Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna fedha chafu zimeingizwa CHADEMA ili tulegeze msimamo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona huyu Charles anamlisha .maneno" lege lege dhidi ya serikali"
 
Mi huwa nasoma comments za nyumbu wa lissu tu nijiridhishe ni vp hawana kitu kichwani, kama wa humu jf wamezidi....ni vijinga vijingaa, haijalishi kama ni vibabu au vibibi, vyote vinakuwa vijinga tu.
Mwaka huu mmekwama
 
Hapa ndo anapojiharibia, yeye ajinadi kwa wapiga kura ili tar 21 wafanye kweli sio ku-attack chama harafu ushahidi hakuna, naanza kupoteza imani na yeye
#Akishindwa anatembea huyu
Acha kuweweseka wewe chawa
 
Uchawa unakusumbua
 
Mi huwa nasoma comments za nyumbu wa lissu tu nijiridhishe ni vp hawana kitu kichwani, kama wa humu jf wamezidi....ni vijinga vijingaa, haijalishi kama ni vibabu au vibibi, vyote vinakuwa vijinga tu.
Nyumbu wa Mbowe ni vilaza kama boss wao
 
Hapa ndo anapojiharibia, yeye ajinadi kwa wapiga kura ili tar 21 wafanye kweli sio ku-attack chama harafu ushahidi hakuna, naanza kupoteza imani na yeye
#Akishindwa anatembea huyu
Bado unasimamia haya maneno yako mpaka sasa?
 
Haya maneno yako bado ni valid?
Yap naamini hivyo.

Kilichotokea ni sawa na movie ‘the great white hope’; watch it.

Watanzania wanatafuta hero wa upande wao, kwa siasa zinazoendelea. Na Lissu ndio walau mbeba matumaini.

Lakini he is not a leader, ni circumstances tu ndio zimewabeba; hasa ukizingatia uharibifu unaofanywa na ‘bi-tozo’ na genge lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…