Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

Mama hana noma. Wengine mlitishwa na kukanywa kumtembelea mgonjwa . Lakini mama alifika Nairobi hospital kumjulia hali mgonjwa. Mtu kama huyo utamchukiaJe !!

CDM mmeshacheza ngoma ya CCM amin nawaambia kushika madaraka ya Nchi hii ni mpaka baada ya karne moja kupita
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
The way alikua anajinasibu kupambana na mafisadi kuwa na uozo kama huu ni AIBU.
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Haya mmeyajua baada ya msiba? Maana kwenu Magufuli alikuwa msaidizi wa Malaika Gabriel kwa kutokosea.
 
Mama hana noma. Wengine mlitishwa na kukanywa kumtembelea mgonjwa . Lakini mama alifika Nairobi hospital kumjulia hali mgonjwa. Mtu kama huyo utamchukiaJe !!
Aisee, basi mtafute Lissu apewe kadi ya CCM aache kelele zake, na wewe pia jiunge CCM.
 
Hana maana hata kidogo huyo jamaa.ndiyo tatizo walikuwa wanasifu mpaka wanakuwa vipofu mimacho inafumbuliwa Sasa. Kwa kuzuia habari na kufungia magazeti ya kiuchunguzi tu wenye akili walishajua madudu yatakuwa mengi



Napita nayo naendayo wapi wakati yenyewe itabaki ili ikutawale milele. Au mwenyekiti katangulia kuandaa chama uko kuzimu. Mbinguni hakuna huu upuuzi wenu wa kuwapoteza kina saa nane.
AMEN
 
Hana maana hata kidogo huyo jamaa.ndiyo tatizo walikuwa wanasifu mpaka wanakuwa vipofu mimacho inafumbuliwa Sasa. Kwa kuzuia habari na kufungia magazeti ya kiuchunguzi tu wenye akili walishajua madudu yatakuwa mengi



Napita nayo naendayo wapi wakati yenyewe itabaki ili ikutawale milele. Au mwenyekiti katangulia kuandaa chama uko kuzimu. Mbinguni hakuna huu upuuzi wenu wa kuwapoteza kina saa nane.
AMEN
 
Kupitia ukurasa wake wa Twita ndugu Tundu Lissu amedai kuwa sasa kuwa kile watanzanianwengi walidhani watarithi mambo mazuri yaliyoachwa na JPM ni kama hakuna. Maana mengi yana uozo na yameanza kusambaratika. Kama uchunguzi ukifanyika mengi sana yataibuka.

Yaelekea Lissu kaamua kuacha siasa na kurudi kwenye harakati kikamilifu. Kama ana nia ya kuongoza mapambano makuu ya kisiasa basi asihangaike kumcharaza mikwaju punda aliyefariki (flogging a dead horse) - madudu ya Jiwe wenye uelewa tunayafahamu sana na ni suala la muda tu yataanza kudhihirika kwa wengi. Asipoteze muda wake kwa ya Jiwe yaliyopita. Sijui ni kipi tusichojua?

Nilitarajia Lissu wakati huu ajaze kurasa zake na ushauri kuhusu mikakati ya kuimarisha demokrasia, haki za binadamu, utawala bora na maendeleo endelevu nchini. Masuala kama Katiba mpya, ujenzi wa taasisi imara za uongozi, usimamizi na utendaji; usimamizi bora wa kanuni za demokrasia; nk. Hayo ndio tunayotarajia kumsikia akielimisha na kushauri mara baada ya Jiwe kuondoka. Baadaye atapata fursa ya kukosoa utendaji wa serikali inayoanza kazi sasa pamoja na kufuatilia haki zake binafsi ikibidi. He needs to stand great and tall. Aachane na utendaji wa Jiwe enzi hizo. There is no news there.
 
CDM mmeshacheza ngoma ya CCM amin nawaambia kushika madaraka ya Nchi hii ni mpaka baada ya karne moja kupita
Hakuna namna wanalindwa na vyombo vyenye kutoa maamuzi. Lakini hamsaidii mtu ccm kubaki madarakani .
 
Jibuni hoja kwa hoja.

Kwa mfano, sema ATCL na TPA hakuna uozo uliolelewa kipindi cha Magufuli.

Issue ni uozo wa Magufuli. Tundu Lissu alishakubali kwamba kashindwa urais na hajatangaza kugombea tena, kwa hiyo, hiyo si hoja.
Hio ripoti ilikua katikat ratiba ya kumkabidhi Mafuguli, hayo yote angeambiwa, haijaandikwa kwajili ya Mama Samia
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Halafu we mzee hueleweki Kama k
Ww si ulikua unampinga jiwe leo hii unabinua mdomo unasema fefefefefe zako
Acha unafik we babu utakufa vibaya Sana

Sisisem asilia tunarudi ulingoni wanafiki Kama tunawatupa baharin
Wajinga nyie

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom