CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Hahahah,akutetee wewe mlieufunga nae ndoa ya ushoga mimi nilishaolewa,sema lingine?Mama tulia huyo ni mtetezi wa watoto wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah,akutetee wewe mlieufunga nae ndoa ya ushoga mimi nilishaolewa,sema lingine?Mama tulia huyo ni mtetezi wa watoto wako
Lakini kimsingi ameshawataja Kwa nafasi zao.Hapo Tundu anajitengenezea ulaji na mtaji wake ni wananchi.
Anamtaja Malkia na wafuasi wake Ikulu na viongozi wa dini ili kuwastua wampe kidogo asiwataje.
Maana akiwataja mchezo utakwisha na hatapata chochote.
Cha msingi anawaacha kwenye mabano ili wao wamtafute asiwataje. Wampe RUSHWA
Huyu LISSU anajitemgenezea mazingira ya kupokea RUSHWA
Ampe umri mrefu wa KUROPOKA? Nyie watu vipi?Mwenyezi Mungu ampe umri mrefu huyu mtu. Amlinde kwa ajili ya vizazi na vizazi
Malikia wenu huyu anajifanya mvaa ushungi kumbe mwizi tu?Taja kama una majina!! Tundu Lissu acha DRAMA. Wewe mwenyewe huna mshipa wa kuchuja uongee nini kwa wakati gani!! Kama una majina TAJA
Ustaadhat uliagiza sukari ya kufutuliaWajinga ndiyo waliwao.
Chadomo hawana sera wao wana porojo, kubwabwaja na kuhororoja bila mpango tu.
Hapo hakuna zaidi ya ufataani tu.
Mnataka a wataje mara ngapi?Hapa ndo unakumbushwa kuwa za kuambiwa changanya na za kwako. Za kwako ni kujiuliza majina yapo? Kwanini hayatajwi mpaka wabishe? Kama nahusika Kuna haja ya kubisha kama sijatajwa? Unaposema kubisha unamaanisha nitoke hadharani huku sijatajwa au unaniita tumalizane nikibisha ndo unitaje? Za kuchanganya ni nyingi.
Wenzio wamekula mia mbili mbili kwa kilo na unajua, unaitumiaje hiyo taarifa?Deal za hivi amezipiga sana Zitto alipokuwa bungeni na anarudi tena mwakani haya ndio mambo yanayomuweka town. I know what you did last summer 😂😂
Si kamtaja kwamba ni malikia na watu wake wa ikuluHiv inahitajika ufike chuo kikuu kujua kwamba Lissu anatafuta attention Tu?
Mtu gani atabisha wakati hajatajwa? Abishe nini?
Lissu Kama Yuko serious basi ataje hayo majina ili watakaotajwa waweze kufahamika ni ikibid kubisha wabishe.
Wewe umewajua?Lakini kimsingi ameshawataja.
Vilaza Mmeshapanik ....huyo haongeagi bila data hiyo KITU tunasemaga TAYARI!!Taja kama una majina!! Tundu Lissu acha DRAMA. Wewe mwenyewe huna mshipa wa kuchuja uongee nini kwa wakati gani!! Kama una majina TAJA
Malkia, sheikh, kiongozi wa Dini!!Wewe umewajua?
Kwenye hili Lissu amechochora na hii sio tunayemjua kwamba huwa na akili za fyatu pale anapoamua kutaja majina maana aliweza hata kumsema a sitting President bwana Yohana kwamba ni Rais wa ajabu sasa kwa hili ameshindwaje ingali evidence anazo?Hiv inahitajika ufike chuo kikuu kujua kwamba Lissu anatafuta attention Tu?
Mtu gani atabisha wakati hajatajwa? Abishe nini?
Lissu Kama Yuko serious basi ataje hayo majina ili watakaotajwa waweze kufahamika ni ikibid kubisha wabishe.
Angesema kuna watu wamepewa vibali vya sukari kwa njia ya Rushwa ingejulikana anafichua uovu. Ila kutishia kuwataja iwalo watabisha hapo nia ya kufichuo uovu imeingia doa.tusubilie matokeo2 maana tayal jamaa kashayavulia nguo...
Sasa makasiriko ya nini ..kwani mimi nimesema umetoka Mombasa?Hahahah,akutetee wewe mlieufunga nae ndoa ya ushoga mimi nilishaolewa,sema lingine?
Unajua kuwa maandamano yameahirishwa morogoro?lissu kala kona.Sasa makasiriko ya nini ..kwani mimi nimesema umetoka Mombasa?
Kwenye hili la Sukari tafuta dr
Utapingaje kabla ya jambo lenyewe halijawekwa wazi sawa sawa?The same stories from the same people,huyu bwana namjua ni bingwa na malikia wa ungo,apingwe na kila mtanzania anayeioenda nchi yake
Kwani anaaema uwongo mbona huo ndiyo ukweli na unajulikanaWajinga ndiyo waliwao.
Chadomo hawana sera wao wana porojo, kubwabwaja na kuhororoja bila mpango tu.
Hapo hakuna zaidi ya ufataani tu.