Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutikisa Tabata Segerea, ni katika Mkutano mkubwa wa kampeni za Urais za CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutikisa Tabata Segerea, ni katika Mkutano mkubwa wa kampeni za Urais za CHADEMA

Uzi tangu umefungua hakuna updates zozote wakati tayari mkutano unaendelea kama hauko eneo la tukio usikimbilie kuanzisha uzi
hakuna aliyekatazwa ku update , hata wewe unaruhusiwa
 
Segerea muda huu
2502644_Screenshot_20200830-165752.jpeg
 
Hoja za Tundu Lissu Segerea leo ni ngumu na hazijibiki kirahisi

Mosi, Anauliza mikataba ya ndege kuwa wananchi hawajui wala wabunge zimenunuliwa bei gani?

Mimi ni muumini wa Profesa Assad kitaaluma ingawa ni mwana CCM na nilisema mapema hapa haya mambo tutakuja kushindwa kujibu kwa mahesabu ya Humprey polepole.

Leo Tundu lissu Segerea ametuchakaza sana ,Hata Mimi mwana ccm siyajui haya ya mikataba ya ndege

Nini cha kufanya kwa sasa

CCM iongee ukweli bei za ndege ni kiasi gani na mikataba yake ili tuweze kutetea hoja hii.

Leo jamaa amepigilia misumari ambayo sikutegemea kabisa.

Leo ndio nimemkumbuka Prof Assad kuwa alikuwa na lengo nzuri sana kabisa.

Prof Assad quote,"Debit or Credit has got no meaning but it depend on interpretation.

Sasa hawa CHADEMA wamesema tumeibiwa ni interpretation sahihi?
 
Hoja za tundu lissu Segerea leo ni ngumu na hazijibiki kirahisi

Mosi ,Anauliza mikataba ya ndege kuwa wananchi hawajui wala wabunge zimenunuliwa bei gani?

Mimi ni muumini wa Profesa Assad kitaaluma ingawa ni mwana ccm na nilisema mapema hapa haya mambo tutakuja kushindwa kujibu kwa mahesabu ya Humprey polepole

Leo Tundu lissu Segerea ametuchakaza sana ,Hata Mimi mwana ccm siyajui haya ya mikataba ya ndege

Nini cha kufanya kwa sasa

Ccm iongee ukweli bei za ndege ni kiasi gani na mikataba yake ili tuweze kutetea hoja hii

Leo jamaa amepigilia misumari ambayo sikutegemea kabisa
Kila kinachonunuliwa na serikali unajua bei yake?? Ukitaka kujua nenda ATCL au Wizara ya Fedha. Kila mtu na kazi yake wewe fanyakazi yako huwezi jua kila kitu unaweza kufa na stress tu.
 
Kila kinachonunuliwa na serikali unajua bei yake?? Ukitaka kujua nenda ATCL au Wizara ya Fedha. Kila mtu na kazi yake wewe fanyakazi yako huwezi jua kila kitu unaweza kufa na stress tu.
Mkuu better remain silence than showing your idiotness here

Hapa tunatetea chama sio sehemu ya mipasho na taarabu

Huyo ameongea jukwaani anapaswa kujibiwa

Wewe ni ccm njaa nini,Fanya kazi kukisaidia chama sio chama kikusaidie wewe
 
>85% ya wapiga kura wa Tanzania hawahitaji kuona achilia mbali hata kujua bei ya ndege, wanaamini chini ya Raisi Magufuli nchi yetu iko salama na Raisi Magufuli hawezi kuiibia Tanzania yetu, na chochote anachofanya ni kwa mema ya Tanzania yetu, BTW naelewa unaposema kwamba wewe ni Mhasibu hivyo hauna tofauti na Tundu Lisu na wafuasi wake Wanafunzi wa Sheria ambao wanafikiri wote sisi ni Wanasheria na tuko darasani, ...
 
Mkuu better remain silence than showing your idiotness here

Hapa tunatetea chama sio sehemu ya mipasho na taarabu

Huyo ameongea jukwaani anapaswa kujibiwa

Wewe ni ccm njaa nini,Fanya kazi kukisaidia chama sio chama kikusaidie wewe
Uelewa wako ni mdogo sana kwani hizo ngonjera za ndege za ATCL umeanza kuzisikia leo?? Walishasema maneno mengi sana hata pia Lissu alishashirikiana na mabeberu kuzikamata huko Canada na South Africa! Kwani kuuliza bei ndiyo hoja? mbona haulizi vitu vingine? Kama unataka kubwabwaja kama Lissu na wanasaccos wewe endelea tu! Eti mpaka umeanzisha uzi kwa sababu ya bei ya ndege za ATCL kwa taarifa yako Shirika la Kutengeneza hizo ndege lilishatoa bei ya ndege hizo walizonunua Serikali wala siyo kitu kipya labda wewe ulikuwa bado uko shule ndiyo maana unaona kitu kimpya sana!!
 
Hoja za tundu lissu Segerea leo ni ngumu na hazijibiki kirahisi

Mosi ,Anauliza mikataba ya ndege kuwa wananchi hawajui wala wabunge zimenunuliwa bei gani?

Mimi ni muumini wa Profesa Assad kitaaluma ingawa ni mwana ccm na nilisema mapema hapa haya mambo tutakuja kushindwa kujibu kwa mahesabu ya Humprey polepole

Leo Tundu lissu Segerea ametuchakaza sana ,Hata Mimi mwana ccm siyajui haya ya mikataba ya ndege

Nini cha kufanya kwa sasa

Ccm iongee ukweli bei za ndege ni kiasi gani na mikataba yake ili tuweze kutetea hoja hii

Leo jamaa amepigilia misumari ambayo sikutegemea kabisa

Leo ndio nimemkumbuka Prof Assad kuwa alikuwa na lengo nzuri sana kabisa

Prof Assad quote,"Debit or Credit has got no meaning but it depend on interpretation

Sasa hawa Chadema wamesema tumeibiwa ni interpretation sahihi?
Lissu ana hoja kede kede ccm wajiandae kuumwa vichwa vyao mwaka huu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom