Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union



Mbona unarusha vichwa ??? Tulia dawa ipenye , hata bado
 
Lisu anayetafuta ku steam out frustration zake baada ya kukosa uraisi na akina Halima mdee kusepa ndie mwenye siku inayoharibika anatafuta pa kupumulia walau ajione yuko still relevant

Your browser is not able to display this video.
 
Huyu wa kwetu aalikwe atasema nini? Labda kuwe na mdahalo unaohusu mambo ya kufedhehesha wanawake ndiyo anaweza.
Habari za Lissu siyo habari tena. Amechuja siyo tu Tanzania lakini pia hata huko aliko. Watu wanakuchora sana unavyoendelea kuhangaika na kuleta habari zake humu. Jitambue na chukua hatua
 
Lisu anajipanga kumhutubia waziri wa mambo ya nje wa marekani Pompeo. Siku hiyo ndio dunia itafahamu kuwa Tanzania haijafanya uchaguzi toka 2015 na viongozi waliopo ni care taker hawana uhalali.
 
Ccm sijui mrekebishe vipi makosa yenu, mmetia aibu nchi iliyokuwa mstari wa mbele kudai uhuru wa nchi majirani. Shame on you! Tamaa ya madaraka juu mpaka chini serikali za mtaa imewaponza
 
Habari za Lissu siyo habari tena. Amechuja siyo tu Tanzania lakini pia hata huko aliko. Watu wanakuchora sana unavyoendelea kuhangaika na kuleta habari zake humu. Jitambue na chukua hatua
Usiudanganye moyo na akili yako
 
Intellectually inept, politically barren and temperamentally unfit for office (the Economist).
 
Yap, hakujiandaa kugombea lakini angalau alitikisa utukufu na 'egos' za watu na kuwafanya wapige magoti kuomba kura!
 
Uchaguzi huu umetutia aibu na umekuwa ni mfano mmojawapo wa chaguzi mbovu kabisa duniani.

Tuseme hii ndio Legacy ya Magu kwa Taifa na dunia kwa ujumla.

Uzuri sio lazim umpende, and even whats more best hata uende kote he will still be our president
 
Hizi international forums za demokrasia duniani mbona wanawaruka CCM ? au hawa ni MABEBERU wanahamasishana kuivamia Africa kuwaibia madini yao... si bure.
Watawaibia Madini mara ngapi? Madini yote yako mikononi mwa MABEBERU baada ya kukabidhiwa kwa Mikataba feki iliyopewa kibali na serikali za Kidikteta Za Kiafrika!
 

Kikwete alikuwa mwana diplomas mkubwa sana alijua kula na wapinzani kwaajili ya uhai wa taifa lake. Naona mwenye muono kama wa kikwete ni Hussain mwinyi atafanya makubwa Zanzibar
 
Kikwete alikuwa mwana diplomas mkubwa sana alijua kula na wapinzani kwaajili ya uhai wa taifa lake. Naona mwenye muono kama wa kikwete ni Hussain mwinyi atafanya makubwa Zanzibar
Angalifanya huko kwao Mkuranga , chini ya CCM tunarudi tena miaka 100 nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…