Pre GE2025 Tundu Lissu: Mchungaji Peter Msigwa ni rafiki yangu, lakini nitamkabili Kisiasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lisu kweli anaweza mikikimikikii ya Uenyekiti,Ukizingatia afya yake sio fitiii sana.Au ni njama ya kutaka kuhama chama kwambaa aseme akishindwa chadema sio chama Cha Democrasia niirnde ccm.
 
Lisu kweli anaweza mikikimikikii ya Uenyekiti,Ukizingatia afya yake sio fitiii sana.Au ni njama ya kutaka kuhama chama kwambaa aseme akishindwa chadema sio chama Cha Democrasia niirnde ccm.
Kama aliweza kuzunguka Nchi nzima kufanya kampeni za Urais 2020 atashindwaje uenyekiti kwa kigezo cha kukosa fitness? Uenyekiti siyo kubeba zege.
 
Kama aliweza kuzunguka Nchi nzima kufanya kampeni za Urais 2020 atashindwaje uenyekiti kwa kigezo cha kukosa fitness? Uenyekiti siyo kubeba zege.
Kulala segerea au Butimba atawezaa?mwezi,si unajua fiesiem.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…