Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Tundu Lissu, amesema kuwa pamoja na kuwa na urafiki wa muda mrefu na Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa, kwa sasa hawezi kumkwepa kumkabili kisiasa, kwani Msigwa amehamia chama pinzani na si mwanachama mwenzie tena.
Lissu amekiri kuwa hawezi kukana urafiki wake na Msigwa, akisisitiza kuwa hata aliposhambuliwa, Mchungaji Msigwa alishika chupa ya damu hadi wakati yeye anapelekwa hospitali.
Lissu amekiri kuwa hawezi kukana urafiki wake na Msigwa, akisisitiza kuwa hata aliposhambuliwa, Mchungaji Msigwa alishika chupa ya damu hadi wakati yeye anapelekwa hospitali.