Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amechambua mashitaka yaliyosomwa Mahakamani yanayomkabili Mwenyekiti wake Freeman Mbowe , huku akiyaita duni , mepesi na ya UONGO.
View attachment 1906115
Amedai ana uzoefu wa kutosha kwenye kesi za uzushi na uongo kama hii kutokana na kazi yake ya Uanasheria aliyoifanya kwa miaka mingi , ameahidi kushinda kesi hiyo ya kutunga mapema asubuhi .
Hebu msikilize mwenyewe ufaidi uhondo .
mpeni na muhakikisheeni usalama wayeye na hakizakeLisu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi, Lisu ni mwoga sana
USSR
Jinga Sana vevee mmemshindwa kwa hoja mahakamani na bungeni mkakimbilia ugaidi shwain7
Lisu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi, Lisu ni mwoga sana
USSR
Hiyo "bangi" imekulevya akili na kuanza kupiga mayowe "kwa sauti kubwa"?bangi
na kuongea kwa sauti kubwa
Pamoja na judiciary kutokuwa huru kwa mashtaka haya watu hawawezi kutiwa hatiani.hujui kitu wewe, kwenye judiciary inayofanya kazi vizuri, hii si kesi hata kidogo. Sema kwa vile majaji wanapokea magizo anything can come out... ukiipeleka Kenya wanaifukuza nakwambia.
Kuna wakati CHADEMA ilishitakiwa na Zitto. CHADEMA iliwakilishwa na jopo la mawakili akiwemo Kibatala na waliongozwa na Lissu. Zitto aliwakilishwa na wakili mmoja tu, Albert Msendo. Chadema walibwagwa vibaya sana katika kesi ile.Lissu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi, Lisu ni mwoga sana
USSR
Kakojoe ulaleLissu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi, Lisu ni mwoga sana
USSR
Mliwahi kumshinda kesi zipi katika mlolongo wa makesi mlomfungulia? Zaidi ya kujiaibisha!!Lissu yeye kakimbia kesi bado anaona zawenzake nyepesi, Lisu ni mwoga sana
USSR
Lisu hajachafua nchi yetu, ameonesha tu uchafu wa nchi yetu! Wachafuzi ni nyie ‘chama cha magaidi’ na Hamza wenu!Kazi anayoifanya ni kuichafua nchi yetu. Hiyo kazi yake ni nyepesi kama Sufi.
Watu wa aina hiyo ndio CCM inawataka na waliwekeza kweli kweli kwa watu hao kwa mtaji wa ujinga. CCM ilipoona kuna jukwaa huru kama hili letu la JF, ikawamwaga humu...yaani unakutana na watu humu mpaka unajiuliza mara mbili tatu kama waliwahi hata kuwa na akili na kama walikuwa nazo wamezipotezea wapi?
Kwa kweli CCM walifanya research ya kutosha na wakawekeza kweli kweli katika ujinga, hebu pitia hii orodha...
Orodha itaendelea kulingana na wanavyozidi kufyatuliwa...
- Kamanda Asiyechoka
- magu2016
- Ezekiel Mbaga
- Shujaa Mwendazake
- tutamkumbukamagu
- akilinene
- Bushesha jr
- JUMA JUMA
- Wakudadavuwa
- zandrano
- shamimuodd
- Redpanther
- GENTAMYCINE
- Jasusi Mbobezi
- Elitwege
- Idugunde
- Jumbe Brown
- johnthebaptist
- USSR
- Magonjwa Mtambuka
- Dr Akili
- Janjaweed
- mtanzania1989
- Phillipo Bukililo
- Mr Dudumizi
- digba sowey
- IDEGENDA
- Niza doyi
- Kivumishi Kielezi
- Gerald .M Magembe
- Jasusi Mbobezi
- Jay One
- Stuxnet
- Latvia
- Iboya2021
- Ritz
- mama D
- Psalm 23
- Shambaboy jogoli
- Pulchra Animo
- BUSH BIN LADEN
- No signal
- Lord OSAGYEFO
- fisi 2
- Naipendatz
- Ibambasi
- wababayangu
Hawa kaa nao mbali kama ukoma, akili zao ziko stoo za CCM, zimehifadhiwa huko huko. Mara moja moja wanapewa kwa muda wazitumie lakini tatizo ni kwamba hakuna uhakika wa kupewa za kwako! Ndio maana kuna wakati hawaeleweki eleweki...inasikitisha!
Wewe ni ccm na mamluki wa jiwe , bisha tukuanike hadharani .Huu nd upembuzi yakinifu ama?
Yaani ndo ukomo wenu wa kufikiria yani. Mnataka kila post iwe inasapoti movement zenu ?
Hamuwezi kuheshimu uhuru wa maoni kikatiba halafu mnalilia uhuru wa maoni. Hovyo kabisa.
Sasa kila siyewafurahisha ni CCM ?
Ukivunja sheria utashughulikiwa tuIfike mahali serikali ionyeshe ukomavu kwa kuacha kupambana na wanasiasa wa Chadema ielekeze nguvu kwenye maendeleo ya nchi na wananchi kwa ujumla.
Haya mambo ya kutwa nzima kuwaza Chadema tu akilini haitawasaidia na kitu badala yake miaka mitano inamalizika hamna walichowafanyia wananchi badala yake wanarudi tena kuhujumu uchaguzi, nchi inazidi kurudi nyuma. This is nonsense.
Mbona Makonda hajashughulikiwa au kwa kuwa ilikuwa ni "State Sponsored Thuggery".Ukivunja sheria utashughulikiwa tu
Jaji kishadhalilika sasa !Ukivunja sheria utashughulikiwa tu
Sheria zipi? Kuna RPC amesema matamko ya Rais tayari ni sheria. Ndizo sheria unazozungumzia au kuna zingine?Ukivunja sheria utashughulikiwa tu