Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mbona unataka kumpangia Cha kuongeaHapa ndo anapojiharibia, yeye ajinadi kwa wapiga kura ili tar 21 wafanye kweli sio ku-attack chama harafu ushahidi hakuna, naanza kupoteza imani na yeye
#Akishindwa anatembea huyu
Ukweli bila ushahidi ni kelele, hivyo vielelezo vikiwasilishwa kwa wananchi/wanachadema Lissu saa nne tu ashakuwa m/kitiAnajiharibia nini? Hamtaki kuambiwa ukweli? Hamtaki aseme ilihali mmepewa? Kwa taarifa yako, chochote tunachoweza kukifanya CCM, chadema mnaweza kukifanya vizuri zaidi . Hata kwenye rushwa, Chadema wako vizuri kwenye rushwa kuliko CCM.
Uhuru wa kuongea anao na sisi tuna uhuru wa kutafakari alichojionea in +&- ways, mimi ni timu Lissu kitambo ila wanaomuunga mkono wanaongea NONDO za balaa kuliko yeyeMbona unataka kumpangia Cha kuongea
Nyamaza kijana maana huelewi kitu. Kutembea ni briefcase umeelewa maana yake au unadandia mambo bila kuelewa?Kutembea na briefcase ndo ushahidi, kuwa serious bro
Hahaa hiyo miondoko utawapelekea takukuruNyamaza kijana maana huelewi kitu. Kutembea ni briefcase umeelewa maana yake au unadandia mambo bila kuelewa?
Rushwa huwezi kuona picha zake bali waweza kuelewa miondoko yake!
Wasafi wanajua wakitaka mahojiano sensitive vipo vichwa vya kuvituma.Pamoja na majibu mazuri ya Lissu, Wasafi wamshikilie huyu mtangazaji, ndiye pekee niliyemuona mwenye akili.
TAasisi ya KUkukuza na KUendeleza RUshwa?Hahaa hiyo miondoko utawapelekea takukuru
The fact kwamba chadema mnatuhumiana kuwa Watoa Rushwa, ni mafanikio makubwa sana kwetu CCM. Rasmi sasa, icon ya Rushwa Tanzania atakua Mbowe na genge lake. Hatutaki tena kusikia ooooh ccm wanatoa nini sijui. Nyinyi mnatoa zaidi yetu.Ukweli bila ushahidi ni kelele, hivyo vielelezo vikiwasilishwa kwa wananchi/wanachadema Lissu saa nne tu ashakuwa m/kiti
#Kuhusu ccm hicho sio chama ni majambazi
Rejea yaliyotokea kwenye uchaguzi wa bavicha muda si mrefu ndio utakuwa LISSU yupo sahihiHapa ndo anapojiharibia, yeye ajinadi kwa wapiga kura ili tar 21 wafanye kweli sio ku-attack chama harafu ushahidi hakuna, naanza kupoteza imani na yeye
#Akishindwa anatembea huyu
Ni MBOWE na Wana CCM wenzake waliopo CDM ndio watoka rushwaThe fact kwamba chadema mnatuhumiana kuwa Watoa Rushwa, ni mafanikio makubwa sana kwetu CCM. Rasmi sasa, icon ya Rushwa Tanzania atakua Mbowe na genge lake. Hatutaki tena kusikia ooooh ccm wanatoa nini sijui. Nyinyi mnatoa zaidi yetu.
Kama sio hao unampelekea nani ushahidi wako au kesi yakoTAasisi ya KUkukuza na KUendeleza RUshwa?
Are you serious?
Huyo Abdul mama yake ni M/kiti wa CC(M)The fact kwamba chadema mnatuhumiana kuwa Watoa Rushwa, ni mafanikio makubwa sana kwetu CCM. Rasmi sasa, icon ya Rushwa Tanzania atakua Mbowe na genge lake. Hatutaki tena kusikia ooooh ccm wanatoa nini sijui. Nyinyi mnatoa zaidi yetu.
He, yaani utembee tu na hela bila sababu za msingi huku ukiwa karibu na viongozi wakubwa wa upinzani? ww ndio haupo serious si unasikia kuna mmoja kadakwa anagawa hongo akihadaa ni nauli?Kutembea na briefcase ndo ushahidi, kuwa serious bro
Ashachukua fungu lake huyo mjumbe.Mkuu kichwa chako kinafikili sawasawa kweli?
Takukuru imeundwa nani ndiyo swali la kujiuliza kwanza ndipo upelekeHahaa hiyo miondoko utawapelekea takukuru
Kuwa karibu na viongozi sio makosa?He, yaani utembee tu na hela bila sababu za msingi huku ukiwa karibu na viongozi wakubwa wa upinzani? ww ndio haupo serious si unasikia kuna mmoja kadakwa anagawa hongo akihadaa ni nauli?
Safari hii mmebanwa mbavu kama mbwa kwenye mdomo wa chatu