Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Na bado anataka kuongeza zingine!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana seraHoja za tundu lissu Segerea leo ni ngumu na hazijibiki kirahisi
Mosi ,Anauliza mikataba ya ndege kuwa wananchi hawajui wala wabunge zimenunuliwa bei gani?
Mimi ni muumini wa Profesa Assad kitaaluma ingawa ni mwana ccm na nilisema mapema hapa haya mambo tutakuja kushindwa kujibu kwa mahesabu ya Humprey polepole
Leo Tundu lissu Segerea ametuchakaza sana ,Hata Mimi mwana ccm siyajui haya ya mikataba ya ndege
Nini cha kufanya kwa sasa
Ccm iongee ukweli bei za ndege ni kiasi gani na mikataba yake ili tuweze kutetea hoja hii
Leo jamaa amepigilia misumari ambayo sikutegemea kabisa
Leo ndio nimemkumbuka Prof Assad kuwa alikuwa na lengo nzuri sana kabisa
Prof Assad quote,"Debit or Credit has got no meaning but it depend on interpretation
Sasa hawa Chadema wamesema tumeibiwa ni interpretation sahihi?
Wewe ni Mwanachadema mpumbavu na ngumbaru mkubwaUelewa wako ni mdogo sana kwani hizo ngonjera za ndege za ATCL umeanza kuzisikia leo?? Walishasema maneno mengi sana hata pia Lissu alishashirikiana na mabeberu kuzikamata huko Canada na South Africa! Kwani kuuliza bei ndiyo hoja? mbona haulizi vitu vingine? Kama unataka kubwabwaja kama Lissu na wanasaccos wewe endelea tu! Eti mpaka umeanzisha uzi kwa sababu ya bei ya ndege za ATCL kwa taarifa yako Shirika la Kutengeneza hizo ndege lilishatoa bei ya ndege hizo walizonunua Serikali wala siyo kitu kipya labda wewe ulikuwa bado uko shule ndiyo maana unaona kitu kimpya sana!!
Washenzi Hawa wameondoa livestream zote utubeLink ya live please
Segerea pamedoda 😂😂😂
Sasa hii Dsm tu anapata watu 100 akienda mikoani huko anaweza ambulia watu 10 tu wa msafara wake 🤣.
Vipi, mabakuli leo hayajapita?
>85% ya wapiga kura wa Tanzania hawahitaji kuona achilia mbali hata kujua bei ya ndege, wanaamini chini ya Raisi Magufuli nchi yetu iko salama na Raisi Magufuli hawezi kuiibia Tanzania yetu, na chochote anachofanya ni kwa mema ya Tanzania yetu, BTW naelewa unaposema kwamba wewe ni Mhasibu hivyo hauna tofauti na Tundu Lisu na wafuasi wake Wanafunzi wa Sheria ambao wanafikiri wote sisi ni Wanasheria na tuko darasani, ...
Updates makamanda.
Ndugu yangu acha kunifananisha na wanasaccos mbumbumbu mimi...! Mimi ni mweelewa wa mambo kwa kiasi kikubwa sana achana na mimi.Wewe ni Mwanachadema mpumbavu na ngumbaru mkubwa
L
Hizo hoja tumeshasikia tangu zamani sana!Hoja za Tundu Lissu Segerea leo ni ngumu na hazijibiki kirahisi
Mosi, Anauliza mikataba ya ndege kuwa wananchi hawajui wala wabunge zimenunuliwa bei gani?
Mimi ni muumini wa Profesa Assad kitaaluma ingawa ni mwana CCM na nilisema mapema hapa haya mambo tutakuja kushindwa kujibu kwa mahesabu ya Humprey polepole.
Leo Tundu lissu Segerea ametuchakaza sana ,Hata Mimi mwana ccm siyajui haya ya mikataba ya ndege
Nini cha kufanya kwa sasa
CCM iongee ukweli bei za ndege ni kiasi gani na mikataba yake ili tuweze kutetea hoja hii.
Leo jamaa amepigilia misumari ambayo sikutegemea kabisa.
Leo ndio nimemkumbuka Prof Assad kuwa alikuwa na lengo nzuri sana kabisa.
Prof Assad quote,"Debit or Credit has got no meaning but it depend on interpretation.
Sasa hawa CHADEMA wamesema tumeibiwa ni interpretation sahihi?
Wamechoka sana!! Wameshajua wameshaula wa chuya nini?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hayo ndio mafuriko segerea?
kumbe unafuatilia eeghh? Na jiwe yuko wapi? Utakuta hata hujuiMatapeli ninyi Moshi Godbless Lema anasema Leo Lisu anatikisa Arusha mjini viwanja vya unga LTD atajigawaje Wakati Mkutano muda Ni ule tusaidie mleta mada
Chadema mumebobea kwenye uongo
You better write in Swahili you ass!! You know nothing about CCM and you are among the ass at Ufipa street!Mkuu better remain silence than showing your idiotness here
Hapa tunatetea chama sio sehemu ya mipasho na taarabu
Huyo ameongea jukwaani anapaswa kujibiwa
Wewe ni ccm njaa nini,Fanya kazi kukisaidia chama sio chama kikusaidie wewe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hayo ndio mafuriko segerea?
....Hoja za kuombea kura ni kujielwza una mipango gani na siyo kubeza ufanisi wa mpinzani wako
Mjibuni hoja zakeYou better write in Swahili you ass!! You know nothing about CCM and you are among the ass at Ufipa street!
Naona ulivyo changanyikiwa hadi unatukana tu watu kisa ni wana cdm. Tulia sindano ikuingie vyema kusudi upone kichaa chako.Matapeli ninyi Moshi Godbless Lema anasema Leo Lisu anatikisa Arusha mjini viwanja vya unga LTD atajigawaje Wakati Mkutano muda Ni ule tusaidie mleta mada
Chadema mumebobea kwenye uongo
Tulishamjibu akaanza kutukana ndiyo maana tunajibu mapigo!Mjibuni hoja zake