Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu ndio nini mkuu?vipi hao mabalozi hewa wa Lisu mwenye akili timamu hewa walishakutana naye?
😀😀😀Kaishia kuongea na millard Ayo tv
Na huyu je?Huyu Lisu hata huko Chadema wamemchoka kwa sababu kila analoambiwa lazima abishe yeye anajua kila kitu na wengine wote hawajui sasa wamemuacha anendelee kama gari bobu lisilo na breki. Hivi kweli Tanzania ipo tayari kuongozwa na rais wa modeli ya Lisu?
Up date au habari feki mkuuKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania.
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF.
=======
Halafu akishateta nao ili iweje.Unajua kuna mambo mengine ya kipuuzi hayana mbele wala nyuma.Pia ataenda kuwambia kuwa IGP sasa ni Tawi rasmi la CCM kaamua kuwafanyia kampeni ccm bila aibu akisaidiana na mkurugenzi wa Tume isiyo huru ya uchaguzi.
unajua maana ya kuteta ?Up date au habari feki mkuu
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!
Kwa mamlaka ninayojipa mwenyrwe nakutunuku PhD ya Uongo uliokubuhuunajua maana ya kuteta ?
Go TL. Go. You are already presidential. Hii ni kwa wanaozungumza Kiingereza tu. Hao wengine wanahitaji kutafsiriwa! Waendelee tu huko Njombe.
This time CDM wamejipanga kweli kweli.
Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Ni yeye 2020Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania.
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF.
=======
Kwanza kabudi anaendelea kuwa waziri wa mambo ya nje kinyume cha Sheria kwani bunge lilishavunjwa