Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa

Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa

Kwenye hili kaniboa sana i was expecting ataje majina bila kuogopa ili tudeal na wanaotuhujumu lakini nae ameishia kuwa kama bashite. Tishia nyau watu wazima eti ndio danganya toto ya maandamano yote plus kibali cha mhadhara unaishia kuambiwa wakibisha anawataja so ina maana anawaambia wasipobisha hatawataja.

Watu wameandamana plus kukaa juani kumsikiliza and this is all he had to say ??
Wakibisha

Hao wanaobisha ndio akina nani sasa.

Hapo sioni mbishi ila kuna mlalamikaji pekee. Jamaa anazingua huyu
 
Kwamba wasipobisha hatowataja?
Hapa ndo unakumbushwa kuwa za kuambiwa changanya na za kwako. Za kwako ni kujiuliza majina yapo? Kwanini hayatajwi mpaka wabishe? Kama nahusika Kuna haja ya kubisha kama sijatajwa? Unaposema kubisha unamaanisha nitoke hadharani huku sijatajwa au unaniita tumalizane nikibisha ndo unitaje? Za kuchanganya ni nyingi.
 
Kwenye hili kaniboa sana i was expecting ataje majina bila kuogopa ili tudeal na wanaotuhujumu lakini nae ameishia kuwa kama bashite. Tishia nyau watu wazima eti ndio danganya toto ya maandamano yote plus kibali cha mhadhara unaishia kuambiwa wakibisha anawataja so ina maana anawaambia wasipobisha hatawataja.

Watu wameandamana plus kukaa juani kumsikiliza and this is all he had to say ??
Kabisa,unajua Lissu anakuja na siasa za miaka ya 90,anapaswa kuwataja majina ili aoneshe unguli wake kisheria,anaogopa nini huyu mbelgiji?
 
The same stories from the same people,huyu bwana namjua ni bingwa na malikia wa ungo,apingwe na kila mtanzania anayeioenda nchi yake
 
Hili naamini ni la kweli
Hapo Tundu anajitengenezea ulaji na mtaji wake ni wananchi.

Anamtaja Malkia na wafuasi wake Ikulu na viongozi wa dini ili kuwastua wampe kidogo asiwataje.

Maana akiwataja mchezo utakwisha na hatapata chochote.

Cha msingi anawaacha kwenye mabano ili wao wamtafute asiwataje. Wampe RUSHWA

Huyu LISSU anajitemgenezea mazingira ya kupokea RUSHWA
 

Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi atawataja hadharani.

"Kuna biashara inafanyika na mimi nitataja majina mtashangaa, kuna siku nitataja majina mtashangaa. Kuna watu wanapewa vibali anaambiwa hivi kwa kila kilo moja ya kibali cha kuagiza sukari nje lipa Tsh. 200. Tukikupa tani 30,000, ni kilo milioni 30, zidisha mara 200 ni Tsh. Bilioni 6."

"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."

Ameongeza "Kama kuna mtu anabisha anataka tutaje orodha ya viongozi wa kidini waliopewa vibali vya sukari, viongozi wa kidini, Shehe gani kwenye nchi hii ana duka la sukari, au askofu gani kwenye nchi hii ana duka la sukari? Anapewaje kibali cha kuagiza tani 35,000 za sukari afu yeye anaenda kuuza kwa wafanyabiashara anawaambia nipe mia mbili mia mbili kwa kilo, wakibisha na wabishe waone. "
Taja kama una majina!! Tundu Lissu acha DRAMA. Wewe mwenyewe huna mshipa wa kuchuja uongee nini kwa wakati gani!! Kama una majina TAJA
 
Umejiongeza boss, hivyo ule ni wito wa kisiasa sio? Unasema "Najua siri yako, nitafute na ukibisha nakutaja".
Deal za hivi amezipiga sana Zitto alipokuwa bungeni na anarudi tena mwakani haya ndio mambo yanayomuweka town. I know what you did last summer 😂😂
 
Boss, unadhani huko kubisha anakozungumzia anamaanisha abishe bila kutajwa? Au anamaanisha amtafute private halafu wasipoelewana akibisha ndo amtaje?
tusubilie matokeo2 maana tayal jamaa kashayavulia nguo...
 
Back
Top Bottom