Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
yawezekana atapita hapo lakini kwa mujibu wa Ratiba niliyonayo Mkutano uko Jimbo la SegereaNiko gongo la Mboto hapa, tumetangaziwa Mh Lissu atakuwepo hapa Leo saa saba unusu.Ebu wekeni ratiba tuielewe vema.
mtoa habari gani usiye na uhakika hovyo kabisayawezekana atapita hapo lakini kwa mujibu wa Ratiba niliyonayo Mkutano uko Jimbo la Segerea
kwa macho yako unavyoona unadhani Chadema inakata roho ? kuwa mkweliKwa kweli ndugu huwa unajitahidi sana kuipigania CHADEMA. Hata kama inakata roho wewe bado husema ndo kwanza ina afya tele. Viva kamanda
Arusha ni 31/8 kwa ratiba iliyopo , hiyo yako sijui umeokota wapi .mtoa habari gani usiye na uhakika hovyo kabisa
Na Arusha unga LTD atahutubia Leo Kama Godbless Lema anavyotangaza?
Tatizo kubwa la CHADEMA na upinzani ni kuwa hamjapatia suluhisho la faulo mnazofanyiwa kila uchaguzi mkuu. Ni kweli Watz huko wanataka mabadiliko lakini bado upinzani haujawa serious. Ni aibu kubwa hadi leo wagombea wenu wameenguliwa na mmebaki kulia tu Facebook. Anyway play ur part and u will be rememberedkwa macho yako unavyoona unadhani Chadema inakata roho ? kuwa mkweli
Chadema wenyewe wanapenda faulo wanaambiwa semeni sera zenu wanaporomosha matusiTatizo kubwa la CHADEMA na upinzani ni kuwa hamjapatia suluhisho la faulo mnazofanyiwa kila uchaguzi mkuu. Ni kweli Watz huko wanataka mabadiliko lakini bado upinzani haujwa serious. Ni aibu kubwa hadi leo wagombea wenu wameenguliwa na mmebaki kulia tu Facebook. Anyway play ur part and u will be remembered
Chadema wenyewe wanapenda faulo wanaambiwa semeni sera zenu wanaporomosha matusi
Vipi Lisu ataenda Arusha na Ndege alizonunua magufuli anazoziponda au ataenda kwa miguu?Arusha ni 31/8 kwa ratiba iliyopo , hiyo yako sijui umeokota wapi .