mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Alafu ndo mlitaka awe rais?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa wewe umepigwa risasi 16 nadhani ungesikitika sana mpaka ungelia baada ya kusikia aliyekuwa anataka kukuua na kukupa kilema cha maisha amekufaUnafiki tu baada ya kusemwa saana.
Lisu nilikua na mkubali Sana lakini Ana vichuki Fulani na mtu wa visasi Sana . Nafikiri kiongozi hafai labda kiuhanarakati na pengine angejiunga na vikindu vya waasi msituni tu maana wanaaminigi ktk kuua na kulipiza kisasi tu....
Dalili na alama( symptom and sign) mojawapo ya ugonjwa wa akili ni kucheka sana. Kujichekesha hahahaha! Mgonjwa wa akili hajui ni mgonjwa. Yeye ni bingwa wa kuona wazima ni wagonjwa wa akili kabisa. Hajui anachoongea na kuona wengine wanaongelea jambo jingine. Hahahaha mwanzo mwisho!Hahahahaha leo ndio nimeamni Lissu ni mgonjwa wa akili kabisa au atakuwa anaongelea jambo lingine nimecheka sana hahahaha
Wewe utaishia na tucoment twako hutu twa kila siku,Nimecheka kinoma, eti tuko vizuri chini ya mama Samia, labda nyie masalia ya jiwe ya kundi la watu wasiojulikana, ndio mko vizuri kwa yale malipo ya mauaji aliyokuwa akiwaagiza kufanya.
Usimfananishe Mandela na takatakaKama Mandela alivyokuwa na hasira na Kaburu Pieter Botha huko Afrika Kusini. Kurudi ni mapenzi yake, huku yuko kwenye maisha ya juu, siku akiona anataka kurudi huku porini atarudi kimpango wake.
Zama hizo ulikaa na kupima hoja za huyo mwingine ambaye tena alikuwa rais? Nchi yetu iko kama hivi ilivyo kwa sababu ya hoja zake! Mr Tyang utajitoa ufahamu hadi lini? Jihurumie ndugu yangu.Sasa baada ya kupima hoja za Lissu nikajikuta nimewaza hivi huyu ndo angekuwa Rais wa nchi yetu ingelikuwaje?.
Lissu wa siku hizi anasikitisha Sana, siyo yule Lissu aliekuwa akitema cheche zenye hoja kwenye bunge la katiba na Sheria wakati wa J.k.
[emoji3][emoji3], jamaa anahitaji apate mtaalamu wa kisaikolojia asaidiwe. Ana chuki sana anashindwa kumove on na mambo mengine.Lisu hana tofauti na Mmawia wa hapa jf
[emoji23][emoji23][emoji23]
Tundu Lisu anaamini kupitia huruma, watu hasa Wazungu wanaweza kumuaminiLissu kadanganya. Eti mlinzi wa magufuli amekufa.. wakati yupo hai kabisa na msibanii alionekana
Risasi amepigwa ndio, anae mchukia ameshakufa. Hana hoja nyingine zaidi ya hizo?Ungekuwa wewe umepigwa risasi 16 nadhani ungesikitika sana mpaka ungelia baada ya kusikia aliyekuwa anataka kukuua na kukupa kilema cha maisha amekufa
Hoja ya majadiliano ilikuwa Ni Magufuli legacy.. wewe ulitaka aongelee hoja nyingine ambayo Ni ipi?Risasi amepigwa ndio, anae mchukia ameshakufa. Hana hoja nyingine zaidi ya
Sawa... hopefully kuanzia sasa atakuja na hoja nyingine.Hoja ya majadiliano ilikuwa Ni Magufuli legacy.. wewe ulitaka aongelee hoja nyingine ambayo Ni ipi?
... jamaa yule aliyeogofya na kuimbiwa kila aina ya sifa leo anaitwa mzimu? Dah; kweli Mungu ni Mkuu!Muulize mbona anaangaika na mzimu sana!
Nilivyosikia tu hii nikaona hapa bado kumbe akili yake haijakaa sawa. Bado anahitaji matibabu ya kisaikolojia
Hadi PLO Lumumba kamwambia akiendelea kuongozwa na chuki na hasira Kwenye akili na moyo wake ,atapoteza ata mvuto aliokua nao kwa watu[emoji3][emoji3], jamaa anahitaji apate mtaalamu wa kisaikolojia asaidiwe. Ana chuki sana anashindwa kumove on na mambo mengine.
Kutwa Magufuli Magufuli haya baba wa watu kajiondokea sijui ataongea nini tena
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Ameshapoteza mvuto kwa wananchi wasio na vyama. Watakao msapoti ni chadema wenzake ambao hawamshauri wana mjaza upepo ili aendelee kubwabwaja yasio ya msingi.Hadi PLO Lumumba kamwambia akiendelea kuongozwa na chuki na hasira Kwenye akili na moyo wake ,atapoteza ata mvuto aliokua nao kwa watu
Mtu akishafukiwa kaburini mpe jina!... jamaa yule aliyeogofya na kuimbiwa kila aina ya sifa leo anaitwa mzimu? Dah; kweli Mungu ni Mkuu!
Habari.
Tundu Lisu alichaguliwa kwa mbwembwe kuwa makamu mwenyekiti wa Chadema na wafuasi wa upinzani wakawa na matumaini makubwa kuwa atakuja na mawazo mapya ya kuinua Chadema na Upinzani kwa ujumla nchini. Laa! Kama ilivyokuwa alipochaguliwa kuwa rais wa TLS badala ya kufanya kazi za taasisi iliyomchagua Lisu yuko bize kufanya kazi zake na kujiimarisha yeye binafsi!
Tundu Lisu tokea achaguliwa kuwa makamu mwenyekiti wa Chadema hamna clip wala mkutano wowote akiipromote Chadema lakini anaendelea kulipwa mshahara mnono kama makamu mwenyekiti wa Chadema!!
Hili halikubaliki Lisu ni mfanyakazi hewa wa Chadema na anatakiwa kutumbuliwa haraka.
Bavicha amkeni mhoji matumizi ya hela za Chadema maana Mbowe ni mwenyekiti bubu
... hakufukiwa; alijengewa kaburi la marumaru aghali za Spain!Mtu akishafukiwa kaburini mpe jina!
Muhuni mmoja kila kukicha yeye ns Magufuli tu!