Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutinga Chato keshokutwa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutinga Chato keshokutwa

Huoni hapo mtakuwa mmecheza ngoma ya Lisu kwa asilimia mia...maana raia wataanza kuhoji kwa nini amezuia kuuona uwanja Kuna nini Cha ziada...

Bora mmwachie aende akashangae aendelee na safari yake.
Ccm wote ni ukoo wa panya wezi tu
 
Tundu Lissu Ni very bright,utaona kesho atakavyofanya.Hapo Chato atapata kura nyingi tu
Kumbe kesho anachukua kura! Tarehe 28/10/2020 tutamnyoosha anajaribu kuwadanganya mabeberu yake na wanasaccos kuwa anakubalika Kanda ya Ziwa. Atashangaa tarehe 28/10/2020 yeye aendelea kupatapata vipesa vya walalahoi na mabeberu za mwisho mwisho!
 
Mgombea urais wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu, keshokutwa Jumanne tarehe 13 Oktoba, ataenda kupiga kampeni kwenye ngome ya Rais Magufuli huko Chato.

Pia, kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kabla ya kufanya mkutano wake huo, ataenda kuuangalia uwanja wa kimataifa wa ndege unaojengwa mjini humo.

Could be a moment of high drama.
View attachment 1597061
Mkuu tupe marejesho ................!!
 
Back
Top Bottom