Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa

Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa


Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi atawataja hadharani.

"Kuna biashara inafanyika na mimi nitataja majina mtashangaa, kuna siku nitataja majina mtashangaa. Kuna watu wanapewa vibali anaambiwa hivi kwa kila kilo moja ya kibali cha kuagiza sukari nje lipa Tsh. 200. Tukikupa tani 30,000, ni kilo milioni 30, zidisha mara 200 ni Tsh. Bilioni 6."

"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."

Ameongeza "Kama kuna mtu anabisha anataka tutaje orodha ya viongozi wa kidini waliopewa vibali vya sukari, viongozi wa kidini, Shehe gani kwenye nchi hii ana duka la sukari, au askofu gani kwenye nchi hii ana duka la sukari? Anapewaje kibali cha kuagiza tani 35,000 za sukari afu yeye anaenda kuuza kwa wafanyabiashara anawaambia nipe mia mbili mia mbili kwa kilo, wakibisha na wabishe waone. "
Sasa hivi ni mambo ya kutishia kutajana. Makonda "nitawataja" Lisu "niwataje?". Kama kutajana ni fashion basi na mimi sitaki kupitwa. Maxence Melo asiporudisha jf ya zamani kufikia j3 nataja michongo yake yote mibovu kama mbwai mbwai.
 
Hivi hawa wapinzani huwa wana sera au ilani ya vyama vyao kuwa watafanya nini tukiwachagua?
Au ni mwendo wa makelele tu kila siku
 
OK boss. Ila ukijaribu kuwaza mfano wa matokeo yanaweza kuwa kama yapi unaona kabisa kuwa akitaja ni kwasababu hawakuelewana asipotaja wameelewana. Either way kutishia kuwataja ilikuwa si smart move. Angeweza kusema ana taarifa za kupeana vibali vya sukari kwa rushwa then siku akiamua kuwataja anataja tu.
hiyo ndo siasa ndng yang...lissu kuyasema hayo maneno kwasababu frani...na hajataja yale majina kwasababu fran...huenda hiyo ilikuwa n first plan..kwhy let us wait for the results
 
hiyo ndo siasa ndng yang...lissu kuyasema hayo maneno kwasababu frani...na hajataja yale majina kwasababu fran...huenda hiyo ilikuwa n first plan..kwhy let us wait for the results
Siasa ni maslahi.
 
Kizimkazi mwenyewe hayupo Yuko majuu anapiga misele kumbe nyuma anaganji yake. Akirudi anapewa chake
 
Wajinga ndiyo waliwao.

Chadomo hawana sera wao wana porojo, kubwabwaja na kuhororoja bila mpango tu.

Hapo hakuna zaidi ya ufataani tu.

Wenzio wanatoa hoja, wewe unaropoka.
 
Sasa hivi ni mambo ya kutishia kutajana. Makonda "nitawataja" Lisu "niwataje?". Kama kutajana ni fashion basi na mimi sitaki kupitwa. Maxence Melo asiporudisha jf ya zamani kufikia j3 nataja michongo yake yote mibovu kama mbwai mbwai.
hahahahahahaha!! kwamba na wew umeamua utoe la moyon...haya bn
 
Nimeona ila sie wengine tulishazoea ile ya MwembeYanga
Enzi zile ulikuwa ukitaja, vyombo vinafanya uchunguzi,

Saiz unaona CAG analeta Ripoti ya mwaka huu ,wakati ya mwaka Jana haikafanyiwa KAZI.

Bado tuna safari ndefu mbele yetu!!
 

Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi atawataja hadharani.

"Kuna biashara inafanyika na mimi nitataja majina mtashangaa, kuna siku nitataja majina mtashangaa. Kuna watu wanapewa vibali anaambiwa hivi kwa kila kilo moja ya kibali cha kuagiza sukari nje lipa Tsh. 200. Tukikupa tani 30,000, ni kilo milioni 30, zidisha mara 200 ni Tsh. Bilioni 6."

"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."

Ameongeza "Kama kuna mtu anabisha anataka tutaje orodha ya viongozi wa kidini waliopewa vibali vya sukari, viongozi wa kidini, Shehe gani kwenye nchi hii ana duka la sukari, au askofu gani kwenye nchi hii ana duka la sukari? Anapewaje kibali cha kuagiza tani 35,000 za sukari afu yeye anaenda kuuza kwa wafanyabiashara anawaambia nipe mia mbili mia mbili kwa kilo, wakibisha na wabishe waone. "
Mama anaupiga mwingi sn
 
Kweli mtupu tunajua diri nzito deal la sukari.....tunajua
Ndugu yangu kuna mambo mengi Sana huwa yanavuja na tunapata taarifa ila hatuna sehemu ya kusemea .
Mwezi February kuna jamaa hapa kariakoo alienda Dodoma kuchukua kibali cha kuagiza sukari Kwa jina lake lkn nyuma ya pazia ni waziri ndiyo mwenye mtaji

Jamaa sikuhizi yupo kwenye V8 mwanzomwisho maisha Safi anapiga pesa Kwa mgongo wa rafiki yake waziri
 
Ndugu yangu kuna mambo mengi Sana huwa yanavuja na tunapata taarifa ila hatuna sehemu ya kusemea .
Mwezi February kuna jamaa hapa kariakoo alienda Dodoma kuchukua kibali cha kuagiza sukari Kwa jina lake lkn nyuma ya pazia ni waziri ndiyo mwenye mtaji

Jamaa sikuhizi yupo kwenye V8 mwanzomwisho maisha Safi anapiga pesa Kwa mgongo wa rafiki yake waziri
Hakuna majangili wakubwa kama hawa jamaa wapo kwenye V8 za umma
 

Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi atawataja hadharani.

"Kuna biashara inafanyika na mimi nitataja majina mtashangaa, kuna siku nitataja majina mtashangaa. Kuna watu wanapewa vibali anaambiwa hivi kwa kila kilo moja ya kibali cha kuagiza sukari nje lipa Tsh. 200. Tukikupa tani 30,000, ni kilo milioni 30, zidisha mara 200 ni Tsh. Bilioni 6."

"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."

Ameongeza "Kama kuna mtu anabisha anataka tutaje orodha ya viongozi wa kidini waliopewa vibali vya sukari, viongozi wa kidini, Shehe gani kwenye nchi hii ana duka la sukari, au askofu gani kwenye nchi hii ana duka la sukari? Anapewaje kibali cha kuagiza tani 35,000 za sukari afu yeye anaenda kuuza kwa wafanyabiashara anawaambia nipe mia mbili mia mbili kwa kilo, wakibisha na wabishe waone. "
Kama ni kweli hii nchi wenye hofu ya Mungu ni wachache sana
 
Dah! Kumbe tuna mengi tusiyojua.
Nape aje atoe maelezo kwa nini tusimsikilize Lissu na badala yake tumlaani.
 
Ndugu yangu kuna mambo mengi Sana huwa yanavuja na tunapata taarifa ila hatuna sehemu ya kusemea .
Mwezi February kuna jamaa hapa kariakoo alienda Dodoma kuchukua kibali cha kuagiza sukari Kwa jina lake lkn nyuma ya pazia ni waziri ndiyo mwenye mtaji

Jamaa sikuhizi yupo kwenye V8 mwanzomwisho maisha Safi anapiga pesa Kwa mgongo wa rafiki yake waziri
Ni sahihi kabisa...
 

Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi atawataja hadharani.

"Kuna biashara inafanyika na mimi nitataja majina mtashangaa, kuna siku nitataja majina mtashangaa. Kuna watu wanapewa vibali anaambiwa hivi kwa kila kilo moja ya kibali cha kuagiza sukari nje lipa Tsh. 200. Tukikupa tani 30,000, ni kilo milioni 30, zidisha mara 200 ni Tsh. Bilioni 6."

"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."

Ameongeza "Kama kuna mtu anabisha anataka tutaje orodha ya viongozi wa kidini waliopewa vibali vya sukari, viongozi wa kidini, Shehe gani kwenye nchi hii ana duka la sukari, au askofu gani kwenye nchi hii ana duka la sukari? Anapewaje kibali cha kuagiza tani 35,000 za sukari afu yeye anaenda kuuza kwa wafanyabiashara anawaambia nipe mia mbili mia mbili kwa kilo, wakibisha na wabishe waone. "
🙄!🙄 !🙄!🙄!
 
Back
Top Bottom