Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

Na ndiyo kaleta maendeleo kuliko hao wote!
Yaani hapo ndiyo utajua Lisu ni zaidi ya kilaza
Kama Magufuri alifeli basi na Samia alifeli maana ilikuwa ni serikali moja
Maendeleo gani hayo??
FB_IMG_16169329703719981.jpeg
 
Expert wa kweli kuhusu mambo ya ndege humu jukwaani ninayemuamini ni Barafu tu. Huyu mwingine ni tapeli. Mimi sio mtaalamu wa mambo ya ndege, ila kwa akili ya kawaida tu, shirika letu la ndege lilikuwa linajiendesha kwa hasara.

Mkuu juzi nilikwambia sisi wengine unafiki umegoma. Nakumbuka ww ndio ulikuwa unalazimisha Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa cdm zaidi ya 15yrs, sasa ile shaka yangu dhidi yako imekuwa bayana. I now know your real colour.
Wacha kujitesa man, you know nothing about me, absolutely nothing blv me, this is my private decision Lissu amenichosha, simple.

If you want to remove Mbowe huko CDM hata leo mkipenda just do it, ila sijui ndio mtamuweka huyu Lissu? jamaa ni mwanaharakati mno, hana busara.

Nilimtaka Mbowe aendelee simply bcoz ya busara zake na yote aliyopitia, amekomaa sana yule mtu, bado sioni wakumfikia pale CDM.
 
That’s why he will never ever be president.

Too infantile.
Lissu hajawahi kuwa na ndoto ya kuwa rais,ndoto yake ni kuona haki inasimama.

Ila yupo aliyetamani kutawala milele, msukuma mwenzio. NADHANI UNAFAHAMU YUKO WAPI SASA.
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Sio malaika tu.
Yeye alisema anaweza kuongoza malaika.
Na mkapiga makofi.

Msijisahaulishe
 
Lissu hajawahi kuwa na ndoto ya kuwa rais,ndoto yake ni kuona haki inasimama.

Ila yupo aliyetamani kutawala milele, msukuma mwenzio. NADHANI UNAFAHAMU YUKO WAPI SASA.
Mara umesahau? Vipi ukubwa wa ubongo wako! Lissu aligombea kuwa rais miezi minne iliyopita! Utasemaje hajawahi kuwa na ndoto za kuwa rais? Sasa wewe utaaminika tena mbele za watu? Au ulikuwa umezirai kipindi hicho?
 
Nchi imetetemeka....

Masikini hawaelewi waendelee kulia au la!!?

Sasa mkienda kanda ya ziwa si mtakufa kabisa..
wachaga kwa nini mnachukia hivi watu wa kanda ya ziwa?

au wao waliumbwa kutopelekewa maendeleo?
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Hakuna utetezi hapa.Sasa ndio Tutamjua yule mzalendo wenu, rais wa wanyonge na wizi wake na madudu yake.

Kwahiyo Wewe unamfundisha LISSU siasa.
 
Nchi imetetemeka....

Masikini hawaelewi waendelee kulia au la!!?

Sasa mkienda kanda ya ziwa si mtakufa kabisa..
Nakwambia hawaelewi waendelee kumwita Shujaa au wamwache aende zake?
 
Hakuna utetezi hapa.Sasa ndio Tutamjua yule mzalendo wenu, rais wa wanyonge na wizi wake na madudu yake.

Kwahiyo Wewe unamfundisha LISSU siasa.
Kiongozi wa Malaika.
Tunaendelea na hilo.
Wasituyumbishe
 
Expert wa kweli kuhusu mambo ya ndege humu jukwaani ninayemuamini ni Barafu tu. Huyu mwingine ni tapeli. Mimi sio mtaalamu wa mambo ya ndege, ila kwa akili ya kawaida tu, shirika letu la ndege lilikuwa linajiendesha kwa hasara.

Mkuu juzi nilikwambia sisi wengine unafiki umegoma. Nakumbuka ww ndio ulikuwa unalazimisha Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa cdm zaidi ya 15yrs, sasa ile shaka yangu dhidi yako imekuwa bayana. I now know your real colour.
Nini tena mmeanza kuvuana mashati?
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Wote waliopita walikuwa na Madudu ila pia hawakupenda kutukuzwa kama hayati
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Huyo ni wa kupuuza tu
 
Back
Top Bottom