nae ameishia kuwa kama bashite. Tishia nyau watu wazima eti ndio danganya toto ya maandamano yote plus kibali cha mhadhara unaishia kuambiwa wakibisha anawataja so ina maana anawaambia wasipobisha hatawataja.
Watu wameandamana plus kukaa juani kumsikiliza and this is all he had to say ??
Mama tulia huyo ni mtetezi wa watoto wakoLissu ni mtu muoga kuliko kunguru,tunataka nchi safi hivyo Lissu angewataja tujue,athibitishe kama kweli yeye ni jasiri.
Hapa ndo unakumbushwa kuwa za kuambiwa changanya na za kwako. Za kwako ni kujiuliza majina yapo? Kwanini hayatajwi mpaka wabishe? Kama nahusika Kuna haja ya kubisha kama sijatajwa? Unaposema kubisha unamaanisha nitoke hadharani huku sijatajwa au unaniita tumalizane nikibisha ndo unitaje? Za kuchanganya ni nyingi.Kwamba wasipobisha hatowataja?
Kabisa,unajua Lissu anakuja na siasa za miaka ya 90,anapaswa kuwataja majina ili aoneshe unguli wake kisheria,anaogopa nini huyu mbelgiji?Kwenye hili kaniboa sana i was expecting ataje majina bila kuogopa ili tudeal na wanaotuhujumu lakini nae ameishia kuwa kama bashite. Tishia nyau watu wazima eti ndio danganya toto ya maandamano yote plus kibali cha mhadhara unaishia kuambiwa wakibisha anawataja so ina maana anawaambia wasipobisha hatawataja.
Watu wameandamana plus kukaa juani kumsikiliza and this is all he had to say ??
SUBIRI UTAJWEWajinga ndiyo waliwao.
Chadomo hawana sera wao wana porojo, kubwabwaja na kuhororoja bila mpango tu.
Hapo hakuna zaidi ya ufataani tu.
Sasa wakimtafuta kabla hajataja itakuwaje😀Hapa ndo unakumbushwa kuwa za kuambiwa changanya na za kwako.
Boss, unadhani huko kubisha anakozungumzia anamaanisha abishe bila kutajwa? Au anamaanisha amtafute private halafu wasipoelewana akibisha ndo amtaje?Sasa wakimtafuta kabla hajataja itakuwaje😀
Anawapa invoice in exchange ya hayo majina and Non Disclosure Agreement then the deal is done and everybody is satisfied.Sasa wakimtafuta kabla hajataja itakuwaje😀
Umejiongeza boss, hivyo ule ni wito wa kisiasa sio? Unasema "Najua siri yako, nitafute na ukibisha nakutaja".Anawapa invoice in exchange ya hayo majina and Non Disclosure Agreement then the deal is done and everybody is satisfied.
Meza ndoano kama unabisha!!The same stories from the same people,huyu bwana namjua ni bingwa na malikia wa ungo,apingwe na kila mtanzania anayeioenda nchi yake
Lissu alindwe
Hapo Tundu anajitengenezea ulaji na mtaji wake ni wananchi.Hili naamini ni la kweli
Taja kama una majina!! Tundu Lissu acha DRAMA. Wewe mwenyewe huna mshipa wa kuchuja uongee nini kwa wakati gani!! Kama una majina TAJA
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi atawataja hadharani.
"Kuna biashara inafanyika na mimi nitataja majina mtashangaa, kuna siku nitataja majina mtashangaa. Kuna watu wanapewa vibali anaambiwa hivi kwa kila kilo moja ya kibali cha kuagiza sukari nje lipa Tsh. 200. Tukikupa tani 30,000, ni kilo milioni 30, zidisha mara 200 ni Tsh. Bilioni 6."
"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."
Ameongeza "Kama kuna mtu anabisha anataka tutaje orodha ya viongozi wa kidini waliopewa vibali vya sukari, viongozi wa kidini, Shehe gani kwenye nchi hii ana duka la sukari, au askofu gani kwenye nchi hii ana duka la sukari? Anapewaje kibali cha kuagiza tani 35,000 za sukari afu yeye anaenda kuuza kwa wafanyabiashara anawaambia nipe mia mbili mia mbili kwa kilo, wakibisha na wabishe waone. "
Huyu malikia wenu ni mwiziNini kinafanya hoja za wapinzani zisitikise nchi? Watu wameshawazoea kwamba ni wa hivyo hivyo tu?
Deal za hivi amezipiga sana Zitto alipokuwa bungeni na anarudi tena mwakani haya ndio mambo yanayomuweka town. I know what you did last summer 😂😂Umejiongeza boss, hivyo ule ni wito wa kisiasa sio? Unasema "Najua siri yako, nitafute na ukibisha nakutaja".
tusubilie matokeo2 maana tayal jamaa kashayavulia nguo...Boss, unadhani huko kubisha anakozungumzia anamaanisha abishe bila kutajwa? Au anamaanisha amtafute private halafu wasipoelewana akibisha ndo amtaje?