1. Mwinyi na Mkapa ni vikaragosi vilivyowekwa na Nyerere na alikuwa akiviendesha kwa remote kutokea Bustiama na Msasani.
Kikwete, kathubutu kuanza mchakato wa kuibadili katiba na ndiyo maana unayaona yote hayo yanaibuka. Kikwete ni ngoma nzito.
2. Miak kumi kumi ni mfuno tu wa demokrasia. Nyerere alikaa miaka 24 na hakuna la maana alilofanya ukichanganya na vikaragosi vyake, Mwinyi na Mkapa unapata jumla ya uongozi wake miaka 44.
Utawala wa Kikwete ndio uliothubutu, kuipa uhai mpya nchi hii kwa kuanzisha huu mchakato wa kujipatia katiba mpya. Kikwete anastahili kila sifa kwa hili na mengine mengi tu.
3. Ndio yapo katika kuibuliwa ili yaachwe. Bila kuwa na katiba mpya utayaachaje?
Bila kuwachana na fikra za Nyerere tutabaki kuwa maskini wa kutupwa. Na njia ya pekee ya kuachana nayo ni kuyaainisha mabaya yake yote. Kwa sasa naona yanaanza kuwaingia, maana Uamsho na Wazanzibari wengine wengi na wengineo wa hapa bara walikuwa wakiyainisha haya, wengine tumeyaandika humuhumu JF. Mkatuona hatumpendi Nyerere mkatushambulia. Nakuuliza hivi, mtu uliyemuamini ukajuwa kuwa si muaminifu na ni muonngo, utaendelea kumuenzi?