Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Lissu ndio ameuza bandari, ameuza migodi, haleti umeme, hatoi ajira, hajengi barabara .... Ila CCM ni matahira aseee...Habari
Huyu bepari ndio anaangamiza hili taifa maana anasababisha raisi na viongozi wetu washindwe kuconcentrate na maendeleo.
Kila siku majukwaani kupinga maendeleo huyu jamaa ni mpinga maendeleo na yeye ndio amelifikisha taifa hili hapa baada ya miaka 60.
Ametuchelewesha sana kwa kweli bila tundu lissu tungekuwa mbali sana kama taifa.
lissu aache keleleanazijua vema siasa za tanzania
Anawatoa kwenye reli viongozi wetuLissu ndio ameuza bandari, ameuza migodi, haleti umeme, hatoi ajira, hajengi barabara .... Ila CCM ni matahira aseee...
We ni M§£ŋğ£ bhana acha kujitetea.Tumemvumilia sana
Bila tundu lissu hii nchi tajiri sana
Hata nikikaa kimya mawe yataongea kua tundu lissu ndio anatukwamishaWe ni M§£ŋğ£ bhana acha kujitetea.
Weee ni hasara kwa taifa.Hata nikikaa kimya mawe yataongea kua tundu lissu ndio anatukwamisha
Basi ni wapumbavu hao viongozi....Anawatoa kwenye reli viongozi wetu
Viongozi wetu wenye weledi wanatakiwa kupewa support sio makelele kila kukichaBasi ni wapumbavu hao viongozi....
Kama hutaki basi tuseme wewe ndio smart ili yaishe🤪Hakuna mtu smart muongeaji vile kila siku makelele tu
Sio kazi ya mbunge kujenga shule ,ni kazi ya serikali ya chama chako cha ccm,kawadanganye wajinga mm hunipatiMkuu tena hapo waweza kukuta wananchi wanachangishwa kila mwaka kujenga shule hiyo kisha maccm yanatia kibindoni.
Sent from my iPad using JamiiForums
Mtu tunawategemea wafanyw mabadiriko tuone maambo yao. Wao kila siku kelele. Yeye kila siku anatafuta mchawi. Mbwa tu. Mbwa mkubwa na chama chao. Wameshindwa wakae kimya. Kila siku na vionline radio.Tumkatae kabisa kazi makelele tu kila siku
Arudi kwao ubelgijiMtu tunawategemea wafanyw mabadiriko tuone maambo yao. Wao kila siku kelele. Yeye kila siku anatafuta mchawi. Mbwa tu. Mbwa mkubwa na chama chao. Wameshindwa wakae kimya. Kila siku na vionline radio.
Bila lissu hii nchi tajiri sanaYaani Lissu akitoa kauli tu, serikali ina-paralyse! Maendeleo yanasimama 😳🤔
Mpuuzi kweli wewe! Unajibu kwa ku quote mtu bila kusoma mantiki ya hoja yake? Tena unanitusi kwa kuniita CCM?Sio kazi ya mbunge kujenga shule ,ni kazi ya serikali ya chama chako cha ccm,kawadanganye wajinga mm hunipati