Tundu Lissu kutaka kutembelea kaburi la Hayati Magufuli ni unafiki uliopitiliza

Tundu Lissu kutaka kutembelea kaburi la Hayati Magufuli ni unafiki uliopitiliza

Dunia nzima inajua ni kwa kiasi gani Tundu Lisu alifurahia kifo cha Magufuli. Alitembea kwenye vyombo vya habari na kuonyesha furaha yake.

Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.

Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika.
Lakini si hayo ni mawazo yako ndugu? Na ukiwa na mawazo fulani si lazima yawe kweli.
 
Dunia nzima inajua ni kwa kiasi gani Tundu Lisu alifurahia kifo cha Magufuli. Alitembea kwenye vyombo vya habari na kuonyesha furaha yake.

Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.

Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika.
Hilo tumuachie mama janet kuamua. Maoni yetu hayana maana
 
Dunia nzima inajua ni kwa kiasi gani Tundu Lisu alifurahia kifo cha Magufuli. Alitembea kwenye vyombo vya habari na kuonyesha furaha yake.

Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.

Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika.
of course yeye ndiye alikuwa wa kwanza kutangaza kifo. nadhani atataka aende pale akalitukane kaburi wee matusi yote ya nguoni. ukweli ni kwamba jiwe alikuwa katili sana.
 
Lissu anatafuta kiki tu!

Kwa nini uende kwenye kaburi la mtu ambaye unadai alitaka kukuua na ambaye ulifurahia kifo chake?

Lissu aache hizi stunts za bei rahisi.

Au kaishiwa sera?
Kweli, lisu anatafuta kiki tu.
Lisu huwa hana sera zozote za maana, kwa hiyo hata kusema ameishiwa sera ni kumpandisha cheo. Kubwabwaja ovyo na kutukana siyo sera.
 
Dunia nzima inajua ni kwa kiasi gani Tundu Lisu alifurahia kifo cha Magufuli. Alitembea kwenye vyombo vya habari na kuonyesha furaha yake.

Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.

Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika.
Alishaenda na Cardinal Mstaafu 😂
 
Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.
Anakwenda kujiridhisha kama kweli he died
 
Dunia nzima inajua ni kwa kiasi gani Tundu Lisu alifurahia kifo cha Magufuli. Alitembea kwenye vyombo vya habari na kuonyesha furaha yake.

Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.

Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika.
Kama hutaki aende bac nenda ww
 
Ni Angalizo tu:

Tundu Lissu na Magu wote walikuwa watetezi wa rasilimali za Tanganyika, ila wakatofautiana namna bora ya kuzitetea... mmoja akazungumza kisheria zaidi ( Kama mawakili wasomi wanavyo zungumza) na mwingine akatumia mababu zaidi na kutuahidi Noa kwa kila mtanzania... sasa hapo ikawa lugha gongana, kila mmoja anapigania kauli zake, yule anasema tutashitakiwa MIGA na mwingine anasema tumechezewa kiasi cha kutosha - liwalo na liwe...

Watanganyika wanaotetewa wakashindwa kung'amua kwamba wote wawili walikuwa wanapigania maslahi yao kwa staili tofauti... tatizo lilianzia hapo... ingawaje wote walikuwa na nia njema ya kumtetea Mnyongeni...

Magu na Lissu kama wangeunganisha mawazo yao na kujua namna bora au kukubaliana jinsi ya kuwasaidia Watanganyika, tungefika mbali na haya madeni ya kulipa kila siku yangeisha. Madeni yamekuwa mengi kama kausha damu... tukifikia kama kule Kenya, lazIma watu wataenda barabarani...Simiyu wameanza, Ngorongoro pia, muda si mrefu mikoa mingine italipuka... hawa UWT waliangalie na hili huko walipo mafichoni...
 
Aende tu, ukweli mpaka Sasa maendeleo makubwa ya nchi mf bwawa la mwal Nyerere, tren ya mwendokasi, ndege, hospital kubwa ni ukumbusho wa wa maono na msukumo wa JPM, NB SIJAMZUIA MTU KUMCHUKIA.... Je ni raisi yupi ambae serikali yake haikua na shutuma za mauaji na watu kupotea ? Mkapa analaumiwaga huko zenz, jk mwangosi, Dr ulimboka huko mabwepande, na Sasa matukio yanaendelea....
 
unafiki unakuwa kwa kiasi kikubwa sana nadhani hizo drama ndizo ufanya upinzani kukosa nguvu
 
Ajabu kweli kweli yaani amekazana kwenda kutaka kwenda kutembelea kaburi la mtu ambae kila siku anamtukana.

Hakifika hapo hakuna jema atakalo sema zaidi ya kumtukana tu kimya kimya tu.
 
Ajabu kweli kweli yaani amekazana kwenda kutaka kwenda kutembelea kaburi la mtu ambae kila siku anamtukana.

Hakifika hapo hakuna jema atakalo sema zaidi ya kumtukana tu kimya kimya tu.

..Haiingii akilini kwamba Lissu alishambuliwa na Task Force bila Magufuli kuwa ameidhinisha.

..Kinachotakiwa kufanyika ni watu wa Magufuli KUMSAFISHA bosi wao na kashfa hii.

..Lissu was a big target. Task force wasingeweza kumuendea bila kupata clearance toka juu kabisa.

..Wewe hujiulizi kwanini Polisi hawamhoji Tundu Lissu pamoja na kuwa nchini muda mrefu? Kisingizio si kilikuwa Lissu hayuko nchini?

..Msimlaumu Lissu, bali walaumuni watu wa Magufuli walioshindwa kumsafisha bosi wao asihusishwe na njama hizi mbaya zilizofeli dhidi ya Tundu Lissu.
 
..Haiingii akilini kwamba Lissu alishambuliwa na Task Force bila Magufuli kuwa ameidhinisha.

..Kinachotakiwa kufanyika ni watu wa Magufuli KUMSAFISHA bosi wao na kashfa hii.

..Lissu was a big target. Task force wasingeweza kumuendea bila kupata clearance toka juu kabisa.

..Wewe hujiulizi kwanini Polisi hawamhoji Tundu Lissu pamoja na kuwa nchini muda mrefu? Kisingizio si kilikuwa Lissu hayuko nchini?

..Msimlaumu Lissu, bali walaumuni watu wa Magufuli walioshindwa kumsafisha bosi wao asihusishwe na njama hizi mbaya zilizofeli dhidi ya Tundu Lissu.
Ni sawa na kupambana na upepo when you try to fight the great JPM even though he is six feet under.

Utamaduni wa serikali kwenye ku-deal na watu ni ule-ule. Kwa watu wanao onekana nonsense katika maamuzi yao muhimu.

Zama za JK kulikuwa na Dr. Ulimboka kwenye kuchochea mgomo wa madaktari; baadae ikaja kifo cha Dr. Mvungi kujifanya anaijua sana katiba. Hakukuwa na makelele kwa sababu hao watu hawakuwa wanasiasa na JK hakuwa tishio la majizi.

Lissu was nonsense I have told you before hakuna habari za MIGA na wala hajui contract law zaidi ya nyie watu kumkuza tu.

Lissu hashindi kesi ya biashara kama source ya mgogoro ni consideration ya mkataba. Anaongea upuuzi tu wa kuwachota watu kama nyinyi.

Mwisho wa sakata la ACCACIA ilikuwa parent company Barrick Gold (majority shareholders) kununua shares zingine za minority, kuichukua kampuni na kuja ku-negotiate terms mpya na serikali wao wenyewe (though we didn’t get a good deal in the end) ni kutokana na uwezo mdogo wa negotiators wa serikali.

Nonetheless kwenye siasa za mikataba when it comes to forceful renegotiations kuna wasaa inabidi utumie nguvu kubwa sana including overestimates ya income ili muwekezaji harudi mezani (kama umesoma mambo ya negotiations ndio utaelewa).

Wakati watu wapo kwenye vita yao, lenyewe Lissu limekadhana na ujinga wake. Hata alipoonywa mara kadhaa huku tuwache tufanye yetu haelewi somo, worst anaongea upumbavu unaopotosha na kwa uelewa ana audience ya watu kama nyie wa ku-promote ujinga wake (kwa vitu msivyovielewa) mradi Lissu kasema.

Siafiki kilichompata, Iła Lissu aliichokoza sana serikali wakati wenzake wana angaikia serious matters. Nchi nyingine yeyote duniani wangemshughulikia kwa ujinga wake.

Sasa sielewi leo kwanini analilia kwenda kwenye kaburi la Magufuli si aende Mtwara (Lupaso) kwa Mkapa, Butiama kwa Nyerere, Zanzibar kwa Mwinyi; kwanini alilie kwenda kwenye kaburi la mtu aliekuwa anamtukana kila siku kama sio kwenda kuroga na wanyaturu kwa uchawi wanajulikana.

Aachane na Magufuli huyo mwanga mkubwa.
 
Ni sawa na kupambana na upepo when you try to fight the great JPM even though he is six feet under.

Utamaduni wa serikali kwenye ku-deal na watu ni ule-ule. Kwa watu wanao onekana nonsense katika maamuzi yao muhimu.

Zama za JK kulikuwa na Dr. Ulimboka kwenye kuchochea mgomo wa madaktari; baadae ikaja kifo cha Dr. Mvungi kujifanya anaijua sana katiba. Hakukuwa na makelele kwa sababu hao watu hawakuwa wanasiasa na JK hakuwa tishio la majizi.

Lissu was nonsense I have told you before hakuna habari za MIGA na wala hajui contract law zaidi ya nyie watu kumkuza tu.

Lissu hashindi kesi ya biashara kama source ya mgogoro ni consideration ya mkataba. Anaongea upuuzi tu wa kuwachota watu kama nyinyi.

Mwisho wa sakata la ACCACIA ilikuwa parent company Barrick Gold (majority shareholders) kununua shares zingine za minority, kuichukua kampuni na kuja ku-negotiate terms mpya na serikali wao wenyewe (though we didn’t get a good deal in the end) ni kutokana na uwezo mdogo wa negotiators wa serikali.

Nonetheless kwenye siasa za mikataba when it comes to forceful renegotiations kuna wasaa inabidi utumie nguvu kubwa sana including overestimates ya income ili muwekezaji harudi mezani (kama umesoma mambo ya negotiations ndio utaelewa).

Wakati watu wapo kwenye vita yao, lenyewe Lissu limekadhana na ujinga wake. Hata alipoonywa mara kadhaa huku tuwache tufanye yetu haelewi somo, worst anaongea upumbavu unaopotosha na kwa uelewa ana audience ya watu kama nyie wa ku-promote ujinga wake (kwa vitu msivyovielewa) mradi Lissu kasema.

Siafiki kilichompata, Iła Lissu aliichokoza sana serikali wakati wenzake wana angaikia serious matters. Nchi nyingine yeyote duniani wangemshughulikia kwa ujinga wake.

Sasa sielewi leo kwanini analilia kwenda kwenye kaburi la Magufuli si aende Mtwara (Lupaso) kwa Mkapa, Butiama kwa Nyerere, Zanzibar kwa Mwinyi; kwanini alilie kwenda kwenye kaburi la mtu aliekuwa anamtukana kila siku kama sio kwenda kuroga na wanyaturu kwa uchawi wanajulikana.

Aachane na Magufuli huyo mwanga mkubwa.

..ni vigumu kumtenganisha Magufuli na jaribio la kumuua Tundu Lissu.

..maamuzi ya mahakama za kimataifa kuhusu kesi zilizofunguliwa dhidi yetu, yamedhihirisha kwamba Lissu alikuwa sahihi, na Magufuli na watu wake walikosea.
 
Back
Top Bottom