Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Mkimchagua Magufuli, ana lengo la kubadili Katiba kuondoa ukomo wa vipindi vya kutawala

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Mkimchagua Magufuli, ana lengo la kubadili Katiba kuondoa ukomo wa vipindi vya kutawala

Mgombea Urais kupitia Chama cha Chadema ndugu Tundu Lissu, amewaasa Wananchi wa Bagamoyo kuwa, Magufuli ana lengo la kubadili ukomo wa vipindi vya utawala na ndiyo maana hilo Suala lilizungumzwa bungeni na Spika Ndugai.

Lissu akawaambia wananchi kuwa, Ndugai asingeweza yeye binafsi kulizungumza hilo bila kufahamu kinachoendelea kwenye mipango ya Magufuli.

Lissu akawaambia wananchi kuwa, wafikirie hali ngumu za maisha, ukatili na uonevu uliotokea katika kipindi hiki cha miaka mitano halafu eti Magufuli aongezewe miaka mingine.

Lissu amesema, serikali ya Chadema itakuwa ni Serikali ya Haki, Uhuru na Maendeleo. Itakuwa serikali itakayoheshimu watu tofauti na hii ya Magufuli yenye kudhalilisha watu hususan wanawake.

Lissu akasema kujenga miundo mbinu siyo hoja ya kunyima haki za watu kama vile nyongeza za mishahara zilizoko kisheria. Akasema kuwa hata mkooni alijenga reli, lakini hiyo haikuwa sababu ya kwa nini Tusimpinge, Akasema kuwa tulimpinga mkoloni kwa sababu hakuwa anatutendea haki.

Lissu akasema kuwa Nyerere alijenga reli ya TAZARA, tena ndefu zaidi lakini hakudhulumu stahiki za wafanyakazi

Kwa taarifa zaidi juu ya hoja nzito za Lissu tazama video hii


Mungu mbariki Tundu Lissu
 
TOO MUCH LIES
Halafu wanalalamika kuwa vyombo vya habari hawaandiki habari zao

Jana tu walitoa press release kuwa TCAA imezuia Helukopta kuruka kwa sababu zisizoeleweka!!! Nashukuru press waka wa ignore wakijua hawako reliable taarifa zao wakaenda TCAA wenyewe wakaambiwa rubani mrusha helikopta kapita umri wa kisheria na hilo ndilo likatangazwa TV zote lile la uongo likatupiliwa Mbali

Kifupi chadema wamepoteza Truth Reliability kwenye media tofauti na enzi za Dr Slaa.Alikuwa akiongea anashusha ushahidi wa ukweli na uhakika usio na chembe ya shaka
Kiasi kuwa media hazikuhangaika ku counter check wanajua kuwa alichotamka kiko sahihi

Lisu sio presidential material anaongea vitu vya kuokoteza na kutunga kama mswahili tu wa mtaani
Mbona ujadili kilicholetwa unajadili mambo mengine, kwani CCM haikusema bungeni kua wanamuongezea muhura mwingine?
 
TOO MUCH LIES
Halafu wanalalamika kuwa vyombo vya habari hawaandiki habari zao

Jana tu walitoa press release kuwa TCAA imezuia Helukopta kuruka kwa sababu zisizoeleweka!!! Nashukuru press waka wa ignore wakijua hawako reliable taarifa zao wakaenda TCAA wenyewe wakaambiwa rubani mrusha helikopta kapita umri wa kisheria na hilo ndilo likatangazwa TV zote lile la uongo likatupiliwa Mbali

Kifupi chadema wamepoteza Truth Reliability kwenye media tofauti na enzi za Dr Slaa.Alikuwa akiongea anashusha ushahidi wa ukweli na uhakika usio na chembe ya shaka
Kiasi kuwa media hazikuhangaika ku counter check wanajua kuwa alichotamka kiko sahihi

Lisu sio presidential material anaongea vitu vya kuokoteza na kutunga kama mswahili tu wa mtaani
Lissu na Wanaomuunga Mkono Wote wana akili tegemezi na ndoto za alinacha Mambo wana urohoooo
 
Mbona ujadili kilicholetwa unajadili mambo mengine, kwani CCM haikusema bungeni kua wanamuongezea muhura mwingine?
Sio Kila Linalosemwa Bungeni linapitishwa **** mbunge Aliomba Bangi iwe huru haikupitishwa na ilisemwa Bungeni kwanini msiseme Mambo yalio kwenye katiba mnalopaka lopoka tu kama wacheza vigodoro
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Chadema ndugu Tundu Lissu, amewaasa Wananchi wa Bagamoyo kuwa, Magufuli ana lengo la kubadili ukomo wa vipindi vya utawala na ndiyo maana hilo Suala lilizungumzwa bungeni na Spika Ndugai.

Lissu akawaambia wananchi kuwa, Ndugai asingeweza yeye binafsi kulizungumza hilo bila kufahamu kinachoendelea kwenye mipango ya Magufuli.

Lissu akawaambia wananchi kuwa, wafikirie hali ngumu za maisha, ukatili na uonevu uliotokea katika kipindi hiki cha miaka mitano halafu eti Magufuli aongezewe miaka mingine.

Lissu amesema, serikali ya Chadema itakuwa ni Serikali ya Haki, Uhuru na Maendeleo. Itakuwa serikali itakayoheshimu watu tofauti na hii ya Magufuli yenye kudhalilisha watu hususan wanawake.

Lissu akasema kujenga miundo mbinu siyo hoja ya kunyima haki za watu kama vile nyongeza za mishahara zilizoko kisheria. Akasema kuwa hata mkooni alijenga reli, lakini hiyo haikuwa sababu ya kwa nini Tusimpinge, Akasema kuwa tulimpinga mkoloni kwa sababu hakuwa anatutendea haki.

Lissu akasema kuwa Nyerere alijenga reli ya TAZARA, tena ndefu zaidi lakini hakudhulumu stahiki za wafanyakazi

Kwa taarifa zaidi juu ya hoja nzito za Lissu tazama video hii

Itakuwa serikali itakayoheshimu watu tofauti na hii ya Magufuli yenye kudhalilisha watu hususan wanawake.

*********
Bangi anazovuta huyu jamaa zinachanganywa na mavi ya punda. Kauli nzito Kama hii huwezi kuipitisha kienyeji bila kuitolea maelezo.
 
Wanavuna walichopanda,
Mwanakulitaka mwanakulipata.
msizungumze msyoyajua leo hii Gadafi wanatamani afufuke maisha yalivyo magumu, Gadafi ukioa unapewa nyumba na fedha kila siku ya kuishi, fika libya uwaulize mateso wanayokumbana nayo sasa.
 
Na hili jambo lina ukweli kwamba jamaa anataka kubadili katiba. Maana amekuwa akimjibu Lissu makombora anayo yarusha be kwake. Lakini hili la kubadili katiba halizungumzii kabisa. Kuna jambo hapo.
 
Baadae mtakuja kusema Lisu katabiri sasa hivi anaongea kama tahadhali
 
Kwanini kule chadema kila anayegombea uenyekiti anafukuzwa au kuhama au kufariki? Kwanini asianze ndani ya chama chake kuleta huo Uhuru, demokrasia na ukomo wa uongozi ndo aje atoe shutuma zisizo na ushahidi ambazo ni za kudhania tuu kwamba eti Magufuli atabadilisha katiba aongoze Kama Mbowe.

Aache kuropoka Mambo ya kubuni.
Huyu Lissu kachanganyikiwa saaana, yaani ameshindwa kumshauri Mbowe asibadili katiba akiwa yupo, ameshindwa kumshauri Mbowe awape wenzake Fursa ya kikatiba ya Chadema kugombea nafasi ya Mwenyekiti mwishowe wote wanaonekana hawafai, ameshindwa kama Wakili msomi kumshauri Mbowe umuhimu wa kuifuata katiba na kuonesha Mfano ili kukitengenezea Chadema heshima kwa Watu lakini anaanza kupiga ramli kwa Wengine wakati yake tayari yamemshinda.
Ndani ya Chadema anayeheshimu Demokrasia anaitwa Msaliti, Katumwa na CCM, na Bahati Mbaya wengine walazwe mahala pema peponi, wengine wamefukuzwa uanachama, wengine vilema, wengine wamefichwa kwasababu ya kuratibu namna ya kuchukua uenyekiti ( Mbw Ben saaa anajua alipo na alimficha kwa sababu ya uenyekiti).
NB: Charity starts at home. Niongeze sauti au inatoshaaaaaaa. Msinifokeee huku nacheeeeeekaaaa na Domokrasia ya Chadema
 
adai uhuru wa kutumia hela za ruzuku kwa Mbowe badala ya kutuchangisha mikutanoni
 
Kwanini kule chadema kila anayegombea uenyekiti anafukuzwa au kuhama au kufariki? Kwanini asianze ndani ya chama chake kuleta huo Uhuru, demokrasia na ukomo wa uongozi ndo aje atoe shutuma zisizo na ushahidi ambazo ni za kudhania tuu kwamba eti Magufuli atabadilisha katiba aongoze Kama Mbowe.

Aache kuropoka Mambo ya kubuni.
Ndungai alisema bungeni wewe wa wapi
 
TOO MUCH LIES
Halafu wanalalamika kuwa vyombo vya habari hawaandiki habari zao

Jana tu walitoa press release kuwa TCAA imezuia Helukopta kuruka kwa sababu zisizoeleweka!!! Nashukuru press waka wa ignore wakijua hawako reliable taarifa zao wakaenda TCAA wenyewe wakaambiwa rubani mrusha helikopta kapita umri wa kisheria na hilo ndilo likatangazwa TV zote lile la uongo likatupiliwa Mbali

Kifupi chadema wamepoteza Truth Reliability kwenye media tofauti na enzi za Dr Slaa.Alikuwa akiongea anashusha ushahidi wa ukweli na uhakika usio na chembe ya shaka
Kiasi kuwa media hazikuhangaika ku counter check wanajua kuwa alichotamka kiko sahihi

Lisu sio presidential material anaongea vitu vya kuokoteza na kutunga kama mswahili tu wa mtaani
Mhuu nahisi kutokuelewa au inclination iliyonayo ongea uhalisia.
 
Hii ni dalili tosha ya mfa maji. Hana sera. Badala ya kusema atawafanyia nini Watanzania anakuja na mambo ya kufikirika. Mwaga sera TL kama huna basi kaa kimya.
Dalili zote zaonyesha hivyo hebu toa data zotazoprove him wrong.
 
Hii ni dalili tosha ya mfa maji. Hana sera. Badala ya kusema atawafanyia nini Watanzania anakuja na mambo ya kufikirika. Mwaga sera TL kama huna basi kaa kimya.
Ndioooo haoni mwenzie anavyomwaga sera jinsi atavyotatua shida za wananchi wenye mbunge mwanamke mweupe?
 
Back
Top Bottom