kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Lisu katetea rasilimali zipi za taifa?Kwavipi?je ukitetea rasilimali za taifa inakupasa kuuwawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu katetea rasilimali zipi za taifa?Kwavipi?je ukitetea rasilimali za taifa inakupasa kuuwawa?
Anataka atembelee ili ajiridhishe kuwa lile JINAMIZI lililotaka kumuua ni kweli limetangulia lenyewe kufa?Dunia nzima inajua ni kwa kiasi gani Tundu Lisu alifurahia kifo cha Magufuli. Alitembea kwenye vyombo vya habari na kuonyesha furaha yake.
Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.
Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika.
Ulikuwa hujazaliwa hata hivyo liuwaji limepata adhabu ya hasira ya Mungu shimo alilomchimbia lissu katumbukia mwenyewe shetani yule.Lisu katetea rasilimali zipi za taifa?
Wewe hutokufa?Ulikuwa hujazaliwa hata hivyo liuwaji limepata adhabu ya hasira ya Mungu shimo alilomchimbia lissu katumbukia mwenyewe shetani yule.
Kwa nini unaita stints? Kucheka kwa zamu, hii ni zamu ya Lissu wacha akamzomee hivyo hivyo humo alimofukiwa. Hata kama hatasikia, ila nyinyi misukule yake mnaomuabudu mtasikiaLissu anatafuta kiki tu!
Kwa nini uende kwenye kaburi la mtu ambaye unadai alitaka kukuua na ambaye ulifurahia kifo chake?
Lissu aache hizi stunts za bei rahisi.
Au kaishiwa sera?
Kesi moja tu waliwahi shinda zama za Magufuli na mtu mmoja tu ndio alikuwa mkorofi alishindwa South Africa, akakimbilia CANADA...ni vigumu kumtenganisha Magufuli na jaribio la kumuua Tundu Lissu.
..maamuzi ya mahakama za kimataifa kuhusu kesi zilizofunguliwa dhidi yetu, yamedhihirisha kwamba Lissu alikuwa sahihi, na Magufuli na watu wake walikosea.
Sisi furaha yetu ni kuwa Lissu anaishi na yule mwovu yuko motoni sasa hiviLisu ndio mchokozi
Hoja ni kwanini Lissu analazimisha kwenda kaburini kwake.Sisi furaha yetu ni kuwa Lissu anaishi na yule mwovu yuko motoni sasa hivi
Ni Mgufuli ndiye alimkosea Tundu Lissu, na kosa kubwa la Mgufuli nadhani ni Kupendwa sana na watu wengi kuliko Lissu.Kati ya magufuli na tundu lissu nani alianza kumkosea mwenzake?
Na upuuzi upuuzi wote huo namihemkoyake still kunawatu wanadhani huyo tundu anafaa kuwa rais.Lissu anatafuta kiki tu!
Kwa nini uende kwenye kaburi la mtu ambaye unadai alitaka kukuua na ambaye ulifurahia kifo chake?
Lissu aache hizi stunts za bei rahisi.
Au kaishiwa sera?
Jinsi ulivyoandika umerahisisha kuonyesha cheti feki humu, vinginevyo unamsongo wa mawazo!.Tundu anataka kwenda kuona alipolala shetani aliyetaka kumuua lakini Mungu akaamuwa kumuondoa shetani huyo duniani baada ya kumuokoa lisu na risasi za shetani hilo.
Lisu anataka kwenda kuona lilipofukiwa shetani hilo hapa duniani wakati lipo motoni linaungulia
Wapi amekwambia anataka kwenda kuliona hilo kaburi? Mnazusha habari hiyo wenyewe na kuishabikia.Hoja ni kwanini Lissu analazimisha kwenda kaburini kwake.
Kila akizuiwa aelewi somo, anataka kwenda kufanya nini?
Kwa maelezo yako ni kuwa " lisu alidai magu alitaka kumuua"Lissu anatafuta kiki tu!
Kwa nini uende kwenye kaburi la mtu ambaye unadai alitaka kukuua na ambaye ulifurahia kifo chake?
Lissu aache hizi stunts za bei rahisi.
Au kaishiwa sera?
Soma topic ya mada, ndio muongozo wetu.Wapi amekwambia anataka kwenda kuliona hilo kaburi? Mnazusha habari hiyo wenyewe na kuishabikia.