Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Hivyo usiwe na hakika ya mapambano ya Lissu dhidi nduguyo .Sina hakika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo usiwe na hakika ya mapambano ya Lissu dhidi nduguyo .Sina hakika.
Jikite kwenye hoja,kati ya wewe na huyo unaomsema debe tupu,Nani ni debe tupu,yeye kajenga hoja,wewe una attack personally.Lisu ni debe tupu!..
Saa hii yuko getoni kwa amsterdam, alafu anataka kutupangia maisha sisi watz?
Kwanza muulizeni anarudi lini? Mbaya wake si kafa? Au kanogewa huko?
Are you mad or what.....Stupid?Me or you?
If its me then you are stupidier than me sababu unaongea na mtu stupid
Kama ni wewe,then thats exactly who you are,lame ass nyuigahh!
Lissu kimsingi ni mpambanaji, mtafuta haki. Hiyo pekee ndiyo imemfanya awepo mpaka hivi sasa akipambana, na uwanja wake ni hapa nyumbani Tanzania na pia kimataifa.Huyo Lissu anajulikana kwa mihemuko....
akili yake bado ya kisekondari....
yy kila kitu cha Magu anapinga....
muda utatuambia ukweli....
Lissu ni wa kupuuza tu hana jipya...
tulimwambia, siku Magu akisepa na siasa zake zitakomea hapo.
Mami polepole, nanaona hujui kuwa Corona haitaki dhihaka !!. Muulize NkurunzinzaWewe ni chizi kama yeye tu. Kama alipigania rasilimali za nchi ilikuwaje awe upande wa maadui wakati magufuli alipoamua kuvunja mikataba ya kitapeli ya wazungu badala ya kushirikiana naye?
Unakuwa mnafiki kwa manufaa ya nani? Mmemwua magufuli kwa sababu hizohizo za madini na lisu ndiye mhusika mkuu akitumia mabwana zake wanaomla 071.
Sasa ni hivi, asahau, haitatokea aje awe rais wa nchi hii kwa kuwa Watanzania wenye akili washamfahamu ndani nje na maigizo yake ya kupigwa risasi kushoto akaumia kulia.
Lissu mpaka sasa anapambana na hayati waziwazi haijifichi. Ndugu yangu yupi?Hivyo usiwe na hakika ya mapambano ya Lissu dhidi nduguyo .
Lakini alichosema ni kwamba amemnukuu CAG mstaafu, Mussa Assad. Kwa nini usimvae Assad aliyesema hayo?Huyo Lissu anajulikana kwa mihemuko.... akili yake bado ya kisekondari.... yy kila kitu cha Magu anapinga.... muda utatuambia ukweli....
Lissu ni wa kupuuza tu hana jipya... tulimwambia, siku Magu akisepa na siasa zake zitakomea hapo.
Naye siku hizi ni mchumi? Amemaliza kulaani sheria? Reli ya kati ilikuwepo miaka yote na tumeifaidi kwa zaidi ya miaka 100, kwa nini ulaani SGR? Kama ni kushindwa kuendesha miradi hilo halihusu uanzishwaji wake. Mbona viwanda vingi vilivyouzwa leo hii tunavililia baada ya kuuzwa na Mkapa?Ameandika hivyo kupitia twitter:
Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Ameandika hivyo kupitia twitter:
Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Vile vile mtu akiewahi jeruhiwa na risasi huwa kuna mda zinahama maana ule mlio huwa unawehusha .sisi tuna ndugu yetu (mtoto wa ba mkubwa)aliwahi vamiwa dukani na majambazi wakamfyatukia rusasi (hakufa ila aliumizwa sana)keshapona ila kuna mda unaweza piga nae stori alafu anabadilika ghafla anaanza kuongea vitu ambavyo hata havipoHuyo Lissu anajulikana kwa mihemuko....
akili yake bado ya kisekondari....
yy kila kitu cha Magu anapinga....
muda utatuambia ukweli....
Lissu ni wa kupuuza tu hana jipya...
tulimwambia, siku Magu akisepa na siasa zake zitakomea hapo.
Unafir.wa ww kwenda huko na matako yako...Hahahaaa
Eti unakaa JF unajifanya kutoa "ushauri" kwa watu usiowajua hata hawajakuomba huo ushauri wenyewe eti "fix yourself up"!
What a lame!
Keep that ushauri in your own arse hole,sijakuomba chochote from u!
Yes mad,nikiwa mad,wewe matako yanakuwashia nini?
Just run around like a kite with emotions and bump to a wrong culprit,killin ya on the humble!
Aliekufa ndiyo siasa zake zimeishia kaburin labda kibajaji na musukuma ndo warithi wakeThe law of diminishing return ina apply hapa siasa zake zimefika ukingoni. Asanteni kwa kuja
Mwambieni aje na sera za kiuchumi sasaAliekufa ndiyo siasa zake zimeishia kaburin labda kibajaji na musukuma ndo warithi wake
Wewe jamaa ni bonge la mzandiki.Ameandika hivyo kupitia twitter:
Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Atulie zake huko ughaibuniAmeandika hivyo kupitia twitter:
Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Hivi una akili kweli au bado umezikabidhi kwa mwendazake?? Lissu yeye kakazia tu mawazo ya Prof. Assad.Huyo Lissu anajulikana kwa mihemuko....
akili yake bado ya kisekondari....
yy kila kitu cha Magu anapinga....
muda utatuambia ukweli....
Lissu ni wa kupuuza tu hana jipya...
tulimwambia, siku Magu akisepa na siasa zake zitakomea hapo.