Tundu Lissu kutoa mada siku ya Katiba (Katiba Day)


Kamanda Sirro na kamanda Muliro wafahamishwe katiba day haiahirishwi wala kusitishwa sitishwa tu kama Mambosasa na Muroto walivyojisikia kufanya.

Tujipange zaidi kwa hili.
 
Hizo fedha zinazotumika, ni aheri zikaelekezwa kujenga ofisi za chama

Sababu moja tu, Mpaka muda huu, Jambo la katiba ni kama linsonekana ni la kichama zaidi kuliko kuonekana ni la kitaifa na la wananchi wote?

Kulifanyika makosa makubwa sana kipindi kile ilipopatikana fursa ya kuandikwa kwa katiba mpya, matokeo yake kama nchi tukapata Ukawa, kitu ambacho kama wananchi, hutukuwaagiza hivyo waliopata fursa ya kutuwakilisha na wakaamua kutuletea dubwasha hilo lisilo na maana
 
UKAWA ni matokeo ya unajisi uliofanywa na CCM dhidi ya mchakato wa kuandika Katiba.Wakati ule CCM na wapambe wao walihofia anguko lao kwenye kipengele cha Muungano wa
serikali tatu.
Tusipotoshane.
 
Kaamua kujitekenya. Hivi hii nayo ni agenda ya kumrudisha kwenye ramani, anatia kinyaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…