Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutikisa Tabata Segerea, ni katika Mkutano mkubwa wa kampeni za Urais za CHADEMA

Magwiji wa siasa wanakadiria.....
Bwahahahahaha

Chadema ipo ktk hatua za mwisho mwisho kujifia.

Uwanja wenyewe mnaujaza kwa watu wanaoweza kujaza hiace moja tu.

Hamtaki libe coverage kwa sababu mnahubiri chuki na uvunjwaji wa sheria
 
Hiyo picha ya kwanza ambayo background kuna picha ya Lowasa , Chadema mnaitumia sana , sijui mnajaribu kumdanganya nani.

Anyway tuendelee kukichangia chama chetu cha HAKI UHURU NA MAEDLNDELEO, CHADEMA.

28 OKTOBA IENDE IKAFE RASMI.
we hapo unamuona Lowasa kweli au umechanganyikiwa
 
CCM popote anaenda ajue tupo

Ha ahaaa....
CDM wanaona aibu kum post Lissu na mikutano yake, ngoja sisi tumsaidie 😂...
Wameshapoteana hawa wana subiri kiki ya Maalim Seif tar 11 Sept Pemba mwisho wa kuteua wagombea huko.
 
Ha ahaaa....
CDM wanaona aibu kum post Lissu na mikutano yake, ngoja sisi tumsaidie [emoji23]...
Wameshapoteana hawa wana subiri kiki ya Maalim Seif tar 11 Sept Pemba mwisho wa kuteua wagombea huko.
Chadema hii ya Lisu wanaogopa kutuma picha
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yani kabisa uzi wa kampenj za Lisu una coment zisizozidi 170 tangu asubuhi?

Lakini ule wa kuongelea kingereza cha Magufuli ulikuwa unafikisha coments 700!

Alafu mtu anataka ccm itoke madarakani?

Jiji kama dar lenye UDSM kitovu cha mabadiriko ambako katika nchi nyingi lne sehemu kama hizo ndio epicenter ya harakati za mabadiriko alafu watu wamempuuza Lisu kiasi hiki?

Na kuna bavicha mmoja anakuja anasema ccm mwaka huu italala na viatu?
 
Wameanza Jana Baada ya sisi Wana jamii forums kuwakomalia walikuwa wakipiga porojo tu tukawakomalia humunkuwa Hakuna acheni ujinga ndio waneanza kuzitoa

Mbagala walipiga porojo tu
Wewe dada huna mkunaji nije nikukune?
 
Kila kinachonunuliwa na serikali unajua bei yake?? Ukitaka kujua nenda ATCL au Wizara ya Fedha. Kila mtu na kazi yake wewe fanyakazi yako huwezi jua kila kitu unaweza kufa na stress tu.
Kama bunge halijui bei ya ndege ndo itakuwa hao ATCL?? Wao wameletewa tu , unawaonea bure
 
Ile sio mali ya ccm kwamba kuuliza bei ni kosa ..acha unaa wee pimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…