Tundu Lissu kutaka kutembelea kaburi la Hayati Magufuli ni unafiki uliopitiliza

Tundu Lissu kutaka kutembelea kaburi la Hayati Magufuli ni unafiki uliopitiliza

Dunia nzima inajua ni kwa kiasi gani Tundu Lisu alifurahia kifo cha Magufuli. Alitembea kwenye vyombo vya habari na kuonyesha furaha yake.

Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.

Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika.
CDM siraha yao ya mwisho 2025 ni kulitaja tu jina la JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, na Watanzania watawafanya kua wapinzani wenye hadhi ya kushika dola
 
Tundu anataka kwenda kuona alipolala shetani aliyetaka kumuua lakini Mungu akaamuwa kumuondoa shetani huyo duniani baada ya kumuokoa lisu na risasi za shetani hilo.
Lisu anataka kwenda kuona lilipofukiwa shetani hilo hapa duniani wakati lipo motoni linaungulia
Jpm yupo mahala pema peponi,
 
Kesi moja tu waliwahi shinda zama za Magufuli na mtu mmoja tu ndio alikuwa mkorofi alishindwa South Africa, akakimbilia CANADA.

South Africa ilikuwa raisi hatukuwa nao kwenye makubaliano ya arbitration (serikali ilikuwa na uwezo) wa kudai fidia za gharama za legal costs and damages on loss of businesss, hawakufanya.

Nina uhakika wa 100% argument waliyotuma South Africa waliokota JF kupitia kwangu.

Walipoenda CANADA tukawaanbie huko arguments na Bombardier kesi inataka purchase agreement na Bombardier ndege aijakabaziwa kwa mkataba wa manunuzi wao wakaenda na akili zao.

Mimi binafsi sishindwi kesi hata moja ya serikali inazoshindwa. Sikulazimishi uamini na Lissu hana anachojua kwenye kesi za mikataba alikuwa kichefu-chęfu tu katikati ya vita.

Sasa ninaposema hata Kabudi ni kwa sababu kwenda kwenye hiyo mikataba lazima uwe na abc za biashara/finance. Background ambazo hawana na lazima washindwe hizo case.

..kinachofanya tushindwe ni ushahidi wetu ktk mahakama za kimataifa na sio nani yuko madarakani.
 
..kinachofanya tushindwe ni ushahidi wetu ktk mahakama za kimataifa na sio nani yuko madarakani.
I agree haijalishi nani yupo madarakani kushinda au kushindwa kesi

But also quality of ‘defenders’ nchi inaopeleka matters na ueledi wao.

Mimi kwa uelewa wangu sio kiwango cha wataalamu wabobezi, Iła nina uhakika wa ku kushinda wewe 100%.

Na kwa ulewa wa skills za hayo mambo nina uhakika Lissu na Kabudi hawana uelewa wa nitty grit wa maswala ya mikataba kuongelea hayo mambo.

Shida inakuja kwa sababu wewe hujui mimi na Lissu tukijibizana kwa sababu wewe huna abc za hoja yenyewe na Lissu ana shahada ya sheria ni rahisi kuchukua upande wa Lissu.

Lakini hana uelewa mpana wa maswala ya mikataba so is Kabudi.

Ndio ukweli ☝️

They don’t loose those cases by accident, rather by being ignorants on contract matters.

Mimi kesi nyingi wanazoshindwa nashinda. Ngumu kuelewa kwako kama nilivyokwabia hujui ipi ni argument na upi ni ujinga.
 
I agree haijalishi nani yupo madarakani kushinda au kushindwa kesi

But also quality of ‘defenders’ nchi inaopeleka matters na ueledi wao.

Mimi kwa uelewa wangu sio kiwango cha wataalamu wabobezi, Iła nina uhakika wa ku kushinda wewe 100%.

Na kwa ulewa wa skills za hayo mambo nina uhakika Lissu na Kabudi hawana uelewa wa nitty grit wa maswala ya mikataba kuongelea hayo mambo.

Shida inakuja kwa sababu wewe hujui mimi na Lissu tukijibizana kwa sababu wewe huna abc za hoja yenyewe na Lissu ana shahada ya sheria ni rahisi kuchukua upande wa Lissu.

Lakini hana uelewa mpana wa maswala ya mikataba so is Kabudi.

Ndio ukweli ☝️

..kinachopelekea kushinda kesi ktk mahakama za kimataifa [ ICSID ] ni uzito wa USHAHIDI na sio kitu kingine.
 
Dunia nzima inajua ni kwa kiasi gani Tundu Lisu alifurahia kifo cha Magufuli. Alitembea kwenye vyombo vya habari na kuonyesha furaha yake.

Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.

Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika.
Umechanganyikiwa? Tangu lini ukawa mmiliki wa kaburi la Magufuli.
 
..kinachopelekea kushinda kesi ktk mahakama za kimataifa [ ICSID ] ni uzito wa USHAHIDI na sio kitu kingine.
Ni rahisi kwa kuongea generał, kuna kesi yeyote defence inaweza shinda bila ya ushahidi wa kutosheleza.

Kimbembe ni kuelewa breach unayotuhimiwa nayo na justification ya fidia based on consideration (loss of income and other losses).

Kwa watanzania kila kitu rahisi kwenye vichwa vyetu hata bila ya abc za uelewa wa mikataba.

Good morning 👋
 
Ni rahisi kwa kuongea generał, kuna kesi yeyote defence inaweza shinda bila ya ushahidi wa kutosheleza.

Kimbembe ni kuelewa breach unayotuhimiwa nayo na justification ya fidia based on consideration (loss of income and other losses).

Kwa watanzania kila kitu rahisi kwenye vichwa vyetu hata bila ya abc za uelewa wa mikataba.

Good morning 👋

..huwezi kushinda kesi ktk mahakama za kimataifa [ ICSID]bila kuwa na USHAHIDI mzito unaokubalika.

..tatizo letu Magufuli na Kabudi walituchota akili tukadhani kwamba ubabe wao utavuka mipaka kumbe ni hapahapa nchini.

..maamuzi ya kijinga ya Magufuli alipokuwa Waziri wa Ujenzi yalipelekea serikali kushindwa kesi iliyoamuliwa Mwanza.

..sasa Magufuli aliendelea na ujinga wake hata alipokuwa Raisi, na matokeo yake ni kesi zaidi ya 10 ziko ktk mahakama ya kimataifa, na kila moja tunadaiwa bilioni kadhaa.
 
..huwezi kushinda kesi ktk mahakama za kimataifa [ ICSID]bila kuwa na USHAHIDI mzito unaokubalika.

..tatizo letu Magufuli na Kabudi walituchota akili tukadhani kwamba ubabe wao utavuka mipaka kumbe ni hapahapa nchini.
Shida ipo kwa wale waliosaini mikataba ya kinyonyaji .

Nia ya Magufuli na Kabudi ilikuwa ni kulinda rasilimali za nchi , ni nia nzuri . Walionyesha njia .

Marais wanaofuatia wajifunze , wasiwe wanasaini tu mikataba ya kimataifa bila kujua kilichomo kwenye huo mkataba .Wawe wazalendo kwa rasilimali za nchi, wasiziuze kwa wageni . Wasiwatetee wageni bali wawatetee wananchi .
 
Dunia nzima inajua ni kwa kiasi gani Tundu Lisu alifurahia kifo cha Magufuli. Alitembea kwenye vyombo vya habari na kuonyesha furaha yake.

Leo hii Tundu Lissu ni wa kutembelea kaburi la Magufuli? Labda tu ikiwa anataka kwenda kuomba msamaha. Hilo nalo halina maana yoyote Kwani marehemu hawafahamu lolote kuhusu dunia hii.

Magufuli bado atabaki kuwa rais wa mfano kwa Afrika.
Wacha aende akaone muuaji wake amezikwa wapi.
 
Shida ipo kwa wale waliosaini mikataba ya kinyonyaji .

Nia ya Magufuli na Kabudi ilikuwa ni kulinda rasilimali za nchi , ni nia nzuri . Walionyesha njia .

Marais wanaofuatia wajifunze , wasiwe wanasaini tu mikataba ya kimataifa bila kujua kilichomo kwenye huo mkataba , wawe wazalendo kwa rasilimali za nchi.

..Magufuli na Kabudi waliongeza matatizo kwenye mikataba mibovu.

..Na baadhi ya mikataba waliyovunja ilikuwa na kipengele cha kurekebishwa baada ya kipindi fulani.

..Sasa kwa ubabe tu wao wakaamua kuvunja badala ya kusubiri muda wa kurekebisha mkataba kufika.

..Na bahati mbaya wale waliowaonya kwamba wanapotea waliwafanya maadui na kuamua kuwadhuru.
 
Kutembelea kaburi kuna tafsiri nyingi! Huenda anatembelea kaburi la Magu kukumbuka jinsi alivyonusurika kifo baada ya kupigwa risasi chini ya Utawala wa Magu.
 
Lissu anatafuta kiki tu!

Kwa nini uende kwenye kaburi la mtu ambaye unadai alitaka kukuua na ambaye ulifurahia kifo chake?

Lissu aache hizi stunts za bei rahisi.

Au kaishiwa sera?
Lissu yeye ndio Kiki yenyewe
 
Wewe binafsi pamoja na ukoo wenu wote ni mashetani .
Haiwezekani kumshangilia mtu aliyeagiza watu wauwawe kama wewe sio shetani
Mimi ni zaidi ya shetani kwa wajinga kama wewe!
 
Kati ya magufuli na tundu lissu nani alianza kumkosea mwenzake?
Issue sio nani kaanza kumkosea hapa issue ni unafiki uliopitiliza. Huwezi kuwa kila siku kwenye media unamsema marehemu leo hii unaenda kaburini, ili iweje, maombi gani uanenda kumuombea matusi. Hapana tuache kufanya unafiki kwa kutumia siasa.
 
Back
Top Bottom