kwahiyo ulitaka akajumlishwe kwenye takwimu za kijingaTundu Lissu mbinafsi hajajiandikisha kupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa awapigie wengine waliogombea lakini 2025 atataka watu wampigie kura
Hii sio sawa. Ukitaka kupigiwa kura pia wapigie kura wengine. Kura yake muhimu yaweza badili matokeo
Sababa kagoma 2025 na yeye anyimwe kura ndio dawa yake ili aelewe umuhimu wa kura ya mtu
Si inajulikana kuwa hayupo? Kulikuwa na haja ya kuanzishia uzi jambo ambalo lipo dhahiri?Tundu Lissu mbinafsi hajajiandikisha kupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa awapigie wengine waliogombea lakini 2025 atataka watu wampigie kura
Ungekuwa uchaguzi ambao yeye ni mgombea angeondoka?,Si inajulikana kuwa hayupo? Kulikuwa na haja ya kuanzishia uzi jambo ambalo lipo dhahiri?
Acha ushambenga maana picha akiwa anajiandikisha na uzi umo humu humu. Usipoangalia utakuja kupakatwa dogo.Tundu Lissu mbinafsi hajajiandikisha kupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa awapigie wengine waliogombea lakini 2025 atataka watu wampigie kura
Hii sio sawa. Ukitaka kupigiwa kura pia wapigie kura wengine. Kura yake muhimu yaweza badili matokeo
Sababa kagoma 2025 na yeye anyimwe kura ndio dawa yake ili aelewe umuhimu wa kura ya mtu
Hakuna uchaguzi hapa Tanzania, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kwa ujumla hakuna uchaguzi wa kuongelea bali kuna upuuzi kama upuuzi mwingine.Ajiandikishe au asijiandikishe kichapo kwenye sanduku la kura kipo palepale
Hili jina Tundu Lissu ni homa kwa vibaka wote wa mbogamboga! mazeri anaingia mwezini kila akifikiri hili jina!!Tundu Lissu mbinafsi hajajiandikisha kupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa awapigie wengine waliogombea lakini 2025 atataka watu wampigie kura
Hii sio sawa. Ukitaka kupigiwa kura pia wapigie kura wengine. Kura yake muhimu yaweza badili matokeo
Sababa kagoma 2025 na yeye anyimwe kura ndio dawa yake ili aelewe umuhimu wa kura ya mtu
Abaki akifanya nini? Yaani kipi cha maana cha kumfanya akae hapa muda wote? Au kwakuwa ww unashinda hapo kwenye ofisi za ccm unategemea kila mtu amepoteza ramani kama ww?Ungekuwa uchaguzi ambao yeye ni mgombea angeondoka?,
Si angekosa tu kura? Yaani kama amekosea basi anafundishwa kwa vitendo, hapigiwi kura.Ungekuwa uchaguzi ambao yeye ni mgombea angeondoka?,
Hata Makamu wa Rais hakumpigia kura mbunge na diwani wa eneo analoishi, lakini yeye alipigiwaUngekuwa uchaguzi ambao yeye ni mgombea angeondoka?,
Moderators kuacha nyuzi kama huu kuendelea kuwepo ni kijidhalilisha na kulidhalilisha Jukwaa letu pendwa wakati inajulikana kabisa kuwa Lissu aliondoka nchini kabla ya zoezi la kuandikisha halijaanza na hadi sasa hayupo nchini. Au mumeuacha ili mleta uzi ndiye aonekane ndiye mjinga?Tundu Lissu mbinafsi hajajiandikisha kupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa awapigie wengine waliogombea lakini 2025 atataka watu wampigie kura
Hii sio sawa. Ukitaka kupigiwa kura pia wapigie kura wengine. Kura yake muhimu yaweza badili matokeo
Sababa kagoma 2025 na yeye anyimwe kura ndio dawa yake ili aelewe umuhimu wa kura ya mtu
Pia soma:LGE2024 - Singida: Tundu Lissu aboresha Taarifa zake kwenye Daftari la Mpiga kura
Tangu niliposkia habari zako nimekuweka ignore listKwani kuvunja sheria gani? 😂