Tundu Lissu: Miradi mikubwa ya Hayati Magufuli ni majanga yajayo ya kiuchumi

Tundu Lissu: Miradi mikubwa ya Hayati Magufuli ni majanga yajayo ya kiuchumi

Labda wewe utuambie ni vitu vingapi Magufuli kafeli na watu walimpinga mapema kabisa ila hakukubali

Korosho:- Aliingilia ununuzi wa korosho akapeleka jeshi nadhani unajua nn kilitokea

PSSSF:- Aliunganisha mifuko ya mafao akaleta kikokotoo hapa pia unajua nini kilitokea

ATCL:- Hapa ripoti ya CAG inatosha kutasimini (japo mnatuaminisha imechakachuliwa)

UDART:-Huu mradi PM Majaliwa anazinguka mbuyu ila tatizo lilikuwa serikarini, waliamua kumharasi kwa makusudi mwekezaji Kisena mara kesi za uhujumu uchumi mara washikilie mabasi bandarini kisa kodi TRA
Very narrow view....
umeangalia vitu vichache mno katika mapana yake mazuri
 
Huyo Lissu anajulikana kwa mihemuko....
akili yake bado ya kisekondari....
yy kila kitu cha Magu anapinga....
muda utatuambia ukweli....
Lissu ni wa kupuuza tu hana jipya...
tulimwambia, siku Magu akisepa na siasa zake zitakomea hapo.
Lissu ameanza siasa zamani sana, kwa wanaomfahamu alianza kukinzana na Hayati Benjamin William Mkapa, enzi za uwekezaji wa madini ya dhahabu, (tafuta article inaitwa "The golden opportunity", utajua Lissu hakuanza kupigia kelele rasirimali wakati wa Hayati JPM, mara zote amekuwa against maamuzi yanayoumiza nchi, ukitafakari kwa kina utagundua the guy is smart, ila baadhi ya wanaomsikiliza (kama wewe) hawamuelewi kutokana na uwezo mdogo!



Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Jiwe kama mpaka biashara ya ''Mabasi Ya Mwendokasi'' ilimshinda basi tutegemee uozo mwingi sana kwenye miradi Ya Jiwe!!!
 
Ameandika hivyo kupitia twitter:

Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.

Mimi Samia na Rais JPM ni kitu kimoja na ndio maana nasema Kazi iendelee - Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania SSH
 
Ameandika hivyo kupitia twitter:

Nimemsikiliza Prof. Mussa Assad kuhusu ufisadi katika taasisi za umma. Miradi mikubwa ya Magufuli, ndege za ATCL, SGR, Stiegler's Gorge, n.k., ni majanga yajayo ya kiuchumi. Namshauri Rais Samia kuunda Tume ya Uchunguzi kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Waswahili wanasema mtoto haimbiwi nyimbo mbaya. ATCL, SGR, SGe nk ndio hiyo imeshaanzishwa. Nadhani dua iwe ni kuangalia namna bora zaidi ya miradi hiyo kutelezwa kwa weledi zaidi ili kupunguza maumivu na hasara kwa wananchi.

Hii kuita majanga yajayo na maneno makali kama hayo ni uchimvi tu, na ni mchawi pekee anayependa vizazi vyake viteketee kwa uchimvi.
 
Wasipofanya hivyo wataendelea kupata hasara, hakuna siku watapata faida.
Ndege zitajichokea na kuharibika, Pesa zitapotea kama zilivyopotea huko Comoros na kwa njia nyingine shirika litakufa kifo cha taratibu mpaka libaki jina tu.
Sahau hilo jambo! Labda maboresho ya uendeshaji, aina ya ndege za kutumia na idadi yake. Si zaidi ya hapo.
 
Huyo Lissu anajulikana kwa mihemuko....
akili yake bado ya kisekondari....
yy kila kitu cha Magu anapinga....
muda utatuambia ukweli....
Lissu ni wa kupuuza tu hana jipya...
tulimwambia, siku Magu akisepa na siasa zake zitakomea hapo.
Mbona kwenye ugonjwa na kifo alisema ukweli dhidi ya uongo wa kasimu !
 
Mmwasahau ile mingine ya kitovuni kule , mingine imekamilika na mingine bado
 
Wasipofanya hivyo wataendelea kupata hasara, hakuna siku watapata faida.
Ndege zitajichokea na kuharibika, Pesa zitapotea kama zilivyopotea huko Comoros na kwa njia nyingine shirika litakufa kifo cha taratibu mpaka libaki jina tu.
Ni kama vile hutakuja kusikia KQ wameuza ndege zake sababu hawajapata faida.. Ni service pia ambayo ni muhimu sana kwa nyanja zingine..
 
Namshauri Mama abomoe miradi yote tuanze mwanzo.
 
Miradi iendelee, ila tusilazimishe kutumia hela za ndani kwa sasa hivi. Hela za ndani zitakuja kutumika wakati wa kulipa mkopo! Nilimsikia waziri wa Mambo ya Nje anasema kazi yake kubwa itakuwa kusaka pesa ya miradi ya kimkakati. Hiyo ni nzuri maana wanasema deni letu ni himilivu!
 
Back
Top Bottom