Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna fedha chafu zimeingizwa CHADEMA ili tulegeze msimamo

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna fedha chafu zimeingizwa CHADEMA ili tulegeze msimamo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Takukuru imeundwa nani ndiyo swali la kujiuliza kwanza ndipo upeleke

Kijana pole unamacho huoni unamasikio usiki unapua hunusi

Kalagabaho
Nimeuliza swali hiyo miondoko ndio ushahidi wa rushwa au kuna kitu kingine?
 
Hatutaki CHADEMA legelege hatutaki CHADEMA ya wala RUSHWA.

RUSHWA ibaki huko huko CCM...
 
Kuwa karibu na viongozi sio makosa?
Kwenye briefcase kuna nini?
Kama ni fedha/document ni za nani zimetoka kwa nani na zinaenda kwa nani? Kufanya nini?? Kuna uvunjifu wa sheria(viashiria vya rushwa?)
#Mi ni timu Lissu hoja za Mbowe ni dhaifu na tunategemea Lissu aje na hoja za kuwashawishi hata timu Mbowe wajane mf. Hadi sasa tushaelewa kuwa
-mfumo inabidi ibadilike je anaubadirishaje,
-katiba ya CDM ina madhaifu atutie moyo kuondoa na kuongeza vipengele kwa kushirikiana na viongozi na wanachamam
-mamlaka ya viongozi,
-ruzuku za chama,
-uwakilishi bungeni na ngazi za chini, -kuzuia wizi wa kura kwny uchaguzi mbalimbali
*Haya maeneo ni muhimu sana na hayawezi kugawa chama yanapoongelewa
Nilidhani ww ni kijani kibichi maana kubishana na hiyo jamii ya akina lucas ni bora ukalime
 
Wakuu,

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa na Mgombea wa Uenyekiti, Tundu Lissu kwenye mahojiano na Wasafi Media amesema;

"Nachotaka kusema ni kwamba Uchaguzi huu kumekuwa na fedha nyingi sana..sana, ambazo wala sio za CHADEMA, (lengo la fedha hizo) ni kuhakikisha kwamba CHADEMA inakua na msimamo wa aina fulani, inakua na viongozi wa aina fulani (msimamo legelege dhidi ya dola)"
View attachment 3201153
Lissu: Freeman Mbowe ndiye aliyempa Tuzo (ya maridhiano) Rais Samia bila ridhaa ya Chama
View attachment 3201203

Soma, Pia;

-
Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

- Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
Mwanasiasa wangu bora wa miaka yote,
Tundu Antipass Lissu!!!!!
Mwanangu wa mwisho nimempa jina la huyu jamaa, Lissu
 
Anaitwq Charles William,ni ndugu na Lissu kwa kabila kwani wote wanatokea Singida............ Dogo anajua sana huyu,naomba ufanye kumfutilia katika vipindi vyake
Yuko vizuri sana Charles..ana fanya home work zake vizuri na Yuko well informed yan.
Namfatilia Toka Yuko ea radio kijana ana kitu.
Kwangu Mimi ni best kwenye kizazi chake.
 
Hapa ndo anapojiharibia, yeye ajinadi kwa wapiga kura ili tar 21 wafanye kweli sio ku-attack chama harafu ushahidi hakuna, naanza kupoteza imani na yeye
#Akishindwa anatembea huyu
Acha Ukupe kwani hauoni hapo anajinadi kwa wapiga kura wake kwa kuongea kile kilichojitokeza kwenye chama ?
 
Mi huwa nasoma comments za nyumbu wa lissu tu nijiridhishe ni vp hawana kitu kichwani, kama wa humu jf wamezidi....ni vijinga vijingaa, haijalishi kama ni vibabu au vibibi, vyote vinakuwa vijinga tu.
 
Back
Top Bottom