Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutikisa Tabata Segerea, ni katika Mkutano mkubwa wa kampeni za Urais za CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutikisa Tabata Segerea, ni katika Mkutano mkubwa wa kampeni za Urais za CHADEMA

Ilikuwa lini na Serikali ilitoa tamko lini, na pengine tuulize ni kweli haikuwepo wakati huo?


Ilikuwa ni juzi tu alivyorudi tena baada ya kuwa tayari kesha teuliwa kuwa Mgombea uraisi kwa tiketi ya chadema, aliongeana foreign media na kusema Serikali yetu inaficha na kwamba Tanzania kuna corona nyingi sana tu na watu wengi wanakufa kwa cororna, sasa ndio namshangaa kwa nini anajiachia kama kweli Tanzania yetu kuna corona nyingi na watu wanakufa huku Serikali yetu ikificha?
 
Matapeli ninyi Moshi Godbless Lema anasema Leo Lisu anatikisa Arusha mjini viwanja vya unga LTD atajigawaje Wakati Mkutano muda Ni ule tusaidie mleta mada
Chadema mumebobea kwenye uongo
Arusha keshi wewe mwana Lumumba
 
Kwa kweli ndugu huwa unajitahidi sana kuipigania CHADEMA. Hata kama inakata roho wewe bado husema ndo kwanza ina afya tele. Viva kamanda
Siyo kama wewe ulekufa siku nyingi na bado watu wanatifua marinda
 
Kwa kweli ndugu huwa unajitahidi sana kuipigania CHADEMA. Hata kama inakata roho wewe bado husema ndo kwanza ina afya tele. Viva kamanda
Kwa kweli inabidi CHADEMA wamtunuku huyu asee maana kazi yake hata Mnyika hafui dafu.
 
Vp mbona mwaka huu akuna helcopter,au ipo gereji ya buza inafanyiwa matengenezo?
Dar haihitaji helicopter. Ni msanii Diamond tu ndiye anayeitumia kuashuka kwa mkapa siku ya Simba. Leo nani atashuka na helicopter siku ya wananchi?
 
Dar haihitaji helicopter. Ni msanii Diamond tu ndiye anayeitumia kuashuka kwa mkapa siku ya Simba. Leo nani atashuka na helicopter siku ya wananchi?
Konde boy ni mmakonde,wamakonde ni marubani wazuri wa kupaa na ungo.ila nisimalize maneno ngoja tuone itakavyokuwa leo siku ya Manyani fc.
 
Kupandisha mishara ya wafanyakazi nalo ni tusi? Basi mwenzetu wewe siyo wa kawaida.
Hayo walitamka Jana kidogo Lisu kaanza kunyooka na kushika adabu na ujuaji wake alidhani ugombea uraisi ni sawa na kubwabwaja porojo kugombea uraisi wa chama Cha wanasheria Tanzania .Uraisi wa nchi Ni ngoma nyingne sio lelemama
 
Uzi tangu umefungua hakuna updates zozote wakati tayari mkutano unaendelea kama hauko eneo la tukio usikimbilie kuanzisha uzi
Huyu dada anakimbelembele sana! Labda mkutano umebuma tena kama Juzi na Jana (Mbagala na Kawe)!
 
Back
Top Bottom