Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
😂😂😂 dudu la yoyo.dudu limemkolea lissu anaropoka tu bila ridhaa yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 dudu la yoyo.dudu limemkolea lissu anaropoka tu bila ridhaa yake
Anajitutumua mzee wa MIGA,jinga sana[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Lissu anajulikana kwa mihemuko....
akili yake bado ya kisekondari....
yy kila kitu cha Magu anapinga....
muda utatuambia ukweli....
Lissu ni wa kupuuza tu hana jipya...
tulimwambia, siku Magu akisepa na siasa zake zitakomea hapo.
Lissu anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake kupitia 0713 yake huko ughaibuniKaa ukiomba haya matamanio yako yatimie. Ila utangoja sana.
Ganja bhana![emoji14]Namshauri Mama abomoe miradi yote tuanze mwanzo.
Kwanini anaishi huko?Lissu anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake kupitia 0713 yake huko ughaibuni
Alishakufa kibudu huyo,siasa zake zimebaki za kwenye social media,hazina impact yoyote kwa Taifa.Kick alizipatia kwa magu na sasa hayupo.Hana tofauti na mange kimambi huyo.Labda kama Lisu alianza siasa baaad ya Magufuli kuwa rais, hapo ndio siasa zake zinaweza kufikia mwisho?
Ni kweli kabisa, ww umepoteza nini kwa hilo?Lissu anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake kupitia 0713 yake huko ughaibuni
kumbe akili za kusikiliza, basi namuomba LIssu achanganye akili zake. ''akili za kuambiwa changanya na za kwako''Ameandika hivyo kupitia twitter:
Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Alishakufa kibudu huyo,siasa zake zimebaki za kwenye social media,hazina impact yoyote kwa Taifa.Kick alizipatia kwa magu na sasa hayupo.Hana tofauti na mange kimambi huyo.
Kwanini anaishi huko?
Nini kilimfanya akimbie na kwenda kuishi huko?
Kwa kuwa huna akili na uu zoba kama walivyo wengine ktk ukoo wenu ndio maana umeandika upuuzi kama asili yenu ilivyo.
msaada utoke kwa nani?wewe usiotaka kuulizwa maswali?Uko sahihi kabisa, je una swali, maoni ama hoja kwa msaada zaidi?
msaada utoke kwa nani?wewe usiotaka kuulizwa maswali?
Time has already told and that we need a lot of money to accomplish those projectsTime will tell.
Dish limecheza.Ameandika hivyo kupitia twitter:
Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Hili halitakaa litokee! Pendekeza jingine.Ameandika hivyo kupitia twitter:
Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.
AlishasemaHili halitakaa litokee! Pendekeza jingine.
Hii miradi ni kukurupuka, uchumi lazma uyumbe maana tunapeleka hela nyingi nje kununua maligafi na technologia ambazo hazizalishiAmeandika hivyo kupitia twitter:
Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.