Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna fedha chafu zimeingizwa CHADEMA ili tulegeze msimamo

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna fedha chafu zimeingizwa CHADEMA ili tulegeze msimamo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu,

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa na Mgombea wa Uenyekiti, Tundu Lissu kwenye mahojiano na Wasafi Media amesema;

"Nachotaka kusema ni kwamba Uchaguzi huu kumekuwa na fedha nyingi sana..sana, ambazo wala sio za CHADEMA, (lengo la fedha hizo) ni kuhakikisha kwamba CHADEMA inakua na msimamo wa aina fulani, inakua na viongozi wa aina fulani (msimamo legelege dhidi ya dola)"

Lissu: Freeman Mbowe ndiye aliyempa Tuzo (ya maridhiano) Rais Samia bila ridhaa ya Chama


Soma, Pia;

-
Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

- Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
 
Hapa ndo anapojiharibia, yeye ajinadi kwa wapiga kura ili tar 21 wafanye kweli sio ku-attack chama harafu ushahidi hakuna, naanza kupoteza imani na yeye
#Akishindwa anatembea huyu
Uchafu wote lazima usemwe tabia ya kufukia uchafu iko CCM na hata hiyo hela chafu imetoka CCM. Bora anyimwe kura kwa kusema ukweli.
 
Njaaa ni mbaya sana ..... laah
Na ndiyo maana mataifa makubwa hayampi mtu masikini uongozi.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa na Mgombea wa Uenyekiti, Tundu Lissu kwenye mahojiano na Wasafi Media amesema;

"Nachotaka kusema ni kwamba Uchaguzi huu kumekuwa na fedha nyingi sana..sana, ambazo wala sio za CHADEMA, (lengo la fedha hizo) ni kuhakikisha kwamba CHADEMA inakua na msimamo wa aina fulani, inakua na viongozi wa aina fulani (msimamo legelege dhidi ya dola)"
View attachment 3201153
Pamoja na majibu mazuri ya Lissu, Wasafi wamshikilie huyu mtangazaji, ndiye pekee niliyemuona mwenye akili.
 
Pamoja na majibu mazuri ya Lissu, Wasafi wamshikilie huyu mtangazaji, ndiye pekee niliyemuona mwenye akili.
Anaitwq Charles William,ni ndugu na Lissu kwa kabila kwani wote wanatokea Singida............ Dogo anajua sana huyu,naomba ufanye kumfutilia katika vipindi vyake
 
Kibaraka bana dah 🤣

Sasa mayowe anampigia nani, na huko kubweka bweka anampigia nani sasa kwa mfano my friends ladies and gentlemen 🐒
 
Hapa ndo anapojiharibia, yeye ajinadi kwa wapiga kura ili tar 21 wafanye kweli sio ku-attack chama harafu ushahidi hakuna, naanza kupoteza imani na yeye
#Akishindwa anatembea huyu
Anajiharibia nini? Hamtaki kuambiwa ukweli? Hamtaki aseme ilihali mmepewa? Kwa taarifa yako, chochote tunachoweza kukifanya CCM, chadema mnaweza kukifanya vizuri zaidi . Hata kwenye rushwa, Chadema wako vizuri kwenye rushwa kuliko CCM.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa na Mgombea wa Uenyekiti, Tundu Lissu kwenye mahojiano na Wasafi Media amesema;

"Nachotaka kusema ni kwamba Uchaguzi huu kumekuwa na fedha nyingi sana..sana, ambazo wala sio za CHADEMA, (lengo la fedha hizo) ni kuhakikisha kwamba CHADEMA inakua na msimamo wa aina fulani, inakua na viongozi wa aina fulani (msimamo legelege dhidi ya dola)"
View attachment 3201153
Soma, Pia;

- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

- Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
Kunaendelea kuchangamka😂
 
You can’t fight fate

Naelewa kwa Mbowe ni ngumu sana kuona jitihada zao zinapotea kirahisi. He is to blame somehow kutotengeneza viongozi wenye leadership skills sahihi.

Kwa upande fulani natamani, Lissu ashinde come 2026 tuwaambie, we told you so. I am certain of that 100%, Lissu hana qualities za kuongoza taasisi.
 
Back
Top Bottom