Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
Marekani viongozi wao wanabaki na vyeo vyao na kutambulika baada ya kumaliza muda wao hata wakifa ndo maana utasikia Rais Washington, Lincoln, Obama, Mteule Biden (hajaapishwa). Mawaziri vilevile tofauti na wa Tanzania hata wakiwa madarakani hawajulikani maana hawasaidii wananchi wanamsaidia aliyewateua tu.kwani ataondoka na mafaili ?