mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kwani mashoga hamna huku kwenu mbona wapo na mnaishiHahahah,akutetee wewe mlieufunga nae ndoa ya ushoga mimi nilishaolewa,sema lingine?
Nao mnajukuika nao kwenye matamasha yenu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mashoga hamna huku kwenu mbona wapo na mnaishiHahahah,akutetee wewe mlieufunga nae ndoa ya ushoga mimi nilishaolewa,sema lingine?
Hata ukiwa na uelewa wa chekechea Lissu kaelewekaKwenye hili Lissu amechochora na hii sio tunayemjua kwamba huwa na akili za fyatu pale anapoamua kutaja majina maana aliweza hata kumsema a sitting President bwana Yohana kwamba ni Rais wa ajabu sasa kwa hili ameshindwaje ingali evidence anazo?
Kama ndio hivi basi hakuna maana ya kuitisha mkutano halafu unaishia kuweka vitendawili.
ndio maana nimesema tusubilie matokeo...anajua anachokifanya...tuwe na subiraAngesema kuna watu wamepewa vibali vya sukari kwa njia ya Rushwa ingejulikana anafichua uovu. Ila kutishia kuwataja iwalo watabisha hapo nia ya kufichuo uovu imeingia doa.
naamin huko waliko wanajamba2...Hata ukiwa na uelewa wa chekechea Lissu kaeleweka
Kukusaidia tu bomu la machozi likipigwa kinachofuata huwa Virungu tu kwa kwenda mbele
Kwa hiyo dozi iendelee mfululizo ?Unajua kuwa maandamano yameahirishwa morogoro?lissu kala kona.
OK boss. Ila ukijaribu kuwaza mfano wa matokeo yanaweza kuwa kama yapi unaona kabisa kuwa akitaja ni kwasababu hawakuelewana asipotaja wameelewana. Either way kutishia kuwataja ilikuwa si smart move. Angeweza kusema ana taarifa za kupeana vibali vya sukari kwa rushwa then siku akiamua kuwataja anataja tu.ndio maana nimesema tusubilie matokeo...anajua anachokifanya...tuwe na subira
🤣🤣🤣naamin huko waliko wanajamba2...
Umesikia huko Lissu katoa barua yake kuhusu chaguzi zenu kujaa rushwa,unajua ni pesa za join the chain?Kwani mashoga hamna huku kwenu mbona wapo na mnaishi
Nao mnajukuika nao kwenye matamasha yenu
Ova
Nachukia Sana watu mnao tetea wahujumu uchumi.Nini kinafanya hoja za wapinzani zisitikise nchi? Watu wameshawazoea kwamba ni wa hivyo hivyo tu?
Dozi iendelee vipi wakati mmehairisha maandamano.Kwa hiyo dozi iendelee mfululizo ?
au ndo tayal washamchimba makwara!! maana hawanaga dogoDozi iendelee vipi wakati mmehairisha maandamano.
Na kwa kua hawajatajwa hawawezi kubisha .unabishaje hujatajwa?Kwamba wasipobisha hatowataja?
Hapana ni ukosefu wa ukweli uliokithiri chadema.au ndo tayal washamchimba makwara!! maana hawanaga dogo
tuna upinzani usiojielewa kabisa nchi hii, ukibaraka nao ni mzigo....
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi atawataja hadharani.
"Kuna biashara inafanyika na mimi nitataja majina mtashangaa, kuna siku nitataja majina mtashangaa. Kuna watu wanapewa vibali anaambiwa hivi kwa kila kilo moja ya kibali cha kuagiza sukari nje lipa Tsh. 200. Tukikupa tani 30,000, ni kilo milioni 30, zidisha mara 200 ni Tsh. Bilioni 6."
"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."
Ameongeza "Kama kuna mtu anabisha anataka tutaje orodha ya viongozi wa kidini waliopewa vibali vya sukari, viongozi wa kidini, Shehe gani kwenye nchi hii ana duka la sukari, au askofu gani kwenye nchi hii ana duka la sukari? Anapewaje kibali cha kuagiza tani 35,000 za sukari afu yeye anaenda kuuza kwa wafanyabiashara anawaambia nipe mia mbili mia mbili kwa kilo, wakibisha na wabishe waone. "




Amewataja kiaina, rudia kusoma😀Na kwa kua hawajatajwa hawawezi kubisha .unabishaje hujatajwa?
Ndio maana nchi haitakaa kamwe iweze kujitegemea kwa uzalishaji wa bidhaa maana kuna watu wao na familia zao biashara yao ni kuagiza bidhaa kutoka nje. Kwa mfano watahujumu kwa nguvu zote sekta ya sukari kuanzia mashamba hadi uanzishaji wa viwanda vya sukari. Hata wakijidai kuanzisha kiwanda ni kuzuga ili waendelee kuagiza kutoka nje. Kuna familia zingine ni wagizaji wa ngano wengine wa mchele, wengine magari. Unakuta familia kama hizo nyingi niza asili ya kiasia na ni shughuli yao toka enzi ya ukoloni. Kwa hivyo kuhujumu viwanda na kuhonga wapewe vibali kupambana na vikwazo kuagiza ni katika kuhakikisha wanaendelea na maisha yao. Inahitaji uongozi aina ya kimagufuli kukabiliana na watu wabinafsi wenye kulinda maslahi yao kwa gharama ya umma na taifa ambalo linahitahi maendeleo ya kweli ya kiuchumi kwa watu wake.
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi atawataja hadharani.
"Kuna biashara inafanyika na mimi nitataja majina mtashangaa, kuna siku nitataja majina mtashangaa. Kuna watu wanapewa vibali anaambiwa hivi kwa kila kilo moja ya kibali cha kuagiza sukari nje lipa Tsh. 200. Tukikupa tani 30,000, ni kilo milioni 30, zidisha mara 200 ni Tsh. Bilioni 6."
"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."
Ameongeza "Kama kuna mtu anabisha anataka tutaje orodha ya viongozi wa kidini waliopewa vibali vya sukari, viongozi wa kidini, Shehe gani kwenye nchi hii ana duka la sukari, au askofu gani kwenye nchi hii ana duka la sukari? Anapewaje kibali cha kuagiza tani 35,000 za sukari afu yeye anaenda kuuza kwa wafanyabiashara anawaambia nipe mia mbili mia mbili kwa kilo, wakibisha na wabishe waone. "
Ndio hapo pako na maswali mengiKwamba wasipobisha hatowataja?
"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara, na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."