Tundu Lissu: Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe ni mepesi kuliko pamba, awaponda Waendesha Mashtaka

Tundu Lissu: Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe ni mepesi kuliko pamba, awaponda Waendesha Mashtaka

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amechambua mashitaka yaliyosomwa Mahakamani yanayomkabili Mwenyekiti wake Freeman Mbowe , huku akiyaita duni , mepesi na ya UONGO.

View attachment 1906115

Amedai ana uzoefu wa kutosha kwenye kesi za uzushi na uongo kama hii kutokana na kazi yake ya Uanasheria aliyoifanya kwa miaka mingi , ameahidi kushinda kesi hiyo ya kutunga mapema asubuhi .

Hebu msikilize mwenyewe ufaidi uhondo .

"Wakiifuta tunao. Wakiiacha tunao. Wakiifungua upya tunao."

Kwamba,

"Wakimung'unya nchale, wakimeja nchale!"

Hiiiiii bagosha!
 
7
Lisu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi, Lisu ni mwoga sana

USSR
Jinga Sana vevee mmemshindwa kwa hoja mahakamani na bungeni mkakimbilia ugaidi shwain
kwahiyo Mandela,Dakota nk. walivyokimbia kujipanga nao walikuwa waoga? Wewe ni jasiri walipi haswa? Au ujinga nahuku kujambajamba kwako hadharani ...idiot!!
 
hujui kitu wewe, kwenye judiciary inayofanya kazi vizuri, hii si kesi hata kidogo. Sema kwa vile majaji wanapokea magizo anything can come out... ukiipeleka Kenya wanaifukuza nakwambia.
Pamoja na judiciary kutokuwa huru kwa mashtaka haya watu hawawezi kutiwa hatiani.
 
Wahuni wa CCM wanachojua ni Kuiba kura na kubambikizia watu kesi za kipuuzi tuu, nchi kubwa maliasili kibao lakini maskini kama Burundi na hata Rwanda wanatushinda aibu sana hii
 
Lissu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi, Lisu ni mwoga sana

USSR
Kuna wakati CHADEMA ilishitakiwa na Zitto. CHADEMA iliwakilishwa na jopo la mawakili akiwemo Kibatala na waliongozwa na Lissu. Zitto aliwakilishwa na wakili mmoja tu, Albert Msendo. Chadema walibwagwa vibaya sana katika kesi ile.
 
Lissu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi, Lisu ni mwoga sana

USSR
Mliwahi kumshinda kesi zipi katika mlolongo wa makesi mlomfungulia? Zaidi ya kujiaibisha!!
mliposhindwa mkaona mum.... Jinga nyie!!
mrudisheni avifundishe viwanasheria visomifeki vyenu jinsi ya kufanya kazi kwa akili.
tunajua mnajua hamna kesi ila mnataka akae ndani mpaka kesi kuisha muwe mmemkomoa na kutisha watu!! Hii inatofauti gani na walotufanyia wakoloni wakizungu??
 
Mama maushungi yuko busy na kurekodi viclip vya rebranding huku kiongozi mkuu wa kambi ya upinzani akifunguliwa mashtaka ya ugaidi
 
Watu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na watu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazo wamezipotezea wapi?

Kwa kweli CCM walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli katika ujinga, hebu pitia hii orodha...
  1. Kamanda Asiyechoka
  2. magu2016
  3. Ezekiel Mbaga
  4. Shujaa Mwendazake
  5. tutamkumbukamagu
  6. akilinene
  7. Bushesha jr
  8. JUMA JUMA
  9. Wakudadavuwa
  10. zandrano
  11. shamimuodd
  12. Redpanther
  13. GENTAMYCINE
  14. Jasusi Mbobezi
  15. Elitwege
  16. Idugunde
  17. Jumbe Brown
  18. johnthebaptist
  19. USSR
  20. Magonjwa Mtambuka
  21. Dr Akili
  22. Janjaweed
  23. mtanzania1989
  24. Phillipo Bukililo
  25. Mr Dudumizi
  26. digba sowey
  27. IDEGENDA
  28. Niza doyi
  29. Kivumishi Kielezi
  30. Gerald .M Magembe
  31. Jasusi Mbobezi
  32. Jay One
  33. Stuxnet
  34. Latvia
  35. Iboya2021
  36. Ritz
  37. mama D
  38. Psalm 23
  39. Shambaboy jogoli
  40. Pulchra Animo
  41. BUSH BIN LADEN
  42. No signal
  43. Lord OSAGYEFO
  44. fisi 2
  45. Naipendatz
  46. Ibambasi
  47. wababayangu
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...

Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!

Huu nd upembuzi yakinifu ama?

Yaani ndo ukomo wenu wa kufikiria yani. Mnataka kila post iwe inasapoti movement zenu ?

Hamuwezi kuheshimu uhuru wa maoni kikatiba halafu mnalilia uhuru wa maoni. Hovyo kabisa.

Sasa kila siyewafurahisha ni CCM ?
 
Ukweli umedhihirika leo , ambapo Jaji Luvanda amekiri kwamba HATI YA MASHITAKA NI BATILI , ila amekataa kufuta kesi
 
Huu nd upembuzi yakinifu ama?

Yaani ndo ukomo wenu wa kufikiria yani. Mnataka kila post iwe inasapoti movement zenu ?

Hamuwezi kuheshimu uhuru wa maoni kikatiba halafu mnalilia uhuru wa maoni. Hovyo kabisa.

Sasa kila siyewafurahisha ni CCM ?
Wewe ni ccm na mamluki wa jiwe , bisha tukuanike hadharani .
 
Ifike mahali serikali ionyeshe ukomavu kwa kuacha kupambana na wanasiasa wa Chadema ielekeze nguvu kwenye maendeleo ya nchi na wananchi kwa ujumla.

Haya mambo ya kutwa nzima kuwaza Chadema tu akilini haitawasaidia na kitu badala yake miaka mitano inamalizika hamna walichowafanyia wananchi badala yake wanarudi tena kuhujumu uchaguzi, nchi inazidi kurudi nyuma. This is nonsense.
 
Ifike mahali serikali ionyeshe ukomavu kwa kuacha kupambana na wanasiasa wa Chadema ielekeze nguvu kwenye maendeleo ya nchi na wananchi kwa ujumla.

Haya mambo ya kutwa nzima kuwaza Chadema tu akilini haitawasaidia na kitu badala yake miaka mitano inamalizika hamna walichowafanyia wananchi badala yake wanarudi tena kuhujumu uchaguzi, nchi inazidi kurudi nyuma. This is nonsense.
Ukivunja sheria utashughulikiwa tu
 
Back
Top Bottom