Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

Pumbav kweli
 
Mlituaminisha hivyo na hadi wengine bungeni wakalia hawaoni mwingine wa kuiendeleza nchi hii hivyo aongezewe muda kinyume na katiba.
 
Mimi mwenyewe nasubiria ripoti orijino hii imeeditiwa japo yenye kusema ukweli.
 
Mlituaminisha hivyo na hadi wengine bungeni wakalia hawaoni mwingine wa kuiendeleza nchi hii hivyo aongezewe muda kinyume na katiba.
Na wewe kweli ukaamini, basi una matatizo.
 
Mataga mnajibu hoja kama mnaharisha hivi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…