Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa

Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa

Kwani wewe katika maisha yako umewahi kumtaja nani kwa ufisadi? Kwa maelezo tu hayo aliyosema wewe unaweza simama in mahali popote hata mtaani kwako tu ukayasema mbele za watu? Je umesahau orodha ya mafisadi aliowataja Lissu pale mwembe yanga akiwemo PM wa zamani? Kwa sasa hivi hakuna mpinzani mwenye ujasiri kumzidi huyo jamaa. Haogopi mtu huyo jamaa na anajiamini sn
Mimi sitaji ili nifurahishe wanafiki,nitawataja nikiwa na ushahidi wakutosha.
 
Luhanga ndio
Ccm jengeni uhimara wa chama 2025 mpende msipende , nilisha sema Mungu wangu amewafutilia mbali kiuongozi , SSH fanya ufanyavyo ccm Mungu ameinyima kibali ccm kutawala , sasa mie sio hao, Mungu wangu yupo up to date sana , nilisema wKati wa Maghufuli na SSH ukilazimisha haina shida , pitia kauli zangu kipindi cha mwenda zake aliekua boss wako utajua ,mie sio mchungaji , sina kanisa ,ni mlala hoi wa kawaida tu ,sasa jichanganye, asema Bwana , kale mafao ya urais tu basi maana ni haki yako kikatiba . Kipindi cha mwendazake uchaguzi na kabla yapo niliodokeza na wewe nakupa dokezo achana na hii , sikupangii uhamuzi ni wako suka au kunyoa ,thanks Madam ,asema Bwana


Upatapo mda pitia post zangu kabla ya uchaguzi na bahada ya uchaguzi kwa acc hii utajua nasema nini, machawa yalinibeza sana sana ,so hachana na hii kitu, Bwana anasema sio zam yenu ccm ,ukilazimisha sawa ,Tunza hii mh rais
 
Ccm jengeni uhimara wa chama 2025 mpende msipende , nilisha sema Mungu wangu amewafutilia mbali kiuongozi , SSH fanya ufanyavyo ccm Mungu ameinyima kibali ccm kutawala , sasa mie sio hao, Mungu wangu yupo up to date sana , nilisema wKati wa Maghufuli na SSH ukilazimisha haina shida , pitia kauli zangu kipindi cha mwenda zake aliekua boss wako utajua ,mie sio mchungaji , sina kanisa ,ni mlala hoi wa kawaida tu ,sasa jichanganye, asema Bwana , kale mafao ya urais tu basi maana ni haki yako kikatiba . Kipindi cha mwendazake uchaguzi na kabla yapo niliodokeza na wewe nakupa dokezo achana na hii , sikupangii uhamuzi ni wako suka au kunyoa ,thanks Madam ,asema Bwana


Upatapo mda pitia post zangu kabla ya uchaguzi na bahada ya uchaguzi kwa acc hii utajua nasema nini, machawa yalinibeza sana sana ,so hachana na hii kitu, Bwana anasema sio zam yenu ccm ,ukilazimisha sawa ,Tunza hii mh rais
Amina Mtumishi
 
Ccm kama ummejipanga kuleta machafuko nchi hii sawa but Mungu alisha wakataa kiutawala ,sasa mtakabidhi damu za watu sijui kwa kheri au shari sijui au msifanye hivyo , maana upanga wa Bwana hupo juu yenu asema Bwana ,sio maneno yangu bali ni unenaji wa Mungu wangu,sasa jichangaye , Bwana anasem ataigeuza aridhi nyembamba kuwa kubwa na kuu na itakua pia kuu nzito kama dhahabu ( wanao jua kusali wataweza nipa maana)

Kipindi cha mwendazake nilsema na nasema upya kibali cha Bwana, kabla ya campaign nilioneshwa mti mrefu kuliko yote ambao Mungu wangu alisema niutafute, nikaomba msaada toka kwa manabii na wachungaji hapa jf , matokeo yake yalikua matusi na kejeli , rejea post zangu 2020 -2021 , OK its Time
Thanks
 
Mkuu kwa hii kitu tunaenda kujua nani yupo na watz , misukari imeletwa kama kweli ,hatujui usalama wake , inaumizaa au itaumiza watu kwa namna gani kama kweli ,sio mimi ,wewe ndugu zako haijalishi waishi nje ya nchi au la ,alafu tunaleta utani , uchama katika jambo hili,

Kama ni kweli ndivyo hii itakua kama mauwaji ya kimbari ya taratibu kama hatuweza weza pata wachunguzi huru wa vyakula kutoka nje ya nchi , ili kutudhibishia kwamba iyo sukari ilikua na viwango au la kwa mlaji , kabla ya kuongelea ufisadi katika kitu hii.

Tunataka uchunguzi huru wa team toka nje chunguza masukali haya kwanza
Wewe Tanzania hii bado unakula sukari?

Asali inafanya kazi gani?
 
Ccm jengeni uhimara wa chama 2025 mpende msipende , nilisha sema Mungu wangu amewafutilia mbali kiuongozi , SSH fanya ufanyavyo ccm Mungu ameinyima kibali ccm kutawala , sasa mie sio hao, Mungu wangu yupo up to date sana , nilisema wKati wa Maghufuli na SSH ukilazimisha haina shida , pitia kauli zangu kipindi cha mwenda zake aliekua boss wako utajua ,mie sio mchungaji , sina kanisa ,ni mlala hoi wa kawaida tu ,sasa jichanganye, asema Bwana , kale mafao ya urais tu basi maana ni haki yako kikatiba . Kipindi cha mwendazake uchaguzi na kabla yapo niliodokeza na wewe nakupa dokezo achana na hii , sikupangii uhamuzi ni wako suka au kunyoa ,thanks Madam ,asema Bwana


Upatapo mda pitia post zangu kabla ya uchaguzi na bahada ya uchaguzi kwa acc hii utajua nasema nini, machawa yalinibeza sana sana ,so hachana na hii kitu, Bwana anasema sio zam yenu ccm ,ukilazimisha sawa ,Tunza hii mh rais

Kwa matendo machafu na ya kutisha yanayofanywa na CCM na Serikali yake, na ukweli kuwa Watanzania siyo watu wa kuhamaki hata pale wanapoonewa, kwa unyonge wao huo, ndipo ukuu wa Mungu hudhihirila.

Basi wale watu wa imani wala wasichoke kuomba na kumlilia Mungu ili ukuu wa Mungu uzidi kudhihirika dhidi ya hawa CCM na Serikali yake wanaoogolea kwenye anasa ya dhuluma dhidi ya wananchi wanaokamuliwa usiku na mchana. Dhidi ya hawa CCM wanaozunguka Dunia nzima kutafuta mikopo ambayo kwa kiasi kikubwa anagharamia anasa zao na mapato yao yasiyo haki kwa gharama ya mateso ya vizazi vijavyo.

Nao wananchi wenye nguvu, wauvae ujasiri, wala wasisite kufanya lolote dhidi ya CCM, ili iondoke. Na hakika hilo litawezekana maana siku zote Mungu yupo nyuma yao wapiginiao haki yao na vizazi vijavyo.

Lazima CCM itatoka na kutoweka.
 

Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi atawataja hadharani.

"Kuna biashara inafanyika na mimi nitataja majina mtashangaa, kuna siku nitataja majina mtashangaa. Kuna watu wanapewa vibali anaambiwa hivi kwa kila kilo moja ya kibali cha kuagiza sukari nje lipa Tsh. 200. Tukikupa tani 30,000, ni kilo milioni 30, zidisha mara 200 ni Tsh. Bilioni 6."

"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."

Ameongeza "Kama kuna mtu anabisha anataka tutaje orodha ya viongozi wa kidini waliopewa vibali vya sukari, viongozi wa kidini, Shehe gani kwenye nchi hii ana duka la sukari, au askofu gani kwenye nchi hii ana duka la sukari? Anapewaje kibali cha kuagiza tani 35,000 za sukari afu yeye anaenda kuuza kwa wafanyabiashara anawaambia nipe mia mbili mia mbili kwa kilo, wakibisha na wabishe waone. "
kumekuchaaa!
 

Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi atawataja hadharani.

"Kuna biashara inafanyika na mimi nitataja majina mtashangaa, kuna siku nitataja majina mtashangaa. Kuna watu wanapewa vibali anaambiwa hivi kwa kila kilo moja ya kibali cha kuagiza sukari nje lipa Tsh. 200. Tukikupa tani 30,000, ni kilo milioni 30, zidisha mara 200 ni Tsh. Bilioni 6."

"Mfanyabiashara analipa Bilioni 6 anapewa kibali cha kuagiza sukari, anaagiza sukari anakuja kuongeza yeye Tsh. 1000 juu, wewe unanunua sukari bei imeongezeka kwa Tsh. 1000 ya mfanyabiashara na 200 ya hii biashara ya huyu malkia na watu wake wa Ikulu."

Ameongeza "Kama kuna mtu anabisha anataka tutaje orodha ya viongozi wa kidini waliopewa vibali vya sukari, viongozi wa kidini, Shehe gani kwenye nchi hii ana duka la sukari, au askofu gani kwenye nchi hii ana duka la sukari? Anapewaje kibali cha kuagiza tani 35,000 za sukari afu yeye anaenda kuuza kwa wafanyabiashara anawaambia nipe mia mbili mia mbili kwa kilo, wakibisha na wabishe waone. "
Tangu mwezi wa nne sasa hivi mwezi wa Sita unaisha hajawataja na bado kuna nyumbu wanamuamini.
 
Nchi ipi mikononi mwa mumiani wenye sura za utakatifu.Majizi yote yaliyowekwa kando na yule jemedari kutoka Chato yamerudi kilingeni kufilisi nchi.Il 'pazia' yao haaishi kupepea angani kila uchao huku wao wakiiba,kukwapua,kupora na kuumiza nchi bila ya hofu.Hizi ni dalili dhahiri kabisa kwamba kuna genge hatari sana nchi hii lenye nguvu kubwa kuliko Serikali.
 
Back
Top Bottom