Tundu Lissu kutaka kutembelea kaburi la Hayati Magufuli ni unafiki uliopitiliza

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Dunia nzima inajua ni kwa kiasi gani Tundu Lisu alifurahia kifo cha Magufuli. Alitembea kwenye vyombo vya habari na kuonyesha furaha yake.

Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.

Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika.
 
Kwani wewe mwenzetu dini gani? Maana inawezekana dini yako haijui kusamehe kabisa maana madhila aliyo aliyo fanyiwa lisu na huyo magufuli ,basi ilipaswa magufuli ndiye aombe radhi
 
Kwani wewe mwenzetu dini gani? Maana inawezekana dini yako haijui kusamehe kabisa maana madhila aliyo aliyo fanyiwa lisu na huyo magufuli ,basi ilipaswa magufuli ndiye aombe radhi
Tundu kama anataka kuomba msamaha aende tu kwa familia yake akaombe msamaha.
 
Tundu anataka kwenda kuona alipolala shetani aliyetaka kumuua lakini Mungu akaamuwa kumuondoa shetani huyo duniani baada ya kumuokoa lisu na risasi za shetani hilo.
Lisu anataka kwenda kuona lilipofukiwa shetani hilo hapa duniani wakati lipo motoni linaungulia
 
Wewe ulienda? Ukoo wenu nani alienda?! Na ukienda inasaidia nini? Anafufuka?
 
Anataka kwenda kuona lilipolala shetani lililotaka kumuondoa duniani lakini Mungu akaliondoa lenyewe.
Huyo shetani ndiye aliagiza lisu apigwe risasi ila Mungu akamuokoa
 

Wachawi kazini.

Jiwe mwenyewe asingekuwa na taabu naye.

Kwani wewe nani ndugu?
 
Ubinadam kazi kweli, unataka aendelee kumchukia?
 
Kwahio hamtaki hata kaburi lenye mifupa hamtaki nalo?
 
"Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika." Asnt sana
 
Kwani kasema anaenda Chattel?
 
Anaweza kwenda kulitembelea kwa ajili ya kumpasha marehemu mabaya yake pia.

Kwa msio jua roho za marehemu Huwa zinasikia.
 
Sikujuwa kuna watu wajinga kama wewe, huenda wewe unachuki zaidi ya muathirika, ukiacha siasa hata kama Magufuli alihusika issue ya Lissu yeye binafsi ukiacha uchama wake ana roho yake na maamuzi binafsi yasifungamana na mtu mwingine ...sasa wewe ni nani umuamulie tuache ufuasi wa Watu ili tuishi maisha yetu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…