Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Nimeuliza swali hiyo miondoko ndio ushahidi wa rushwa au kuna kitu kingine?Takukuru imeundwa nani ndiyo swali la kujiuliza kwanza ndipo upeleke
Kijana pole unamacho huoni unamasikio usiki unapua hunusi
Kalagabaho
πππππKutembea na briefcase ndo ushahidi, kuwa serious bro
Nilidhani ww ni kijani kibichi maana kubishana na hiyo jamii ya akina lucas ni bora ukalimeKuwa karibu na viongozi sio makosa?
Kwenye briefcase kuna nini?
Kama ni fedha/document ni za nani zimetoka kwa nani na zinaenda kwa nani? Kufanya nini?? Kuna uvunjifu wa sheria(viashiria vya rushwa?)
#Mi ni timu Lissu hoja za Mbowe ni dhaifu na tunategemea Lissu aje na hoja za kuwashawishi hata timu Mbowe wajane mf. Hadi sasa tushaelewa kuwa
-mfumo inabidi ibadilike je anaubadirishaje,
-katiba ya CDM ina madhaifu atutie moyo kuondoa na kuongeza vipengele kwa kushirikiana na viongozi na wanachamam
-mamlaka ya viongozi,
-ruzuku za chama,
-uwakilishi bungeni na ngazi za chini, -kuzuia wizi wa kura kwny uchaguzi mbalimbali
*Haya maeneo ni muhimu sana na hayawezi kugawa chama yanapoongelewa
Kuna wajumbe wengi hawajuhudhuria kwa sababu za kifedhaHatutaki CHADEMA legelege hatutaki CHADEMA ya wala RUSHWA.
RUSHWA ibaki huko huko CCM...
Hakuna mwana kijani naemkubali wote hawajielewiNilidhani ww ni kijani kibichi maana kubishana na hiyo jamii ya akina lucas ni bora ukalime
Usiwe umepongeza kwa kuhisi mi ni nzi wa kijani tu,πππππ
Kuna watu wanaiexploit hii taasisi haikutakiwa kuwa taasisi maskini.Kuna wajumbe wengi hawajuhudhuria kwa sababu za kifedha
Atatembeaje wakati anachechemea?π...#Akishindwa anatembea huyu
Mwanasiasa wangu bora wa miaka yote,Wakuu,
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa na Mgombea wa Uenyekiti, Tundu Lissu kwenye mahojiano na Wasafi Media amesema;
"Nachotaka kusema ni kwamba Uchaguzi huu kumekuwa na fedha nyingi sana..sana, ambazo wala sio za CHADEMA, (lengo la fedha hizo) ni kuhakikisha kwamba CHADEMA inakua na msimamo wa aina fulani, inakua na viongozi wa aina fulani (msimamo legelege dhidi ya dola)"
View attachment 3201153
Lissu: Freeman Mbowe ndiye aliyempa Tuzo (ya maridhiano) Rais Samia bila ridhaa ya Chama
View attachment 3201203
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
Yuko vizuri sana Charles..ana fanya home work zake vizuri na Yuko well informed yan.Anaitwq Charles William,ni ndugu na Lissu kwa kabila kwani wote wanatokea Singida............ Dogo anajua sana huyu,naomba ufanye kumfutilia katika vipindi vyake
nilimuonaga udsm miaka ya 2014, 2015Kweli dogo yupo vizuli
Acha Ukupe kwani hauoni hapo anajinadi kwa wapiga kura wake kwa kuongea kile kilichojitokeza kwenye chama ?Hapa ndo anapojiharibia, yeye ajinadi kwa wapiga kura ili tar 21 wafanye kweli sio ku-attack chama harafu ushahidi hakuna, naanza kupoteza imani na yeye
#Akishindwa anatembea huyu
isomeke "Kweli dogo yuko vizuri"Kweli dogo yupo vizuli
π«΅ ni πKibaraka bana dah π€£
Sasa mayowe anampigia nani, na huko kubweka bweka anampigia nani sasa kwa mfano my friends ladies and gentlemen π
Wewe nani amekulazimisha umwamini?Hapa ndo anapojiharibia, yeye ajinadi kwa wapiga kura ili tar 21 wafanye kweli sio ku-attack chama harafu ushahidi hakuna, naanza kupoteza imani na yeye
#Akishindwa anatembea huyu