Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Ccm wote ni ukoo wa panya wezi tuHuoni hapo mtakuwa mmecheza ngoma ya Lisu kwa asilimia mia...maana raia wataanza kuhoji kwa nini amezuia kuuona uwanja Kuna nini Cha ziada...
Bora mmwachie aende akashangae aendelee na safari yake.